Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 62
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Wokovu wa kweli hutoka kwa Mungu

        • “Ninamngojea Mungu kimyakimya” (1, 5)

        • ‘Mwageni mioyo yenu mbele za Mungu’ (8)

        • Wanadamu ni pumzi tu (9)

        • Usitumaini mali (10)

Zaburi 62:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 62:1

Marejeo

  • +Zb 37:39; 68:19; Isa 12:2

Zaburi 62:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele changu salama.”

Marejeo

  • +Zb 18:2
  • +Zb 37:23, 24; 2Ko 4:8, 9

Zaburi 62:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Ninyi nyote, kana kwamba alikuwa ukuta ulioinama, ukuta wa mawe unaokaribia kuanguka.”

Marejeo

  • +Zb 38:12

Zaburi 62:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “heshima yake.”

Marejeo

  • +Zb 5:9; 28:3; 55:21

Zaburi 62:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kwa kweli, Ee nafsi yangu, mngojee.”

Marejeo

  • +Zb 43:5; Mik 7:7
  • +Zb 62:1, 2; 71:5

Zaburi 62:6

Marejeo

  • +Zb 16:8; Met 10:30

Zaburi 62:7

Marejeo

  • +Zb 95:1; Isa 26:4

Zaburi 62:8

Marejeo

  • +1Sa 1:15
  • +Met 14:26

Zaburi 62:9

Marejeo

  • +Zb 60:11
  • +Isa 40:15

Zaburi 62:10

Marejeo

  • +Kum 6:10-12; Ayu 31:24, 28; Met 11:4, 28; 23:4, 5; Mt 6:19, 24; Mk 8:36; Lu 12:15; 1Ti 6:17; 1Yo 2:16

Zaburi 62:11

Marejeo

  • +Ayu 9:4; Nah 1:3; Ufu 19:1

Zaburi 62:12

Marejeo

  • +Zb 36:7; 86:15; Mik 7:18
  • +Ayu 34:11; Met 24:12; Ro 2:6; 2Ko 5:10; Gal 6:7; 2Ti 4:14; Ufu 20:12, 13; 22:12

Jumla

Zab. 62:1Zb 37:39; 68:19; Isa 12:2
Zab. 62:2Zb 18:2
Zab. 62:2Zb 37:23, 24; 2Ko 4:8, 9
Zab. 62:3Zb 38:12
Zab. 62:4Zb 5:9; 28:3; 55:21
Zab. 62:5Zb 43:5; Mik 7:7
Zab. 62:5Zb 62:1, 2; 71:5
Zab. 62:6Zb 16:8; Met 10:30
Zab. 62:7Zb 95:1; Isa 26:4
Zab. 62:81Sa 1:15
Zab. 62:8Met 14:26
Zab. 62:9Zb 60:11
Zab. 62:9Isa 40:15
Zab. 62:10Kum 6:10-12; Ayu 31:24, 28; Met 11:4, 28; 23:4, 5; Mt 6:19, 24; Mk 8:36; Lu 12:15; 1Ti 6:17; 1Yo 2:16
Zab. 62:11Ayu 9:4; Nah 1:3; Ufu 19:1
Zab. 62:12Zb 36:7; 86:15; Mik 7:18
Zab. 62:12Ayu 34:11; Met 24:12; Ro 2:6; 2Ko 5:10; Gal 6:7; 2Ti 4:14; Ufu 20:12, 13; 22:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 62:1-12

Zaburi

Kwa kiongozi; wa Yeduthuni.* Muziki wa Daudi.

62 Kwa kweli, ninamngojea Mungu kimyakimya.

Wokovu wangu unatoka kwake.+

 2 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;*+

Kamwe, sitatikiswa sana.+

 3 Mtaendelea mpaka lini kumshambulia mtu ili kumuua?+

Ninyi nyote ni hatari kama ukuta ulioinama, ukuta wa mawe unaokaribia kuanguka.*

 4 Kwa maana wanashauriana ili kumwangusha kutoka katika cheo chake cha juu;*

Wanafurahia kusema uwongo.

Kwa kinywa chao wanabariki, lakini ndani yao wanalaani.+ (Sela)

 5 Kwa kweli, ninamngojea* Mungu kimyakimya+

Kwa sababu tumaini langu linatoka kwake.+

 6 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;

Sitatikiswa kamwe.+

 7 Wokovu wangu na utukufu wangu unamtegemea Mungu.

Mwamba wangu imara, kimbilio langu, ni Mungu.+

 8 Mtumainini nyakati zote, enyi watu.

Mwageni mioyo yenu mbele zake.+

Mungu ni kimbilio letu.+ (Sela)

 9 Wanadamu ni pumzi tu,

Wana wa binadamu ni njozi ya uwongo.+

Wanapowekwa pamoja kwenye mizani, ni wepesi kuliko pumzi.+

10 Msitegemee upunjaji

Wala kuwa na matumaini ya uwongo katika unyang’anyi.

Mali zako zikiongezeka, usizikazie moyoni mwako.+

11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimelisikia jambo hili:

Kwamba nguvu ni za Mungu.+

12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+

Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki