Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 141
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba ulinzi

        • ‘Sala yangu na iwe kama uvumba’ (2)

        • Karipio la mwadilifu ni kama mafuta (5)

        • Waovu wanaanguka ndani ya nyavu zao wenyewe (10)

Zaburi 141:1

Marejeo

  • +Zb 31:17
  • +Zb 40:13; 70:5
  • +Zb 39:12

Zaburi 141:2

Marejeo

  • +Kut 30:34-36
  • +Lu 1:9, 10; Ufu 5:8; 8:3, 4
  • +Kut 29:41

Zaburi 141:3

Marejeo

  • +Met 13:3; 21:23; Yak 1:26

Zaburi 141:4

Marejeo

  • +1Fa 8:58; Zb 119:36

Zaburi 141:5

Marejeo

  • +2Sa 12:7, 9; Met 17:10; Gal 6:1
  • +Met 6:23; Yak 5:14
  • +Met 9:8; 19:25; 25:12

Zaburi 141:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Zaburi 141:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Usiimwage chini nafsi yangu.”

Marejeo

  • +2Nya 20:12; Zb 25:15

Zaburi 141:10

Marejeo

  • +Est 7:10; Zb 7:14, 15; 9:15; 57:6

Jumla

Zab. 141:1Zb 31:17
Zab. 141:1Zb 40:13; 70:5
Zab. 141:1Zb 39:12
Zab. 141:2Kut 30:34-36
Zab. 141:2Lu 1:9, 10; Ufu 5:8; 8:3, 4
Zab. 141:2Kut 29:41
Zab. 141:3Met 13:3; 21:23; Yak 1:26
Zab. 141:41Fa 8:58; Zb 119:36
Zab. 141:52Sa 12:7, 9; Met 17:10; Gal 6:1
Zab. 141:5Met 6:23; Yak 5:14
Zab. 141:5Met 9:8; 19:25; 25:12
Zab. 141:82Nya 20:12; Zb 25:15
Zab. 141:10Est 7:10; Zb 7:14, 15; 9:15; 57:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 141:1-10

Zaburi

Muziki wa Daudi.

141 Ee Yehova, ninakulilia wewe.+

Njoo haraka unisaidie.+

Sikiliza ninapokulilia.+

 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+

Mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama toleo la jioni la nafaka.+

 3 Weka mlinzi wa kinywa changu, Ee Yehova,

Weka ulinzi kwenye mlango wa midomo yangu.+

 4 Usiache moyo wangu uelekee kwenye jambo lolote ovu,+

Nisishirikiane na watu waovu kutenda mambo mapotovu;

Nisile kamwe vyakula vyao vitamu.

 5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+

Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+

Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+

Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba.

 6 Ingawa waamuzi wao wanatupwa chini kutoka kwenye jabali,

Watu watayasikiliza maneno yangu, kwa maana yanapendeza.

 7 Kama mtu anavyolima na kuuvunja-vunja udongo,

Ndivyo mifupa yetu ilivyotawanywa kwenye mlango wa Kaburi.*

 8 Lakini macho yangu yanakutazama wewe, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+

Nimekukimbilia wewe.

Usiniue.*

 9 Nilinde dhidi ya mataya ya mtego walionitegea,

Dhidi ya mitego ya watenda maovu.

10 Waovu wote wataanguka pamoja ndani ya nyavu zao wenyewe+

Huku nikipitia karibu nazo kwa usalama.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki