16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+
Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+
Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+
17 Ninaweza kuhesabu mifupa yangu yote.+
Wananitazama na kunikodolea macho.
18 Wanagawana mavazi yangu,
Nao wanalipigia kura vazi langu.+