Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba ulinzi

        • “Umeuchunguza moyo wangu” (3)

        • “Katika kivuli cha mabawa yako” (8)

Zaburi 17:1

Marejeo

  • +Zb 145:18

Zaburi 17:2

Marejeo

  • +Zb 37:5, 6

Zaburi 17:3

Marejeo

  • +Zb 11:5; 16:7; 1Ko 4:4
  • +Zb 26:2; Mal 3:3; 1Pe 1:6, 7

Zaburi 17:4

Marejeo

  • +Zb 119:9

Zaburi 17:5

Marejeo

  • +Zb 18:36; 94:18; 119:133; 121:3

Zaburi 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Inama chini na unisikilize.”

Marejeo

  • +Zb 55:16
  • +Isa 37:17

Zaburi 17:7

Marejeo

  • +Zb 31:21; Omb 3:22

Zaburi 17:8

Marejeo

  • +Kum 32:9, 10; Zek 2:8
  • +Ru 2:12; Zb 36:7; 57:1

Zaburi 17:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maadui wangu walio dhidi ya nafsi.”

Marejeo

  • +1Sa 24:11; Zb 35:4

Zaburi 17:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wamefunikwa na mafuta yao wenyewe.”

Zaburi 17:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kututupa chini.”

Marejeo

  • +1Sa 23:26

Zaburi 17:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Iokoe nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 7:6

Zaburi 17:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mfumo huu wa mambo.”

Marejeo

  • +Zb 73:12
  • +Mt 5:45

Zaburi 17:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuona sura yako.”

Marejeo

  • +Zb 65:4

Jumla

Zab. 17:1Zb 145:18
Zab. 17:2Zb 37:5, 6
Zab. 17:3Zb 11:5; 16:7; 1Ko 4:4
Zab. 17:3Zb 26:2; Mal 3:3; 1Pe 1:6, 7
Zab. 17:4Zb 119:9
Zab. 17:5Zb 18:36; 94:18; 119:133; 121:3
Zab. 17:6Zb 55:16
Zab. 17:6Isa 37:17
Zab. 17:7Zb 31:21; Omb 3:22
Zab. 17:8Kum 32:9, 10; Zek 2:8
Zab. 17:8Ru 2:12; Zb 36:7; 57:1
Zab. 17:91Sa 24:11; Zb 35:4
Zab. 17:111Sa 23:26
Zab. 17:13Zb 7:6
Zab. 17:14Zb 73:12
Zab. 17:14Mt 5:45
Zab. 17:15Zb 65:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 17:1-15

Zaburi

Sala ya Daudi.

17 Sikia sihi yangu ya kuomba haki, Ee Yehova;

Sikiliza kilio changu cha kuomba msaada;

Sikiliza sala yangu ninayosema bila udanganyifu.+

 2 Nawe ufanye uamuzi wa haki kwa niaba yangu;+

Macho yako na yaone yaliyo sawa.

 3 Umeuchunguza moyo wangu, umenikagua wakati wa usiku;+

Umenisafisha;+

Utagundua kwamba sijapanga njama ya kutenda uovu wowote,

Na kinywa changu hakijatenda dhambi.

 4 Kuhusiana na shughuli za wanadamu,

Kulingana na neno la midomo yako, ninaepuka njia za mnyang’anyi.+

 5 Acha hatua zangu zibaki kwenye njia zako

Ili miguu yangu isijikwae.+

 6 Ninakuita wewe, kwa sababu utanijibu,+ Ee Mungu.

Nitegee sikio lako.* Sikia maneno yangu.+

 7 Onyesha upendo wako mshikamanifu kwa njia yenye kustaajabisha,+

Ee Mwokozi wa wale wanaokimbilia mkono wako wa kuume

Kutoka kwa wale wanaokuasi.

 8 Nilinde kama mboni ya jicho lako;+

Nifiche katika kivuli cha mabawa yako.+

 9 Nilinde kutokana na waovu wanaonishambulia,

Kutokana na maadui wangu* wanaoweza kufa ambao wananizingira.+

10 Wamekufa ganzi;*

Kwa kinywa chao wanaongea kwa kiburi;

11 Sasa wanatuzingira;+

Wanatafuta nafasi ya kutuangusha.*

12 Yeye ni kama simba anayetamani kurarua windo lake vipandevipande,

Kama mwanasimba anayenyemelea mafichoni.

13 Inuka, Ee Yehova, ukabiliane naye+ na kumwangusha chini;

Niokoe* kutoka kwa mwovu kwa kutumia upanga wako;

14 Niokoe kwa mkono wako, Ee Yehova,

Kutoka kwa watu wa ulimwengu huu,* ambao fungu lao liko katika maisha haya,+

Wale ambao unawajaza kwa vitu vizuri unavyoandaa+

Na ambao huwaachia urithi wana wao wengi.

15 Lakini mimi, nitauona uso wako kwa sababu ya uadilifu wangu;

Ninaridhika kuamka mbele zako.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki