Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 104
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumsifu Mungu kwa sababu ya maajabu ya uumbaji

        • Dunia itadumu milele (5)

        • Divai na mkate kwa ajili ya mwanadamu anayeweza kufa (15)

        • “Jinsi kazi zako zilivyo nyingi sana!” (24)

        • ‘Roho inapoondolewa, wanakufa’ (29)

Zaburi 104:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhama.”

Marejeo

  • +Zb 103:1
  • +Zb 86:10
  • +1Nya 16:27; Eze 1:27, 28; Da 7:9

Zaburi 104:2

Marejeo

  • +Yak 1:17; 1Yo 1:5
  • +Isa 40:22

Zaburi 104:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika maji.”

Marejeo

  • +Zb 18:11; Amo 9:6
  • +Kum 33:26; Isa 19:1
  • +2Sa 22:11; Ayu 38:1

Zaburi 104:4

Marejeo

  • +Eze 1:13; Ebr 1:7, 14

Zaburi 104:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haitatikiswa.”

Marejeo

  • +Ayu 38:4, 6; Zb 24:1, 2
  • +Mhu 1:4

Zaburi 104:6

Marejeo

  • +Mwa 1:2

Zaburi 104:7

Marejeo

  • +Mwa 1:9

Zaburi 104:8

Marejeo

  • +Met 8:25

Zaburi 104:9

Marejeo

  • +Ayu 38:8-10; Zb 33:7; Met 8:29; Yer 5:22

Zaburi 104:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makorongo.”

Zaburi 104:13

Marejeo

  • +Ayu 38:37; Zb 147:8; Yer 10:13; Amo 9:6; Mt 5:45
  • +Zb 65:9; Mdo 14:17

Zaburi 104:14

Marejeo

  • +Mwa 1:29, 30; 9:3

Zaburi 104:15

Marejeo

  • +Mhu 9:7
  • +Mhu 10:19

Zaburi 104:17

Marejeo

  • +Yer 8:7

Zaburi 104:18

Marejeo

  • +Ayu 39:1
  • +Met 30:26

Zaburi 104:19

Marejeo

  • +Mwa 1:16; Zb 19:6; Yer 31:35

Zaburi 104:20

Marejeo

  • +Mwa 1:5; Zb 74:16; Isa 45:7

Zaburi 104:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wanasimba wenye manyoya marefu shingoni.”

Marejeo

  • +Amo 3:4
  • +Zb 147:9

Zaburi 104:24

Marejeo

  • +Ne 9:6
  • +Met 3:19; Yer 10:12

Zaburi 104:25

Marejeo

  • +Mwa 1:21

Zaburi 104:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ayu 41:1

Zaburi 104:27

Marejeo

  • +Zb 136:25; 145:15; 147:9; Mt 6:26

Zaburi 104:28

Marejeo

  • +Lu 12:24
  • +Zb 107:9; 145:16

Zaburi 104:29

Marejeo

  • +Mwa 3:19; Ayu 34:14, 15; Zb 146:3, 4; Mhu 3:19, 20; 12:7

Zaburi 104:30

Marejeo

  • +Ayu 33:4; Mdo 17:28

Zaburi 104:31

Marejeo

  • +Mwa 1:31

Zaburi 104:32

Marejeo

  • +Kut 19:18

Zaburi 104:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitampigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 13:6
  • +Zb 146:2

Zaburi 104:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Kutafakari kwangu kumhusu na kupendeze.”

Zaburi 104:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 37:10, 38; Met 2:22

Jumla

Zab. 104:1Zb 103:1
Zab. 104:1Zb 86:10
Zab. 104:11Nya 16:27; Eze 1:27, 28; Da 7:9
Zab. 104:2Yak 1:17; 1Yo 1:5
Zab. 104:2Isa 40:22
Zab. 104:3Zb 18:11; Amo 9:6
Zab. 104:3Kum 33:26; Isa 19:1
Zab. 104:32Sa 22:11; Ayu 38:1
Zab. 104:4Eze 1:13; Ebr 1:7, 14
Zab. 104:5Ayu 38:4, 6; Zb 24:1, 2
Zab. 104:5Mhu 1:4
Zab. 104:6Mwa 1:2
Zab. 104:7Mwa 1:9
Zab. 104:8Met 8:25
Zab. 104:9Ayu 38:8-10; Zb 33:7; Met 8:29; Yer 5:22
Zab. 104:13Ayu 38:37; Zb 147:8; Yer 10:13; Amo 9:6; Mt 5:45
Zab. 104:13Zb 65:9; Mdo 14:17
Zab. 104:14Mwa 1:29, 30; 9:3
Zab. 104:15Mhu 9:7
Zab. 104:15Mhu 10:19
Zab. 104:17Yer 8:7
Zab. 104:18Ayu 39:1
Zab. 104:18Met 30:26
Zab. 104:19Mwa 1:16; Zb 19:6; Yer 31:35
Zab. 104:20Mwa 1:5; Zb 74:16; Isa 45:7
Zab. 104:21Amo 3:4
Zab. 104:21Zb 147:9
Zab. 104:24Ne 9:6
Zab. 104:24Met 3:19; Yer 10:12
Zab. 104:25Mwa 1:21
Zab. 104:26Ayu 41:1
Zab. 104:27Zb 136:25; 145:15; 147:9; Mt 6:26
Zab. 104:28Lu 12:24
Zab. 104:28Zb 107:9; 145:16
Zab. 104:29Mwa 3:19; Ayu 34:14, 15; Zb 146:3, 4; Mhu 3:19, 20; 12:7
Zab. 104:30Ayu 33:4; Mdo 17:28
Zab. 104:31Mwa 1:31
Zab. 104:32Kut 19:18
Zab. 104:33Zb 13:6
Zab. 104:33Zb 146:2
Zab. 104:35Zb 37:10, 38; Met 2:22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 104:1-35

Zaburi

104 Nafsi yangu na imsifu Yehova.+

Ee Yehova Mungu wangu, wewe ni mkuu sana.+

Umevaa utukufu* na fahari.+

 2 Umejifunika nuru+ kama vazi;

Unazitandaza mbingu kama kitambaa cha hema.+

 3 Hujenga boriti za vyumba vyake vya juu katika maji yaliyo juu,*+

Akiyafanya mawingu kuwa gari lake,+

Akienda juu ya mabawa ya upepo.+

 4 Huwafanya malaika wake kuwa roho,

Wahudumu wake kuwa moto unaoteketeza kabisa.+

 5 Ameiimarisha dunia juu ya misingi yake;+

Haitasogezwa kutoka mahali pake* milele na milele.+

 6 Uliifunika kwa vilindi vya maji kama kwa vazi.+

Maji yalisimama juu ya milima.

 7 Kwa kemeo lako yalikimbia;+

Kwa sauti ya mngurumo wako yalikimbia kwa wasiwasi

 8 —Milima ilipanda+ na mabonde yakashuka—

Mahali ulipokusudia yawepo.

 9 Uliweka mpaka ambao hayapaswi kuvuka,+

Ili yasiifunike dunia tena kamwe.

10 Wewe hupeleka chemchemi katika mabonde;*

Kati ya milima zinatiririka.

11 Zinawapa maji wanyama wote wa mwituni;

Punda mwitu hukata kiu yake.

12 Juu yake ndege wa angani hukaa;

Wanaimba katikati ya majani mengi.

13 Anainywesha milima maji kutoka katika vyumba vyake vya juu.+

Dunia hushibishwa kwa matunda ya kazi zako.+

14 Anaotesha majani kwa ajili ya ng’ombe

Na mimea kwa ajili ya matumizi ya wanadamu,+

Ili chakula kikue ardhini

15 Na divai inayofanya moyo wa mwanadamu ushangilie,+

Mafuta yanayofanya uso ung’ae,

Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+

16 Miti ya Yehova imetosheka,

Mierezi ya Lebanoni aliyopanda,

17 Ambamo ndege hutengeneza viota.

Makao ya korongo+ ni miberoshi.

18 Milima mirefu ni ya mbuzi wa milimani;+

Majabali ni kimbilio la wibari.+

19 Ameuumba mwezi ili upime nyakati zilizowekwa;

Jua linajua vizuri wakati wa kutua.+

20 Wewe unaleta giza, usiku unaingia,+

Wakati ambapo wanyama wote wa mwituni wanazunguka-zunguka.

21 Wanasimba* hunguruma ili wapate mawindo+

Na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.+

22 Jua linapochomoza,

Wanarudi na kulala katika mapango yao.

23 Mwanadamu huenda kwenye kazi yake,

Naye hufanya kazi kwa jasho mpaka jioni.

24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi sana, Ee Yehova!+

Umezifanya zote kwa hekima.+

Dunia imejaa vitu ulivyoumba.

25 Kisha kuna bahari, ni kubwa sana na pana,

Imejaa viumbe walio hai wasio na idadi, wadogo kwa wakubwa.+

26 Humo meli husafiri,

Na Lewiathani,*+ uliyemuumba ili acheze humo.

27 Wote wanakungojea wewe

Uwape chakula chao kwa wakati wake.+

28 Wanakusanya unachowapa.+

Unapofumbua mkono wako, wanashiba vitu vyema.+

29 Ukiuficha uso wako, wanahangaika.

Ukiiondoa roho yao, wanakufa na kurudi mavumbini.+

30 Ukiituma roho yako, wanaumbwa,+

Nawe unaifanya ardhi iwe na sura mpya.

31 Utukufu wa Yehova utadumu milele.

Yehova atashangilia kwa sababu ya kazi zake.+

32 Huitazama dunia, inatetemeka;

Huigusa milima, inafuka moshi.+

33 Nitamwimbia Yehova+ maisha yangu yote;

Nitamwimbia sifa* Mungu wangu maadamu ninaishi.+

34 Mawazo yangu na yampendeze.*

Nitashangilia kwa sababu ya Yehova.

35 Watenda dhambi watatoweka duniani,

Na waovu hawatakuwapo tena.+

Nafsi yangu na imsifu Yehova. Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki