TAREHE 15-21/9
MEZALI 31
Wimbo 135 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Mafundisho Yenye Tunapata mu Mashauri ya Upendo Yenye Mama Iko Napatia Mutoto Yake
(Dak. 10)
Fundisha batoto yako namna Yehova anaonaka ngono na ndoa (Mez 31:3, 10; w11 1/2 uku. 19 fu. 7-8)
Fundisha batoto yako kuona pombe vile Yehova anaionaka (Mez 31:4-6; ijwhf-SW habari ya 4 fu. 11-13)
Fundisha batoto yako kusaidia batu sawa tu vile Yehova anafanyaka (Mez 31:8, 9; g17.6 uku. 9 fu. 5
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Mez 31:10-31—Ni nini ilikuwaka nasaidia Baisraeli kukumbuka maandiko ya Kiebrania? (w92 1/11 uku. 11-12 fu. 7-8)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mez 31:10-31 (th somo ya 10)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Anzisha mazungumuzo kisha mutu fulani kusema ao kufanya jambo ya muzuri. (lmd somo ya 5 nukta ya 3)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Zungumuzia kweli moya kati ya “Kweli Zenye Tunapendaka Kufundisha” yenye kuwa mu nyongeza ya A ya broshua Penda Watu. (lmd somo ya 1 nukta ya 4)
6. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Alika mutu mwenye aliitika Munara wa Mulinzi Na. 1 2025 ku hotuba ya pekee yenye itafanyika. (lmd somo ya 7 nukta ya 4)
Wimbo 121
7. Saidia Batoto Yako Batumikishe Byombo bya Kielektronike kwa Hekima
(Dak. 8) Mazungumuzo.
Ulishakaona namna mutoto mudogo anakuwaka naingia-ingia mu ma application ku telefone ao ku tablete? Mara mingi haikuwake nguvu ku batoto! Na mara mingi habakuwake hata na lazima ya musaada juu ya kujua namna ya kutumikisha byombo bya kielektronike. Lakini biko tu na lazima ya musaada juu bajue kubitumikisha kwa hekima. Kama uko muzazi, namna gani unaweza kufundisha mutoto wako kutumikisha chombo ya kielektronike kwa hekima?
Muangalie VIDEO Utumie Muzuri Wakati Wako. Kisha uliza basikilizaji:
Juu ya nini ni muzuri kujiwekea mipaka kuhusu wakati yenye tutapitisha mu kutumikisha byombo bya kielektronike?
Inaomba tukuwe na wakati juu ya kufanya mambo gani ingine?
Sheria zenye unawekea familia yako zinapaswa kutegemea Biblia, hapana tu kufuata byenye bazazi bengine banafanyaka. (Gal 6:5) Kwa mufano, ujiulize:
Nilishajionea kama mutoto wangu anaweza kukamata maamuzi ya muzuri? Alishaonyesha kama iko na uwezo wa kujizuia juu nimuache akuwe natumikisha chombo yangu ao akuwe na yake?—1Ko 9:25
Naweza ruhusu mutoto wangu kutumikisha byombo bya kielektronike wakati iko ye peke?—Mez 18:1
Ni ma application na masite gani nitaruhusu mutoto wangu atumikishe ao asitumikishe?—Efe 5:3-5; Flp 4:8, 9
Juu ya kumusaidia mutoto wangu afanye mambo ingine ya maana, nitamuruhusu atumikishe byombo bya kielektronike kwa muda gani kila siku?—Muh 3:1
8. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 7)
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo ya 18-19