Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 11 uku. 4-5
  • Tarehe 10-16/11

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 10-16/11
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 11 uku. 4-5

TAREHE 10-16/11

WIMBO WA SULEMANI 3-5

Wimbo 31 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Buzuri ya Ndani Njo ya Lazima

(Dak. 10)

Maneno ya Mushulami ilikuwa naonyesha buzuri yake ya ndani (Wim 4:​3, 11; w15 15/1 uku. 30 fu. 8)

Mushulami alikuwa sawa bustani yenye kufungwa juu alikuwa natii kanuni za mwenendo za Yehova (Wim 4:12; w15 15/1 uku. 32 fu. 15)

Buzuri ya ndani njo ya lazima kupita buzuri ya inje, na kila mutu anaweza kufikia kuwa na buzuri ya ndani (g16.4 uku. 15 fu. 1-2)

Picha mbalimbali: 1. Dada moya iko nafariji kwa upendo dada kijana mwenye iko na magumu. 2. Ndugu moya kijana iko nasaidia ndugu mwingine mwenye kuzeeka wakati biko mu mahubiri.

UJIULIZE, ‘Ni masifa gani njo napendaka zaidi kuona kwa bengine?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Wim 3:5—Juu ya nini Mushulami aliapisha “mabinti wa Yerusalemu kwa swala na paa wa pori”? (w06 15/11 uku. 18 fu. 4)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Wim 4:​1-16 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Ambia mwenye-nyumba kuhusu mupango wetu wa kujifunza Biblia na batu, na umuonyeshe namna tunafanyaka vile. (lmd somo ya 6 nukta ya 4)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Onyesha mutu namna ya kupata habari ku jw.org mu luga yake. (lmd somo ya 4 nukta ya 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) ijwbq habari ya 131—Kichwa: Biblia Inasema Nini Juu ya Kujipodoa na Kuvaa Vitu vya Kujipamba? (th somo ya 1)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 36

7. Funga Ndoa Katika Bwana tu (Mwa 28:2)

(Dak. 8)

Muangalie VIDEO.

8. Utakuwa Bwana ao Bibi Muzuri?

(Dak. 7) Mazungumuzo.

Uko natafuta mutu wa kuoana naye? Ni masifa gani njo utapenda akuwe nayo? Wakati Bakristo bengine benye biko natafuta bakuoana nabo banakuangalia weye, banaonaka kama uko mutu wa masifa ya muzuri? Mutu anaweza kutenda kwa wakati fulani sawa Mukristo, lakini kumuchunguza mu hali mbalimbali njo kutakusaidia ujue kama iko na masifa ya muzuri ao hapana.

Mu bisi, dada moya anaachia fasi yake mwanamuke mwenye kuzeeka.
Ndugu moya anapatia mufanya kazi mwenzake trakte wakati biko natoka fasi ya ujenzi kwenye banatumikiaka.
Bandugu bawili na badada bawili biko mu mahubiri. Mumoya kati ya bale bandugu iko naonyesha badada eneo kwenye batahubiria.

Andika andiko yenye inapatana na kila sifa yenye kufuata yenye mutu wa kiroho anaonyeshaka. Kisha, ujichunguze juu ya kuona kama uko naonyesha hii masifa.

  • Kumupenda Yehova na kumuamini

  • Kukuwa kichwa muzuri ya familia ao kukuwa bibi mwenye kuheshimia bwana yake

  • Kukuwa na upendo na kufikiria mahitaji ya mwingine kuliko tu kujifikiria

  • Kukuwa na uwezo wa kukamata maamuzi ya muzuri na kukuwa na usawaziko

  • Kutumika kwa bidii

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) lfb somo ya 34-35

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 44 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine