DANIELI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-
Mufalme Nebukadneza anaota ndoto yenye kuhangaisha (1-4)
Wenye hekima wote wanashindwa kueleza ndoto (5-13)
Danieli anamuomba Mungu musaada (14-18)
Mungu anasifiwa kwa kufunua siri (19-23)
Danieli anamuelezea mufalme ndoto hiyo (24-35)
Maana ya ndoto (36-45)
Jiwe la Ufalme litavunja sanamu (44, 45)
Mufalme anamupatia Danieli heshima (46-49)
-
Sanamu ya zahabu ya Mufalme Nebukadneza (1-7)
Wanaombwa kuabudu sanamu (4-6)
Waebrania watatu wanashitakiwa kwamba wamekosa kutii (8-18)
“Hatutatumikia miungu yako” (18)
Wanatupwa ndani ya tanuru yenye kuwaka moto (19-23)
Wanaokolewa kwa njia ya muujiza kutoka katika moto (24-27)
Mufalme anamusifu Mungu wa Waebrania (28-30)