Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:16-18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+

      Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+

      Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+

      17 Ninaweza kuhesabu mifupa yangu yote.+

      Wananitazama na kunikodolea macho.

      18 Wanagawana mavazi yangu,

      Nao wanalipigia kura vazi langu.+

  • Isaya 53:1-12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Danieli 9:26
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki