Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Yakobo akawa baba ya Yosefu mume wa Maria, aliyemzaa Yesu,+ aitwaye Kristo.+

  • Mathayo 13:55
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+

  • Luka 4:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Wote wakaanza kutoa ushahidi unaofaa kumhusu na kushangazwa na maneno yenye neema yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake,+ nao wakawa wakiambiana: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+

  • Yohana 6:42
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 42 Nao wakaanza kusema: “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua?+ Sasa anawezaje kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki