Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Daudi hatajenga hekalu (1-7)

      • Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (8-17)

      • Sala ya Daudi ya shukrani (18-29)

2 Samweli 7:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya mufalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:1

2 Samweli 7:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:1; 1Nya 29:29
  • +2 Sa. 5:11
  • +2 Sa. 6:17

2 Samweli 7:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:17; 1Nya 17:2; 22:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2012, uku. 24-25

2 Samweli 7:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:3; 8:17-19; 1Nya 17:4-6; 22:7, 8

2 Samweli 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nikitembea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 18:1
  • +Kut 40:18, 34

2 Samweli 7:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

2 Samweli 7:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:11
  • +2 Sa. 5:2; 1Nya 17:7-10; 28:4; Zab 78:70, 71

2 Samweli 7:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitakatilia mbali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:14; 2 Sa. 5:10
  • +2 Sa. 22:1; Zab 18:37
  • +1Nya 14:2, 17

2 Samweli 7:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:14; Zab 89:20, 22

2 Samweli 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “familia ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:16
  • +Kum 25:19
  • +1 Fal. 2:24; Zab 89:4

2 Samweli 7:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

  • *

    Tnn., “ule mwenye atatoka katika sehemu zako za ndani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:1
  • +Mwa 49:10; 1 Fal. 8:20; 1Nya 17:11-14; Zab 132:11; Isa 9:7; 11:1; Mt 21:9; 22:42; Lu 1:32, 33; Yoh 7:42; Mdo 2:30

2 Samweli 7:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:5; 6:12; Zek 6:12, 13
  • +1 Fal. 1:37; 1Nya 22:10; 28:7; Zab 89:4, 36

2 Samweli 7:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Adamu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:6; Mt 3:17; Ebr 1:5
  • +Zab 89:30, 32; Yer 52:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 63-64

2 Samweli 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:23, 26

2 Samweli 7:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 45:6; 89:36; Da. 2:44; Ebr 1:8; Ufu 11:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2010, uku. 20

    15/12/2006, uku. 4

2 Samweli 7:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:15

2 Samweli 7:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:16-22

2 Samweli 7:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sheria.”

2 Samweli 7:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:7; Zab 17:3

2 Samweli 7:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulingana na mapenzi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:14

2 Samweli 7:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:24; 1Nya 16:25
  • +Kut 15:11; Zab 83:18
  • +Kum 4:35

2 Samweli 7:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:7; Zab 147:19, 20
  • +Kut 3:8; 19:5; Isa 63:9
  • +Kut 9:16
  • +Kum 10:21

2 Samweli 7:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 26:18
  • +Kut 15:2

2 Samweli 7:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:23-27; Zab 89:20, 28

2 Samweli 7:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:11; Zab 72:19; Mt 6:9; Yoh 12:28
  • +Isa 9:7; Yer 33:22

2 Samweli 7:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “familia ya kifalme.”

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Tnn., “amepata moyo wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:11

2 Samweli 7:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 23:19; Zab 89:35; 132:11; Yoh 17:17

2 Samweli 7:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:20, 36; 132:12
  • +2 Sa. 22:51; Zab 72:17

Maandiko ingine

2 Sam. 7:11Nya 17:1
2 Sam. 7:22 Sa. 12:1; 1Nya 29:29
2 Sam. 7:22 Sa. 5:11
2 Sam. 7:22 Sa. 6:17
2 Sam. 7:31 Fal. 8:17; 1Nya 17:2; 22:7
2 Sam. 7:51 Fal. 5:3; 8:17-19; 1Nya 17:4-6; 22:7, 8
2 Sam. 7:6Yosh. 18:1
2 Sam. 7:6Kut 40:18, 34
2 Sam. 7:81 Sa. 16:11
2 Sam. 7:82 Sa. 5:2; 1Nya 17:7-10; 28:4; Zab 78:70, 71
2 Sam. 7:91 Sa. 18:14; 2 Sa. 5:10
2 Sam. 7:92 Sa. 22:1; Zab 18:37
2 Sam. 7:91Nya 14:2, 17
2 Sam. 7:10Amu 2:14; Zab 89:20, 22
2 Sam. 7:11Amu 2:16
2 Sam. 7:11Kum 25:19
2 Sam. 7:111 Fal. 2:24; Zab 89:4
2 Sam. 7:121 Fal. 2:1
2 Sam. 7:12Mwa 49:10; 1 Fal. 8:20; 1Nya 17:11-14; Zab 132:11; Isa 9:7; 11:1; Mt 21:9; 22:42; Lu 1:32, 33; Yoh 7:42; Mdo 2:30
2 Sam. 7:131 Fal. 5:5; 6:12; Zek 6:12, 13
2 Sam. 7:131 Fal. 1:37; 1Nya 22:10; 28:7; Zab 89:4, 36
2 Sam. 7:141Nya 28:6; Mt 3:17; Ebr 1:5
2 Sam. 7:14Zab 89:30, 32; Yer 52:3
2 Sam. 7:151 Sa. 15:23, 26
2 Sam. 7:16Zab 45:6; 89:36; Da. 2:44; Ebr 1:8; Ufu 11:15
2 Sam. 7:171Nya 17:15
2 Sam. 7:181Nya 17:16-22
2 Sam. 7:201 Sa. 16:7; Zab 17:3
2 Sam. 7:21Zab 25:14
2 Sam. 7:22Kum 3:24; 1Nya 16:25
2 Sam. 7:22Kut 15:11; Zab 83:18
2 Sam. 7:22Kum 4:35
2 Sam. 7:23Kum 4:7; Zab 147:19, 20
2 Sam. 7:23Kut 3:8; 19:5; Isa 63:9
2 Sam. 7:23Kut 9:16
2 Sam. 7:23Kum 10:21
2 Sam. 7:24Kum 26:18
2 Sam. 7:24Kut 15:2
2 Sam. 7:251Nya 17:23-27; Zab 89:20, 28
2 Sam. 7:261Nya 29:11; Zab 72:19; Mt 6:9; Yoh 12:28
2 Sam. 7:26Isa 9:7; Yer 33:22
2 Sam. 7:272 Sa. 7:11
2 Sam. 7:28Hes 23:19; Zab 89:35; 132:11; Yoh 17:17
2 Sam. 7:29Zab 89:20, 36; 132:12
2 Sam. 7:292 Sa. 22:51; Zab 72:17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 7:1-29

Cha Pili cha Samweli

7 Wakati mufalme alikuwa anaishi katika nyumba yake mwenyewe*+ na Yehova alikuwa amemupatia pumuziko kutokana na maadui wake wote wenye walimuzunguka, 2 mufalme akamuambia nabii Natani:+ “Angalia, mimi ninaishi katika nyumba ya mierezi+ wakati Sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 3 Natani akamujibu mufalme: “Uende na ufanye jambo lolote lenye kuwa katika moyo wako, kwa maana Yehova iko* pamoja na wewe.”+

4 Usiku uleule, neno la Yehova likakuja kwa Natani, likisema: 5 “Uende na umuambie mutumishi wangu Daudi, ‘Yehova anasema hivi: “Je, utanijengea nyumba ya kukaa ndani yake?+ 6 Kwa maana sijakaa ndani ya nyumba tangu siku yenye nilileta watu wa Israeli kutoka Misri mupaka leo,+ lakini nimekuwa nikihama* huku na kule katika hema na katika tabenakulo.+ 7 Wakati wote wenye nilienda pamoja na Waisraeli* wote, je, kuko siku nilimuambia neno lolote mutu yeyote kati ya viongozi wa makabila ya Israeli wenye niliweka ili wachunge watu wangu Israeli, nikisema, ‘Sababu gani hamukunijengea nyumba ya mierezi?’”’ 8 Sasa ambia hivi mutumishi wangu Daudi, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutosha katika malisho, ili usiendelee kufuata kundi,+ ili ukuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+ 9 Na nitakuwa pamoja na wewe kila mahali kwenye utaenda,+ na nitaharibu* maadui wako wote kutoka mbele yako;+ na nitakufanyia jina kubwa+ kama jina la watu wakubwa wa dunia. 10 Nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli na kuwakalisha pale, na wataishi pale na hawatasumbuliwa tena; na watu waovu hawatawakandamiza tena kama vile walifanya zamani,+ 11 tangu siku yenye niliweka waamuzi+ juu ya watu wangu Israeli. Na nitakupatia pumuziko kutokana na maadui wako wote.+

“‘“Pia, Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.*+ 12 Wakati siku zako zitafikia mwisho+ na ulale pamoja na mababu zako, basi nitainua uzao wako* kisha wewe, mwana wako mwenyewe,* na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+ 13 Yeye ndiye atajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ na nitafanya imara kabisa kiti cha ufalme wake milele.+ 14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwana wangu.+ Wakati atakosea, nitamukaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+ 15 Upendo wangu mushikamanifu hautaondolewa kwake kama vile niliuondoa kwa Sauli,+ mwenye niliondoa mbele yako. 16 Nyumba yako na ufalme wako vitakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitafanywa kuwa imara kabisa milele.”’”+

17 Natani akamuambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+

18 Halafu Mufalme Daudi akaingia na kukaa mbele ya Yehova na kusema: “Mimi ni nani, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova? Na nyumba yangu ni nini hivi kwamba umenileta mupaka hapa?+ 19 Na kama vile hilo halitoshe, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, unasema pia juu ya nyumba ya mutumishi wako mupaka wakati murefu wenye kuja; na hili ni agizo* kwa wanadamu wote, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova. 20 Mutumishi wako Daudi anaweza kukuambia nini tena wakati unanijua muzuri sana,+ Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova? 21 Kwa ajili ya neno lako na kupatana na moyo wako* umefanya mambo haya yote makubwa na umeyafunulia mutumishi wako.+ 22 Ndiyo sababu wewe kwa kweli ni mukubwa,+ Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova. Hakuna mwenye kuwa kama wewe,+ na hakuna Mungu isipokuwa wewe;+ mambo yote yenye tumesikia kwa masikio yetu yanahakikisha jambo hilo. 23 Na ni taifa gani lingine katika dunia lenye kuwa kama watu wako Israeli?+ Mungu alienda na kuwakomboa ili wakuwe watu wake,+ akajifanyia jina+ kwa kufanya mambo makubwa na yenye kuogopesha sana kwa ajili yao.+ Ulifukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, wenye ulikomboa kutoka Misri kwa ajili yako mwenyewe. 24 Ulifanya watu wako Israeli kuwa imara ili wakuwe watu wako mwenyewe kwa wakati wote;+ na wewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+

25 “Sasa, Ee Yehova Mungu, timiza ahadi yenye umefanya juu ya mutumishi wako na nyumba yake kwa wakati wote, na ufanye kama vile umeahidi.+ 26 Jina lako litukuzwe milele,+ ili watu waseme, ‘Yehova wa majeshi ni Mungu juu ya Israeli,’ na nyumba ya mutumishi wako Daudi ifanywe imara kabisa mbele yako.+ 27 Kwa maana wewe, Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, umemufunulia mutumishi wako kwa kusema, ‘Nitakujengea nyumba.’*+ Ndiyo sababu mutumishi wako iko* na uhodari* wa kukutolea sala hii. 28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli,+ na maneno yako ni kweli, na umeahidi mutumishi wako mambo hayo mema. 29 Basi ikupendeze kubariki nyumba ya mutumishi wako, na iendelee mbele yako milele;+ kwa sababu wewe, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, umeahidi, na kwa baraka yako nyumba ya mutumishi wako ibarikiwe milele.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine