Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 37
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Nguvu za asili zinafunua ukuu wa Mungu (1-24)

        • Mungu anaweza kusimamisha shughuli za wanadamu (7)

        • ‘Tafakari kazi za Mungu zinazostaajabisha’ (14)

        • Wanadamu hawawezi kumwelewa Mungu (23)

        • Hakuna mwanadamu anayepaswa kufikiri kwamba ana hekima (24)

Ayubu 37:3

Marejeo

  • +Ayu 37:11; Zb 97:4

Ayubu 37:4

Marejeo

  • +Ayu 40:9; Zb 29:3; 68:33

Ayubu 37:5

Marejeo

  • +2Sa 22:14
  • +Mhu 3:11; Ufu 15:3

Ayubu 37:6

Marejeo

  • +Zb 147:16
  • +Amo 9:6

Ayubu 37:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “huweka muhuri juu ya mkono wa kila mwanadamu.”

Ayubu 37:9

Marejeo

  • +Zb 104:3
  • +Met 25:23

Ayubu 37:10

Marejeo

  • +Zb 147:16
  • +Ayu 38:29, 30

Ayubu 37:11

Marejeo

  • +Ayu 37:3

Ayubu 37:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ardhi inayozaa.”

Marejeo

  • +Zb 148:8

Ayubu 37:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “fimbo.”

Marejeo

  • +Kut 9:23; 1Sa 12:17, 18
  • +1Fa 18:45; Ayu 36:29, 31; 38:25-27; Yak 5:17, 18

Ayubu 37:14

Marejeo

  • +Zb 111:2; 145:5

Ayubu 37:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anavyoyaamuru.”

Ayubu 37:16

Marejeo

  • +Ayu 36:29
  • +Ayu 36:4; Zb 18:30; 104:24

Ayubu 37:17

Marejeo

  • +Lu 12:55

Ayubu 37:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuzikunjua.”

Marejeo

  • +Isa 44:24

Ayubu 37:20

Marejeo

  • +Ro 11:34

Ayubu 37:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ya jua.

Ayubu 37:22

Marejeo

  • +1Nya 16:27; Zb 8:1

Ayubu 37:23

Marejeo

  • +Zb 145:3; Mhu 3:11; Ro 11:33
  • +1Nya 29:11; Ayu 36:22; Isa 40:26
  • +Kum 32:4; Zb 33:5; 37:28
  • +Zb 11:7; 71:19

Ayubu 37:24

Marejeo

  • +Zb 33:8; Met 1:7; Mt 10:28
  • +Met 3:7; Mt 11:25; Ro 11:20; 12:16; 1Ko 1:26

Jumla

Ayu. 37:3Ayu 37:11; Zb 97:4
Ayu. 37:4Ayu 40:9; Zb 29:3; 68:33
Ayu. 37:52Sa 22:14
Ayu. 37:5Mhu 3:11; Ufu 15:3
Ayu. 37:6Zb 147:16
Ayu. 37:6Amo 9:6
Ayu. 37:9Zb 104:3
Ayu. 37:9Met 25:23
Ayu. 37:10Zb 147:16
Ayu. 37:10Ayu 38:29, 30
Ayu. 37:11Ayu 37:3
Ayu. 37:12Zb 148:8
Ayu. 37:13Kut 9:23; 1Sa 12:17, 18
Ayu. 37:131Fa 18:45; Ayu 36:29, 31; 38:25-27; Yak 5:17, 18
Ayu. 37:14Zb 111:2; 145:5
Ayu. 37:16Ayu 36:29
Ayu. 37:16Ayu 36:4; Zb 18:30; 104:24
Ayu. 37:17Lu 12:55
Ayu. 37:18Isa 44:24
Ayu. 37:20Ro 11:34
Ayu. 37:221Nya 16:27; Zb 8:1
Ayu. 37:23Zb 145:3; Mhu 3:11; Ro 11:33
Ayu. 37:231Nya 29:11; Ayu 36:22; Isa 40:26
Ayu. 37:23Kum 32:4; Zb 33:5; 37:28
Ayu. 37:23Zb 11:7; 71:19
Ayu. 37:24Zb 33:8; Met 1:7; Mt 10:28
Ayu. 37:24Met 3:7; Mt 11:25; Ro 11:20; 12:16; 1Ko 1:26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 37:1-24

Ayubu

37 “Kwa sababu hiyo moyo wangu hupigapiga

Na kuruka kutoka mahali pake.

 2 Sikiliza kwa makini mrindimo wa sauti yake

Na mngurumo unaotoka kinywani mwake.

 3 Huuachilia kwa ghafla chini ya mbingu zote

Na kuituma radi yake+ mpaka kwenye miisho ya dunia.

 4 Kisha sauti ya mngurumo husikika;

Hunguruma kwa sauti yenye fahari,+

Naye haizuii radi sauti yake inaposikiwa.

 5 Mungu hunguruma kwa sauti yake+ kwa njia inayostaajabisha;

Hufanya mambo makuu ambayo hatuwezi kuelewa.+

 6 Kwa maana huiambia theluji, ‘Anguka duniani,’+

Na mvua kubwa, ‘Nyesha kwa nguvu.’+

 7 Mungu husimamisha shughuli zote za wanadamu*

Ili kila mwanadamu anayeweza kufa ajue kazi Yake.

 8 Wanyama wa mwituni huingia katika mapango yao

Na kubaki katika makao yao.

 9 Upepo wa dhoruba huvuma kutoka katika chumba chake,+

Na baridi huletwa na pepo za kaskazini.+

10 Kwa pumzi ya Mungu, barafu hutokea,+

Na maji mengi huganda kabisa.+

11 Naam, huyalemea mawingu kwa mvuke;

Hutawanya radi yake+ mawinguni;

12 Huzunguka-zunguka anakoyaelekeza;

Hutekeleza chochote anachoamuru+ juu ya dunia inayokaliwa.*

13 Iwe ni adhabu*+ au kwa ajili ya nchi

Au kwa ajili ya upendo mshikamanifu, yeye husababisha yatendeke.+

14 Sikiliza hili, Ayubu;

Tulia na utafakari kwa makini kazi za Mungu zinazostaajabisha.+

15 Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza* mawingu

Na jinsi anavyosababisha radi imweke kutoka katika mawingu yake?

16 Je, unajua jinsi mawingu yanavyoelea?+

Hizi ni kazi zinazostaajabisha za Yule ambaye ni mkamilifu katika ujuzi.+

17 Kwa nini mavazi yako yanapata joto

Wakati dunia imetulia kwa sababu ya upepo wa kusini?+

18 Je, waweza, pamoja naye, kuzitandaza* anga+

Zilizo ngumu kama kioo cha chuma?

19 Tuambie tunalopaswa kumwambia;

Hatuwezi kumjibu kwa sababu tuko gizani.

20 Je, anapaswa kuambiwa kwamba ninataka kuzungumza?

Au kuna yeyote ambaye amesema jambo ambalo lazima ajulishwe?+

21 Hata hawawezi kuona nuru,*

Ingawa inang’aa angani,

Mpaka upepo unapopita na kuondoa kabisa mawingu.

22 Fahari inayong’aa kama dhahabu hutoka kaskazini;

Utukufu wa Mungu+ unaogopesha.

23 Hatuwezi kumwelewa Mweza-Yote;+

Ana nguvu nyingi,+

Na hapotoshi kamwe haki+ na uadilifu wake mwingi.+

24 Kwa hiyo watu wanapaswa kumwogopa.+

Kwa sababu yeye hampendi yeyote anayefikiri ana hekima.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki