TAREHE 6-12/10
MUHUBIRI 5-6
Wimbo 42 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
Kikundi ya Baisraeli iko nasikiliza kwa uangalifu wakati kuhani iko nasoma Sheria
1. Namna Tunaonyesha Kama Tunamuheshimia Sana Mungu Wetu Mukubwa
(Dak. 10)
Ku mikutano, tunaonyesha heshima wakati tunasikiliza kwa uangalifu, na wakati tunachunguza namna yetu ya kuvala na kujipamba (Muh 5:1; w08-SW 15/8 uku. 15-16 fu. 17-18)
Wakati banatupatia mugao wa kutoa sala ku mikutano, tujikaze juu sala yetu ikuwe yenye heshima na isikuwe ya murefu sana (Muh 5:2; w09-SW 15/11 uku. 11 fu. 21)
Tuishi kulingana na ahadi yenye tulifanya wakati tulijitoa kwa Yehova (Muh 5:4-6; w17.04 uku. 6 fu. 12)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Muh 5:8—Namna gani hii andiko inaweza kututia moyo wakati banatutendea bila haki? (w20.09 uku. 31 fu. 3-5)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Muh 5:1-17 (th somo ya 12)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 1) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye-nyumba anapenda mabishano. (lmd somo ya 4 nukta ya 5)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Zungumuzia kweli moya kati ya “Kweli Zenye Tunapendaka Kufundisha” yenye iko mu nyongeza ya A ya broshua Penda Watu. (lmd somo ya 1 nukta ya 3)
6. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Tumia video yenye kuwa mu Byombo bya Kufundishia. (lmd somo ya 7 nukta ya 3)
7. Kufanya Banafunzi
Wimbo 160
8. Unakuwaka Natumia “Kweli Zenye Tunapendaka Kufundisha”?
(Dak. 15) Mazungumuzo.
Tangu broshua Penda Watu, Juu Ufanye Wanafunzi ilitolewa, ilishatusaidia sana kufanya mazungumuzo yetu mu mahubiri ikuwe muzuri zaidi. Nyongeza ya A ilitayarishwa juu ya kutusaidia kuzungumuzia kweli za Biblia zenye haziko nguvu kufasiria. (Ebr 4:12) Unajua zile habari 9 zenye kuwa mu “Kweli Zenye Tunapendaka Kufundisha”?
Namna gani tunaweza kuzungumuzia kweli moya ya Biblia kwa wakati wenye kufaa mu mazungumuzo yetu na batu?—lmd nyongeza ya A
Ni mahabari gani njo batu banafurahiaka sana fasi kwenye uko naishi?
Unaweza kufanya nini juu ufikie kujua muzuri zaidi maandiko yenye kuwa mu nyongeza ya A?
Kama unatumia ile maandiko kila mara mu mahubiri, utaona kama utakuwa naikumbuka bila matatizo. Lakini juu ya kuitumia mu mahubiri, inaomba kwanza kuzungumuza na batu ba mu eneo yako.
Muangalie VIDEO “Chuma Kinanoa Chuma”—Namna ya Kupata Watu Wengi. Kisha uliza basikilizaji:
Ni nini inaweza kutusaidia tuzungumuze na batu ba mingi ba mu eneo yetu?
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo ya 24-25