TAREHE 10-16/11
WIMBO WA SULEMANI 3-5
Wimbo 31 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Buzuri ya Ndani Njo ya Lazima
(Dak. 10)
Maneno ya Mushulami ilikuwa naonyesha buzuri yake ya ndani (Wim 4:3, 11; w15 15/1 uku. 30 fu. 8)
Mushulami alikuwa sawa bustani yenye kufungwa juu alikuwa natii kanuni za mwenendo za Yehova (Wim 4:12; w15 15/1 uku. 32 fu. 15)
Buzuri ya ndani njo ya lazima kupita buzuri ya inje, na kila mutu anaweza kufikia kuwa na buzuri ya ndani (g16.4 uku. 15 fu. 1-2)
UJIULIZE, ‘Ni masifa gani njo napendaka zaidi kuona kwa bengine?’
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Wim 3:5—Juu ya nini Mushulami aliapisha “mabinti wa Yerusalemu kwa swala na paa wa pori”? (w06 15/11 uku. 18 fu. 4)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Wim 4:1-16 (th somo ya 2)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Ambia mwenye-nyumba kuhusu mupango wetu wa kujifunza Biblia na batu, na umuonyeshe namna tunafanyaka vile. (lmd somo ya 6 nukta ya 4)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Onyesha mutu namna ya kupata habari ku jw.org mu luga yake. (lmd somo ya 4 nukta ya 3)
6. Hotuba
(Dak. 5) ijwbq habari ya 131—Kichwa: Biblia Inasema Nini Juu ya Kujipodoa na Kuvaa Vitu vya Kujipamba? (th somo ya 1)
Wimbo 36
7. Funga Ndoa Katika Bwana tu (Mwa 28:2)
(Dak. 8)
8. Utakuwa Bwana ao Bibi Muzuri?
(Dak. 7) Mazungumuzo.
Uko natafuta mutu wa kuoana naye? Ni masifa gani njo utapenda akuwe nayo? Wakati Bakristo bengine benye biko natafuta bakuoana nabo banakuangalia weye, banaonaka kama uko mutu wa masifa ya muzuri? Mutu anaweza kutenda kwa wakati fulani sawa Mukristo, lakini kumuchunguza mu hali mbalimbali njo kutakusaidia ujue kama iko na masifa ya muzuri ao hapana.
Andika andiko yenye inapatana na kila sifa yenye kufuata yenye mutu wa kiroho anaonyeshaka. Kisha, ujichunguze juu ya kuona kama uko naonyesha hii masifa.
Kumupenda Yehova na kumuamini
Kukuwa kichwa muzuri ya familia ao kukuwa bibi mwenye kuheshimia bwana yake
Kukuwa na upendo na kufikiria mahitaji ya mwingine kuliko tu kujifikiria
Kukuwa na uwezo wa kukamata maamuzi ya muzuri na kukuwa na usawaziko
Kutumika kwa bidii
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo ya 34-35