-
Zaburi 8:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba unamweka akilini,
Na mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+
-
-
Waebrania 2:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Lakini mahali fulani shahidi mmoja alisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba unamweka akilini, au mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+
-