Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 7 uku. 14-15
  • Tarehe 25-31/8

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 25-31/8
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 7 uku. 14-15

TAREHE 25-31/8

MEZALI 28

Wimbo 150 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Tofauti Kati ya Mutu Muovu na Mutu Muzuri

(Dak. 10)

Mutu muovu anakuwaka mwoga; lakini mutu muzuri anamutumainiaka Yehova (Mez 28:1; w93-SW 15/5 uku. 26 fu. 2)

Mutu muovu hakamatake maamuzi ya muzuri; lakini mutu muzuri anakuwaka na uwezo wa kukamata maamuzi ya muzuri (Mez 28:5; it-1 uku. 1197 fu. 6)

Mutu muzuri, hata kama ni maskini, ni wa maana kushindia mutu muovu mwenye ni tajiri (Mez 28:6; it-1 uku. 1195 fu. 4)

Ndugu moya iko mu prison na hana boga. Anaangalia yulu wakati iko nasali.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Mez 28:14—Hii andiko inatupatia shauri gani? (w01 1/12 uku. 12 fu. 1)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Mez 28:1-17 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Ambia mutu kama vita na jeuri bitaisha. (lmd somo ya 5 nukta ya 5)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Ambia mutu kama vita na jeuri bitaisha. (lmd somo ya 5 nukta ya 4)

6. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Ambia mutu kama vita na jeuri bitaisha. (lmd somo ya 1 nukta ya 4)

7. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Ambia mutu kama vita na jeuri bitaisha. (lmd somo ya 2 nukta ya 4)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 112

8. Unachukiaka Jeuri?

(Dak. 6) Mazungumuzo.

Kijana moya alishazama mu michezo ya video.

Shetani Ibilisi njo mwenye alianzishaka jeuri. Yesu alisemaka kama Shetani ni “muuaji.” (Yoh 8:44) Wakati Shetani aliasi, bamalaika bamingi balimufuata, nabo bakamuasi Mungu. Ile ilifanya batu bakuwe na jeuri sana mu dunia. (Mwa 6:11) Juu tunakaribia mwisho wa huu ulimwengu wa Shetani, batu bamingi biko nakuwa bakali na banakosa kujizuia.—2Ti 3:1, 3.

Musome Zaburi 11:5. Kisha uliza basikilizaji:

  • Yehova iko na mawazo gani juu ya bale benye banapendaka jeuri, na juu ya nini?

  • Namna gani michezo na mambo fulani ya kujifurahisha inaonyesha kama batu mu dunia banapenda sana jeuri?

Musome Mezali 22:24, 25. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna gani mambo yenye tunajifurahisha nayo na batu benye tunapitisha nabo wakati banaweza kutufanya tuanze kupenda jeuri?

  • Namna gani mambo yenye tunajifurahishaka nayo inaweza kuonyesha kama tunapendaka jeuri ao hapana?

9. Kampanye ya Pekee mu Mwezi wa 9

(Dak. 9)

Hotuba yenye itatolewa na mwangalizi wa utumishi. Usaidie bandugu na badada bafurahie kuhubiri mu kampanye na uzungumuzie mipango yenye bazee balikamata.

Muangalie VIDEO Tutaishi kwa Amani! (Wimbo wa Mukusanyiko wa 2022).

10. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) lfb somo ya 12-13

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 113 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine