Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 9 uku. 6-7
  • Tarehe 22-28/9

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 22-28/9
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 9 uku. 6-7

TAREHE 22-28/9

MUHUBIRI 1-2

Wimbo 103 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Endelea Kuzoeza Kizazi ya Kufuata

(Dak. 10)

[Muangalie VIDEO Utangulizi wa Kitabu cha Mhubiri.]

Kila kizazi iko na daraka ya kuzoeza kizazi ya kufuata (Muh 1:4; w17.01 uku. 27-28 fu. 3-4)

Wakati tunazoeza bengine na kubapatia kazi ya kufanya, tunabaachia pia nafasi ya kupata furaha ya kumutumikia Yehova kwa bidii (Muh 2:24)

Muzee wa kutaniko mwenye angali kijana iko naongoza funzo ya “Munara wa Mulinzi.” Muzee mwenye kuzeeka mwenye iko musomaji anamuangalia na anaonyesha sura ya kicheko.

Usisite kuzoeza bengine juu tu uko nawaza kama ukibazoeza batafikia kukamata madaraka yenye uko nayo

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Muh 1:1—Biblia inamaanisha nini wakati inasema kama Sulemani alikuwa “mukutanishaji”? (it-F “Ecclésiaste” fu. 1)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Muh 1:​1-18 (th somo ya 11)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Ujikaze kujua habari yenye inamufurahisha mutu. Mupange juu ya kuongea tena siku ingine. (lmd somo ya 3 nukta ya 5)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Zungumuzia kweli moya kati ya “Kweli Zenye Tunapendaka Kufundisha,” kwa kufuata pendekezo yenye kuwa mu fungu ya kwanza ya nyongeza ya A ya broshua Penda Watu. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)

6. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Jibia ulizo yenye mutu alikuulizaka mu mazungumuzo ya mbele. (lmd somo ya 9 nukta ya 5)

7. Kufanya Banafunzi

(Dak. 5) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Onyesha mutu namna tunajifunzaka Biblia na batu, na mupange juu ya kuendelesha funzo. (lmd somo ya 10 nukta ya 3)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 84

8. Mambo Tatu ya Maana Kuhusu Kuzoeza Bengine

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Picha mbalimbali: Bandugu biko nazoeza bengine mu mambo mbalimbali. 1. Ndugu iko nazoeza dada kutumikisha chombo ya kukata nayo mbao mu kazi ya kujenga. 2. Mu Jumba ya Ufalme mwenye hamuna batu, ndugu mwenye kuzeeka iko naangalia ndugu kijana mwenye iko najizoeza juu ya kupitisha hotuba yake. Ule ndugu mwenye kuzeeka iko na broshua “Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha.” 3. Ndugu iko nazoeza ndugu mwingine kijana namna ya kubadilisha mapile mu mikro. 4. Baba na batoto yake bawili biko nasafisha Jumba ya Ufalme. Ule baba na mutoto wake mukubwa biko natosha vumbi ku estrade, na mutoto mudogo iko napanguza kinara ya musemaji.

Upendo njo unatuchocheaka kuzoeza bengine juu bafikie kutimiza kazi yenye Yehova alituomba tufanye

Mu Biblia, muko mifano mingi ya muzuri sana yenye inatufundisha namna ya kuzoeza bengine. Kwa mufano, tunaweza kujifunza mambo mingi kupitia namna Samweli alizoeza Sauli, namna Eliya alizoeza Elisha, namna Yesu alizoeza banafunzi yake, na namna Paulo alizoeza Timoteo. Hatuwezi kusahau kutaya Yehova mwenye anajuaka kuzoeza muzuri zaidi. Mufano wake unaweza kutufundisha nini?

Muangalie VIDEO Uzoeze Bengine Sawa Yehova—Sehemu. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna Yehova anakuwaka nazoeza bengine inatufundisha mambo gani tatu?

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) lfb somo ya 20-21

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 148 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine