Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni Chanzo cha wema

        • “Yehova ni fungu langu” (5)

        • ‘Mawazo yangu hunirekebisha usiku’ (7)

        • ‘Yehova yuko mkono wangu wa kulia’ (8)

        • “Hutaniacha Kaburini” (10)

Zaburi 16:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 16:1

Marejeo

  • +Zb 25:20

Zaburi 16:3

Marejeo

  • +Zb 119:63

Zaburi 16:4

Marejeo

  • +Kum 8:19; Zb 97:7; Yon 2:8
  • +Kut 23:13; Yos 23:6, 7

Zaburi 16:5

Marejeo

  • +Zb 73:26
  • +Zb 23:5

Zaburi 16:6

Marejeo

  • +Zb 78:55

Zaburi 16:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hisia zangu za ndani kabisa.” Tnn., “figo zangu.”

Marejeo

  • +Isa 48:17
  • +Zb 17:3; 26:2

Zaburi 16:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sitapepesuka (sitayumbayumba) kamwe.”

Marejeo

  • +Zb 139:17, 18
  • +Zb 73:23; Mdo 2:25-28

Zaburi 16:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “utukufu wangu una.”

  • *

    Au “Mwili wangu huishi.”

Zaburi 16:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hutaiacha nafsi yangu.”

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Au labda, “aone uharibifu.”

Marejeo

  • +Zb 49:15; Mdo 2:31; 3:15; Ufu 1:17, 18
  • +Ayu 14:13, 14; Mdo 13:34-37

Zaburi 16:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pamoja na uso wako.”

  • *

    Au “uzuri.”

Marejeo

  • +Met 12:28
  • +Zb 21:6; Mt 5:8

Jumla

Zab. 16:1Zb 25:20
Zab. 16:3Zb 119:63
Zab. 16:4Kum 8:19; Zb 97:7; Yon 2:8
Zab. 16:4Kut 23:13; Yos 23:6, 7
Zab. 16:5Zb 73:26
Zab. 16:5Zb 23:5
Zab. 16:6Zb 78:55
Zab. 16:7Isa 48:17
Zab. 16:7Zb 17:3; 26:2
Zab. 16:8Zb 139:17, 18
Zab. 16:8Zb 73:23; Mdo 2:25-28
Zab. 16:10Zb 49:15; Mdo 2:31; 3:15; Ufu 1:17, 18
Zab. 16:10Ayu 14:13, 14; Mdo 13:34-37
Zab. 16:11Met 12:28
Zab. 16:11Zb 21:6; Mt 5:8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 16:1-11

Zaburi

Miktamu* ya Daudi.

16 Nilinde, Ee Mungu, kwa maana nimekukimbilia wewe.+

 2 Nimemwambia Yehova: “Wewe ni Yehova, Chanzo changu cha wema.

 3 Na watakatifu walio duniani,

Watukufu, ndio ninaopendezwa nao sana.”+

 4 Wale wanaoifuatia miungu mingine huzidisha huzuni yao.+

Sitamimina kamwe matoleo yao ya vinywaji ya damu,

Wala midomo yangu haitataja majina yao.+

 5 Yehova ni fungu langu, sehemu niliyogawiwa,+ na kikombe changu.+

Unaulinda urithi wangu.

 6 Nimepimiwa sehemu zinazopendeza.

Naam, nimeridhika na urithi wangu.+

 7 Nitamsifu Yehova, ambaye amenipa ushauri.+

Hata wakati wa usiku, mawazo yangu ya ndani kabisa* hunirekebisha.+

 8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+

Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+

 9 Kwa hiyo moyo wangu unashangilia, nafsi yangu yote ina* shangwe.

Nami ninaishi* kwa usalama.

10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+

Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+

11 Unanijulisha njia ya uzima.+

Shangwe tele iko mbele zako;*+

Kuna furaha* kwenye mkono wako wa kuume milele.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki