Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 5 uku. 15
  • Furahia Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Furahia Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maamuzi Yenye Inaonyesha Kama Tunamutegemea Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Benye Biko na “Muelekeo Wenye Kufaa” Bataitika Kweli
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Andika Somo Yenye Ulishatumikia
    Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
  • Itika Kama Kuko Mambo Yenye Haujue
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 5 uku. 15

MAISHA YA MUKRISTO

Furahia Kuanzisha Mazungumuzo

Kufanya mazungumuzo ya kawaida na watu ni moja kati ya njia za kuhubiri zenye kufurahisha na zenye kuleta matokeo ya muzuri. Lakini tunaweza kuogopa kuanzisha mazungumuzo ikiwa tunakaza akili juu ya namna tutafikia kuzungumuzia wazo fulani ya Biblia. Kuliko kuhangaika sana juu ya mambo yenye utasema ili kutoa ushahidi, uonyeshe kama unapendezwa na musikilizaji wako. (Mt 22:39; Flp 2:4) Wakati wa mazungumuzo, kama nafasi ya kuzungumuzia imani yako inajitokeza, uko na vyombo mingi vya kukusaidia.

Namna gani vyombo vyenye kufuata vinaweza kukusaidia utoe ushahidi juu ya habari fulani yenye muko nazungumuzia?

Karte ya JW.ORG.
Logo ya jw.org.
Picha: Trakte mbalimbali. 1. “Uko na Mawazo Gani Juu ya Biblia?” 2. “Uko na Mawazo Gani Juu ya Wakati Wenye Kuja?” 3. “Ni Nini Inaweza Kufanya Familia Ikuwe na Furaha?” 4. “Ni Nani Mwenye Anatawala Dunia?” 5. “Kuko Siku Mateso Itaisha?” 6. “Watu Wenye Wamekufa Wanaweza Kuishi Tena?” 7. “Ufalme wa Mungu Ni Nini?” 8. “Tunaweza Kupata Wapi Majibu ya Maulizo ya Maana Sana Juu ya Maisha?”

MUANGALIE VIDEO “CHUMA KINANOA CHUMA”​—NAMNA YA KUANZISHA MAZUNGUMUZO, NA KISHA MUJIBIE ULIZO YENYE KUFUATA:

Ni mambo gani tatu yenye inaweza kutusaidia kukomalisha ufundi wetu wa kuzungumuza na watu?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine