Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hana ufahamu.”

Marejeo

  • +Met 4:13
  • +Zb 32:9

Methali 12:2

Marejeo

  • +Kum 25:1; 1Fa 8:31, 32

Methali 12:3

Marejeo

  • +Zb 37:10, 38

Methali 12:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwenye uwezo.”

Marejeo

  • +Met 18:22; 19:14
  • +1Fa 21:25

Methali 12:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “huvizia ili kumwaga damu.”

Marejeo

  • +2Sa 17:1, 2
  • +Est 7:3, 4; Met 14:3

Methali 12:7

Marejeo

  • +Met 24:3; Mt 7:24, 25

Methali 12:8

Marejeo

  • +Mwa 41:39; 1Sa 16:18
  • +1Sa 25:14, 17; Mt 27:3, 4

Methali 12:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate.”

Marejeo

  • +Met 13:7

Methali 12:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huitunza nafsi ya mnyama anayemfuga.”

Marejeo

  • +Mwa 33:12-14; Kut 23:12; Kum 22:4, 10; 25:4; Yon 4:11

Methali 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 28:19; Efe 4:28

Methali 12:13

Marejeo

  • +1Fa 2:23, 24; Zb 5:6; Mhu 5:6

Methali 12:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinywa chake.”

Marejeo

  • +Met 13:2; 18:20

Methali 12:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mashauri.”

Marejeo

  • +Met 3:7; 26:12
  • +Met 1:5

Methali 12:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “siku hiyohiyo.”

  • *

    Tnn., “hufunika.”

Marejeo

  • +Met 29:11

Methali 12:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mambo ya uadilifu.”

Methali 12:18

Marejeo

  • +Met 16:24

Methali 12:19

Marejeo

  • +1Pe 3:10
  • +Met 19:9; Mdo 5:3, 5

Methali 12:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Lakini washauri wa.”

Marejeo

  • +Mt 5:9

Methali 12:21

Marejeo

  • +Zb 91:9, 10
  • +Met 1:30, 31; Isa 48:22

Methali 12:22

Marejeo

  • +Zb 5:6; Met 6:16, 17; Ufu 21:8

Methali 12:23

Marejeo

  • +Met 10:19

Methali 12:24

Marejeo

  • +Mwa 39:4; 1Fa 11:28
  • +Met 19:15

Methali 12:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “humfanya ashuke moyo.”

Marejeo

  • +Zb 38:6; Met 13:12; 15:13
  • +Met 16:24; Isa 50:4

Methali 12:27

Marejeo

  • +Met 26:13-15

Methali 12:28

Marejeo

  • +Zb 37:27; Met 10:7; Hab 2:4

Jumla

Met. 12:1Met 4:13
Met. 12:1Zb 32:9
Met. 12:2Kum 25:1; 1Fa 8:31, 32
Met. 12:3Zb 37:10, 38
Met. 12:4Met 18:22; 19:14
Met. 12:41Fa 21:25
Met. 12:62Sa 17:1, 2
Met. 12:6Est 7:3, 4; Met 14:3
Met. 12:7Met 24:3; Mt 7:24, 25
Met. 12:8Mwa 41:39; 1Sa 16:18
Met. 12:81Sa 25:14, 17; Mt 27:3, 4
Met. 12:9Met 13:7
Met. 12:10Mwa 33:12-14; Kut 23:12; Kum 22:4, 10; 25:4; Yon 4:11
Met. 12:11Met 28:19; Efe 4:28
Met. 12:131Fa 2:23, 24; Zb 5:6; Mhu 5:6
Met. 12:14Met 13:2; 18:20
Met. 12:15Met 3:7; 26:12
Met. 12:15Met 1:5
Met. 12:16Met 29:11
Met. 12:18Met 16:24
Met. 12:191Pe 3:10
Met. 12:19Met 19:9; Mdo 5:3, 5
Met. 12:20Mt 5:9
Met. 12:21Zb 91:9, 10
Met. 12:21Met 1:30, 31; Isa 48:22
Met. 12:22Zb 5:6; Met 6:16, 17; Ufu 21:8
Met. 12:23Met 10:19
Met. 12:24Mwa 39:4; 1Fa 11:28
Met. 12:24Met 19:15
Met. 12:25Zb 38:6; Met 13:12; 15:13
Met. 12:25Met 16:24; Isa 50:4
Met. 12:27Met 26:13-15
Met. 12:28Zb 37:27; Met 10:7; Hab 2:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 12:1-28

Methali

12 Anayependa nidhamu anapenda ujuzi,+

Lakini anayechukia karipio hana akili.*+

 2 Mtu mwema hupata kibali cha Yehova,

Lakini Yeye humhukumu mtu anayepanga njama za uovu.+

 3 Hakuna mtu anayekuwa salama kwa kutenda uovu,+

Lakini waadilifu hawatang’olewa kamwe.

 4 Mke mwema* ni taji kwa mume wake,+

Lakini mke anayetenda kwa aibu ni kama uozo katika mifupa ya mume wake.+

 5 Mawazo ya waadilifu ni ya haki,

Lakini mwongozo wa waovu hudanganya.

 6 Maneno ya waovu huvizia ili kuua,*+

Lakini kinywa cha wanyoofu huwaokoa.+

 7 Waovu wanapoangamizwa, hawako tena,

Lakini nyumba ya mwadilifu itaendelea kusimama.+

 8 Mtu husifiwa kwa sababu ya busara ya kinywa chake,+

Lakini mtu aliye na moyo uliopotoka atatendewa kwa dharau.+

 9 Ni afadhali usiheshimiwe sana lakini uwe na mtumishi

Kuliko kujitukuza mwenyewe na ukose chakula.*+

10 Mwadilifu huwatunza wanyama anaowafuga,*+

Lakini hata rehema ya waovu ni ukatili.

11 Anayelima shamba lake atakuwa na chakula tele,+

Lakini anayefuatia vitu visivyo na maana hana busara.*

12 Mtu mwovu hutamani kitu kilichokamatwa na watu wengine waovu,

Lakini mzizi wa waadilifu huzaa matunda.

13 Mwovu hunaswa na mazungumzo yake ya dhambi,+

Lakini mwadilifu huokoka kutoka katika taabu.

14 Mtu hushiba mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+

Na kazi ya mikono yake itamthawabisha.

15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake mwenyewe,+

Lakini mwenye hekima hukubali ushauri.*+

16 Mjinga huonyesha papo hapo* kwamba ameudhika,+

Lakini mtu mwerevu hupuuza* matusi.

17 Anayetoa ushahidi kwa uaminifu atasema ukweli,*

Lakini shahidi wa uwongo husema mambo ya udanganyifu.

18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,

Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+

19 Midomo inayosema ukweli itadumu milele,+

Lakini ulimi unaosema uwongo utadumu kwa muda mfupi tu.+

20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaopanga njama zinazodhuru,

Lakini wale wanaositawisha* amani wana shangwe.+

21 Hakuna madhara yatakayompata mwadilifu,+

Lakini waovu watapatwa na misiba mingi.+

22 Midomo inayosema uwongo humchukiza Yehova,+

Lakini wanaotenda kwa uaminifu humfurahisha.

23 Mtu mwerevu hufunika mambo anayojua,

Lakini moyo wa mjinga hububujika ujinga.+

24 Mkono wa wenye bidii utatawala,+

Lakini mikono milegevu italazimishwa kufanya kazi za utumwa.+

25 Mahangaiko yaliyo moyoni mwa mtu huulemea moyo,*+

Lakini neno jema huuchangamsha.+

26 Mwadilifu hutafuta malisho yake,

Lakini njia ya waovu huwapotosha.

27 Watu wavivu hawakimbizi mawindo,+

Lakini bidii ni hazina ya mtu yenye thamani.

28 Kijia cha uadilifu huongoza kwenye uzima;+

Kando ya kijia hicho hakuna kifo.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki