Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI ZILIZONAKILIWA NA WATU WA MFALME HEZEKIA (25:1–29:27)

Methali 28:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanasimba.”

Marejeo

  • +Da 3:16, 17; Mdo 4:13

Methali 28:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uasi.”

Marejeo

  • +1Fa 16:8, 15, 22
  • +Da 4:27

Methali 28:3

Marejeo

  • +Met 14:31

Methali 28:4

Marejeo

  • +Hes 25:6-8; 1Sa 15:22, 23; Efe 5:11

Methali 28:5

Marejeo

  • +Zb 25:14; Mk 4:11, 12; Yak 1:5

Methali 28:6

Marejeo

  • +Met 16:8; 19:1

Methali 28:7

Marejeo

  • +Met 23:20; 1Ko 15:33

Methali 28:8

Marejeo

  • +Kum 23:19
  • +Met 13:22; 19:17

Methali 28:9

Marejeo

  • +Zb 66:18; Met 15:29; Isa 1:15

Methali 28:10

Marejeo

  • +Zb 7:14-16
  • +Kum 7:12; Zb 37:11, 18; 84:11

Methali 28:11

Marejeo

  • +Met 18:11
  • +Mk 10:21

Methali 28:12

Marejeo

  • +1Fa 17:1-3; Met 29:2

Methali 28:13

Marejeo

  • +1Sa 15:13-15
  • +2Sa 12:13; 2Nya 33:12, 13; Zb 32:3, 5; 51:1

Methali 28:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayeogopa nyakati zote.”

Marejeo

  • +Kut 7:22; Ne 9:29; Met 29:1; Yer 16:12, 13

Methali 28:15

Marejeo

  • +Sef 3:3; Mt 2:16

Methali 28:16

Marejeo

  • +Ne 5:15; Amo 4:1
  • +Isa 33:15, 16

Methali 28:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliyelemewa na damu ya nafsi.”

  • *

    Au “shimoni.”

Marejeo

  • +Mwa 9:6; 1Fa 21:19; Mt 27:3-5

Methali 28:18

Marejeo

  • +Zb 25:21
  • +Zb 73:12, 18; 1Th 5:3; Ufu 3:3

Methali 28:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate mwingi.”

Marejeo

  • +Met 23:21; Lu 15:13, 14

Methali 28:20

Marejeo

  • +1Sa 18:5; Ne 7:2; Zb 101:6
  • +2Fa 5:20-22; Yer 17:11; 1Ti 6:9

Methali 28:21

Marejeo

  • +Law 19:15; Met 18:5; Yak 2:1

Methali 28:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pupa.”

Methali 28:23

Marejeo

  • +2Sa 12:7, 9; Gal 2:11
  • +Zb 141:5; Met 27:6

Methali 28:24

Marejeo

  • +Mk 7:10, 11
  • +Met 19:26

Methali 28:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Nafsi yenye kiburi.”

  • *

    Tnn., “atanenepeshwa.”

Marejeo

  • +1Fa 3:11-13

Methali 28:26

Marejeo

  • +Met 3:5; Yer 17:9
  • +Ayu 28:28

Methali 28:27

Marejeo

  • +Kum 15:7, 10; Zb 41:1; Met 19:17; Ebr 13:16

Methali 28:28

Marejeo

  • +Est 8:17

Jumla

Met. 28:1Da 3:16, 17; Mdo 4:13
Met. 28:21Fa 16:8, 15, 22
Met. 28:2Da 4:27
Met. 28:3Met 14:31
Met. 28:4Hes 25:6-8; 1Sa 15:22, 23; Efe 5:11
Met. 28:5Zb 25:14; Mk 4:11, 12; Yak 1:5
Met. 28:6Met 16:8; 19:1
Met. 28:7Met 23:20; 1Ko 15:33
Met. 28:8Kum 23:19
Met. 28:8Met 13:22; 19:17
Met. 28:9Zb 66:18; Met 15:29; Isa 1:15
Met. 28:10Zb 7:14-16
Met. 28:10Kum 7:12; Zb 37:11, 18; 84:11
Met. 28:11Met 18:11
Met. 28:11Mk 10:21
Met. 28:121Fa 17:1-3; Met 29:2
Met. 28:131Sa 15:13-15
Met. 28:132Sa 12:13; 2Nya 33:12, 13; Zb 32:3, 5; 51:1
Met. 28:14Kut 7:22; Ne 9:29; Met 29:1; Yer 16:12, 13
Met. 28:15Sef 3:3; Mt 2:16
Met. 28:16Ne 5:15; Amo 4:1
Met. 28:16Isa 33:15, 16
Met. 28:17Mwa 9:6; 1Fa 21:19; Mt 27:3-5
Met. 28:18Zb 25:21
Met. 28:18Zb 73:12, 18; 1Th 5:3; Ufu 3:3
Met. 28:19Met 23:21; Lu 15:13, 14
Met. 28:201Sa 18:5; Ne 7:2; Zb 101:6
Met. 28:202Fa 5:20-22; Yer 17:11; 1Ti 6:9
Met. 28:21Law 19:15; Met 18:5; Yak 2:1
Met. 28:232Sa 12:7, 9; Gal 2:11
Met. 28:23Zb 141:5; Met 27:6
Met. 28:24Mk 7:10, 11
Met. 28:24Met 19:26
Met. 28:251Fa 3:11-13
Met. 28:26Met 3:5; Yer 17:9
Met. 28:26Ayu 28:28
Met. 28:27Kum 15:7, 10; Zb 41:1; Met 19:17; Ebr 13:16
Met. 28:28Est 8:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 28:1-28

Methali

28 Waovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayewakimbiza,

Lakini waadilifu wana ujasiri kama simba.*+

 2 Kunapokuwa na uovu* nchini, nchi inakuwa na kiongozi mmoja baada ya mwingine,+

Lakini kwa msaada wa mtu mwenye utambuzi na ujuzi, kiongozi atadumu kwa muda mrefu.+

 3 Mtu maskini anayempunja mtu wa hali ya chini+

Ni kama mvua inayofagilia mbali chakula chote.

 4 Wale wanaoiacha sheria humsifu mtu mwovu,

Lakini wale wanaoishika sheria huwakasirikia.+

 5 Waovu hawawezi kuelewa haki,

Lakini wale wanaomtafuta Yehova wanaweza kuelewa mambo yote.+

 6 Ni afadhali maskini anayetembea kwa utimilifu wake

Kuliko tajiri ambaye njia zake zimepotoka.+

 7 Mwana mwenye uelewaji hushika sheria,

Lakini rafiki ya walafi humwaibisha baba yake.+

 8 Anayezidisha mali zake kwa faida+ na riba

Humkusanyia yule anayemtendea maskini kwa fadhili.+

 9 Anayekataa kusikiliza sheria

—Hata sala yake inachukiza.+

10 Anayempotosha mnyoofu afuate njia ya uovu ataanguka katika shimo lake mwenyewe,+

Lakini wasio na lawama watarithi kilicho chema.+

11 Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima,+

Lakini mtu maskini aliye na utambuzi anaweza kumchunguza kabisa.+

12 Waadilifu wanaposhinda, kuna utukufu mwingi,

Lakini waovu wanapopata mamlaka, watu hujificha.+

13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+

Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+

14 Mwenye furaha ni mtu aliye chonjo sikuzote,*

Lakini yeyote anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+

15 Kama simba anayenguruma na dubu anayeshambulia

Ndivyo alivyo mtawala mwovu anayewatawala watu wasio na uwezo.+

16 Kiongozi asiye na utambuzi hutumia vibaya mamlaka yake,+

Lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki atarefusha maisha yake.+

17 Mtu aliyelemewa na hatia ya damu kwa sababu ya kumuua mwingine* ataendelea kukimbia mpaka kaburini.*+

Mtu yeyote asimsaidie.

18 Anayetembea bila kosa ataokolewa,+

Lakini yule ambaye njia zake zimepotoka ataanguka ghafla.+

19 Anayelima ardhi yake atakuwa na chakula kingi,*

Lakini anayefuatia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+

20 Mtu mwaminifu atapata baraka nyingi,+

Lakini anayeharakisha kupata utajiri hatabaki bila hatia.+

21 Si vema kuonyesha upendeleo;+

Lakini mtu anaweza kukosea kwa sababu ya kipande cha mkate.

22 Mtu mwenye wivu* hujitahidi sana kupata mali,

Lakini hajui kwamba umaskini utamkumba.

23 Yeyote anayemkaripia mwingine+ hatimaye atapata kibali zaidi+

Kuliko mtu anayesifusifu kwa ulimi wake.

24 Yeyote anayemwibia baba yake na mama yake na kusema, “Si kosa,”+

Ni rafiki ya mtu anayesababisha uharibifu.+

25 Mtu mwenye pupa* huchochea mgawanyiko,

Lakini yeyote anayemtegemea Yehova atapata ufanisi.*+

26 Yeyote anayeutumaini moyo wake mwenyewe ni mpumbavu,+

Lakini anayetembea kwa hekima ataponyoka.+

27 Yeyote anayewapa maskini hatakosa chochote,+

Lakini yule anayewafumbia macho atapata laana nyingi.

28 Waovu wanapopata mamlaka, mtu hujificha,

Lakini wanapoangamia, waadilifu huongezeka.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki