Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni ngome ya uhai wangu

        • Kulithamini hekalu la Mungu (4)

        • Yehova anajali hata ikiwa wazazi hawajali (10)

        • “Mtumaini Yehova” (14)

Zaburi 27:1

Marejeo

  • +Zb 36:9; 43:3; 119:105
  • +Zb 23:4; Ro 8:31; Ebr 13:6
  • +Zb 62:6; Isa 12:2

Zaburi 27:2

Marejeo

  • +Zb 22:16

Zaburi 27:3

Marejeo

  • +2Nya 20:15; 32:7; Zb 3:6

Zaburi 27:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutazama kwa kutafakari.”

  • *

    Au “mahali pake patakatifu.”

Marejeo

  • +Zb 23:6; 65:4
  • +1Sa 3:3; 1Nya 16:1; Zb 26:8

Zaburi 27:5

Marejeo

  • +Zb 32:7; 57:1; Sef 2:3
  • +Zb 61:4
  • +Zb 40:2

Zaburi 27:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitampigia muziki.”

Zaburi 27:7

Marejeo

  • +Zb 130:2
  • +Zb 4:1; 5:2

Zaburi 27:8

Marejeo

  • +Zb 63:1; 105:4; Sef 2:3

Zaburi 27:9

Marejeo

  • +Zb 69:17; 143:7
  • +Zb 46:1

Zaburi 27:10

Marejeo

  • +Zb 69:8
  • +Isa 49:15

Zaburi 27:11

Marejeo

  • +Zb 25:4; 86:11; Isa 30:20; 54:13

Zaburi 27:12

Marejeo

  • +Zb 31:8; 41:2, 11
  • +Mt 26:59-61

Zaburi 27:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Kwa hakika nina imani kwamba nitauona wema wa Yehova katika nchi ya walio hai.”

Marejeo

  • +Ayu 33:28-30

Zaburi 27:14

Marejeo

  • +Zb 25:3; 62:5
  • +Isa 40:31

Jumla

Zab. 27:1Zb 36:9; 43:3; 119:105
Zab. 27:1Zb 23:4; Ro 8:31; Ebr 13:6
Zab. 27:1Zb 62:6; Isa 12:2
Zab. 27:2Zb 22:16
Zab. 27:32Nya 20:15; 32:7; Zb 3:6
Zab. 27:4Zb 23:6; 65:4
Zab. 27:41Sa 3:3; 1Nya 16:1; Zb 26:8
Zab. 27:5Zb 32:7; 57:1; Sef 2:3
Zab. 27:5Zb 61:4
Zab. 27:5Zb 40:2
Zab. 27:7Zb 130:2
Zab. 27:7Zb 4:1; 5:2
Zab. 27:8Zb 63:1; 105:4; Sef 2:3
Zab. 27:9Zb 69:17; 143:7
Zab. 27:9Zb 46:1
Zab. 27:10Zb 69:8
Zab. 27:10Isa 49:15
Zab. 27:11Zb 25:4; 86:11; Isa 30:20; 54:13
Zab. 27:12Zb 31:8; 41:2, 11
Zab. 27:12Mt 26:59-61
Zab. 27:13Ayu 33:28-30
Zab. 27:14Zb 25:3; 62:5
Zab. 27:14Isa 40:31
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 27:1-14

Zaburi

Wa Daudi.

27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.

Nimwogope nani?+

Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

Nimhofu nani?

 2 Waovu waliponishambulia ili waunyafue mwili wangu,+

Wapinzani wangu na maadui wangu ndio waliojikwaa na kuanguka.

 3 Hata jeshi likipiga kambi ili kunishambulia,

Moyo wangu hautaogopa.+

Hata vita vikizuka dhidi yangu,

Bado nitaendelea kuwa jasiri.

 4 Nimemwomba Yehova jambo moja

—Ndilo nitakalolitafuta—

Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+

Ili kuutazama uzuri wa Yehova

Na kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+

 5 Kwa maana atanificha katika banda lake siku ya msiba;+

Atanificha mahali pa siri katika hema lake;+

Ataniweka juu kwenye mwamba.+

 6 Sasa kichwa changu kiko juu sana ya maadui wangu wanaonizingira;

Nitatoa dhabihu katika hema lake kwa kelele za shangwe;

Nitamwimbia sifa* Yehova.

 7 Nisikie, Ee Yehova, ninapolia kwa sauti;+

Nionyeshe kibali na kunijibu.+

 8 Moyo wangu umesema hivi kwa niaba yako:

“Utafute uso wangu.”

Nitautafuta uso wako, Ee Yehova.+

 9 Usinifiche uso wako.+

Usimfukuze kwa hasira mtumishi wako.

Wewe ni msaidizi wangu;+

Usinitupe wala usiniache, Mungu wa wokovu wangu.

10 Hata baba yangu na mama yangu wakiniacha,+

Yehova mwenyewe atanichukua.+

11 Nifundishe njia yako, Ee Yehova,+

Niongoze katika kijia cha unyoofu kwa sababu ya maadui wangu.

12 Usinitie mikononi mwa maadui wangu,+

Kwa maana mashahidi wa uwongo wameinuka dhidi yangu,+

Nao wanatoa vitisho vya kunitendea kwa ukatili.

13 Ningekuwa wapi ikiwa singekuwa na imani

Kwamba nitauona wema wa Yehova katika nchi ya walio hai?*+

14 Mtumaini Yehova;+

Uwe jasiri na uwe na moyo mkuu.+

Naam, mtumaini Yehova.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki