Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumkimbilia Yehova

        • “Naiweka roho yangu mkononi mwako” (5)

        • “Yehova, Mungu wa ukweli” (5)

        • Wema mwingi wa Mungu (19)

Zaburi 31:1

Marejeo

  • +Zb 18:2
  • +Zb 22:4, 5; Ro 10:11
  • +Zb 143:1

Zaburi 31:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Inama chini na unisikilize.”

Marejeo

  • +Zb 40:17; 70:1; 71:2
  • +2Sa 22:3; Zb 18:2

Zaburi 31:3

Marejeo

  • +2Sa 22:2
  • +Zb 25:11; Yer 14:7
  • +Zb 23:3

Zaburi 31:4

Marejeo

  • +Zb 91:3; Mt 6:13
  • +Met 18:10

Zaburi 31:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mungu mwaminifu.”

Marejeo

  • +Lu 23:46; Mdo 7:59
  • +Kum 32:4

Zaburi 31:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mateso ya nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 9:13

Zaburi 31:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “penye nafasi kubwa.”

Zaburi 31:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yangu na tumbo langu.”

Marejeo

  • +Zb 6:7
  • +Zb 22:14

Zaburi 31:10

Marejeo

  • +Met 15:13
  • +Zb 71:9
  • +Zb 32:3; 102:3, 5

Zaburi 31:11

Marejeo

  • +Zb 22:6; 42:10; 102:8
  • +Zb 38:11

Zaburi 31:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akilini.”

Zaburi 31:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiondoa nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Yer 20:10
  • +Zb 57:4

Zaburi 31:14

Marejeo

  • +Zb 56:4
  • +Zb 43:5

Zaburi 31:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nyakati.”

Marejeo

  • +Zb 142:6

Zaburi 31:16

Marejeo

  • +Hes 6:25

Zaburi 31:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 25:2; Isa 50:7
  • +Ne 6:16; Isa 41:11; Yer 20:11
  • +1Sa 2:9

Zaburi 31:18

Marejeo

  • +Zb 12:3; 63:11

Zaburi 31:19

Marejeo

  • +Zb 73:1; Isa 63:7
  • +Isa 64:4; 1Ko 2:9
  • +Zb 126:2; Isa 26:12

Zaburi 31:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika uwepo wako.”

  • *

    Tnn., “Kutoka kwa ugomvi wa ndimi.”

Marejeo

  • +Zb 27:5; 32:7
  • +Zb 64:2, 3

Zaburi 31:21

Marejeo

  • +Zb 17:7
  • +1Sa 23:7

Zaburi 31:22

Marejeo

  • +Yon 2:4
  • +2Nya 33:13; Zb 6:9; Met 15:29; Ebr 5:7

Zaburi 31:23

Marejeo

  • +Kum 10:12
  • +1Sa 2:9; Zb 145:20
  • +2Sa 22:28; Isa 2:11; Yak 4:6

Zaburi 31:24

Marejeo

  • +Isa 35:4
  • +Zb 62:1; Omb 3:20, 21; Mik 7:7

Jumla

Zab. 31:1Zb 18:2
Zab. 31:1Zb 22:4, 5; Ro 10:11
Zab. 31:1Zb 143:1
Zab. 31:2Zb 40:17; 70:1; 71:2
Zab. 31:22Sa 22:3; Zb 18:2
Zab. 31:32Sa 22:2
Zab. 31:3Zb 25:11; Yer 14:7
Zab. 31:3Zb 23:3
Zab. 31:4Zb 91:3; Mt 6:13
Zab. 31:4Met 18:10
Zab. 31:5Lu 23:46; Mdo 7:59
Zab. 31:5Kum 32:4
Zab. 31:7Zb 9:13
Zab. 31:9Zb 6:7
Zab. 31:9Zb 22:14
Zab. 31:10Met 15:13
Zab. 31:10Zb 71:9
Zab. 31:10Zb 32:3; 102:3, 5
Zab. 31:11Zb 22:6; 42:10; 102:8
Zab. 31:11Zb 38:11
Zab. 31:13Yer 20:10
Zab. 31:13Zb 57:4
Zab. 31:14Zb 56:4
Zab. 31:14Zb 43:5
Zab. 31:15Zb 142:6
Zab. 31:16Hes 6:25
Zab. 31:17Zb 25:2; Isa 50:7
Zab. 31:17Ne 6:16; Isa 41:11; Yer 20:11
Zab. 31:171Sa 2:9
Zab. 31:18Zb 12:3; 63:11
Zab. 31:19Zb 73:1; Isa 63:7
Zab. 31:19Isa 64:4; 1Ko 2:9
Zab. 31:19Zb 126:2; Isa 26:12
Zab. 31:20Zb 27:5; 32:7
Zab. 31:20Zb 64:2, 3
Zab. 31:21Zb 17:7
Zab. 31:211Sa 23:7
Zab. 31:22Yon 2:4
Zab. 31:222Nya 33:13; Zb 6:9; Met 15:29; Ebr 5:7
Zab. 31:23Kum 10:12
Zab. 31:231Sa 2:9; Zb 145:20
Zab. 31:232Sa 22:28; Isa 2:11; Yak 4:6
Zab. 31:24Isa 35:4
Zab. 31:24Zb 62:1; Omb 3:20, 21; Mik 7:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 31:1-24

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+

Acha nisiaibishwe kamwe.+

Niokoe kwa sababu ya uadilifu wako.+

 2 Nitegee sikio lako.*

Njoo haraka uniokoe.+

Uwe kwangu mlima ambao ni ngome,

Ngome ya kuniokoa.+

 3 Kwa maana wewe ni jabali langu na ngome yangu;+

Kwa ajili ya jina lako,+ utaniongoza na kunielekeza.+

 4 Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri,+

Kwa maana wewe ni ngome yangu.+

 5 Naiweka roho yangu mikononi mwako.+

Umenikomboa, Ee Yehova, Mungu wa ukweli.*+

 6 Ninawachukia wale wanaoabudu sanamu zisizo na faida, za ubatili,

Lakini mimi, ninamtumaini Yehova.

 7 Nitashangilia sana kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu,

Kwa maana umeona dhiki yangu;+

Unajua mateso makali yaliyo ndani yangu.*

 8 Hujanitia mikononi mwa adui,

Lakini unanifanya nisimame mahali salama.*

 9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki.

Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+

10 Maisha yangu yamejaa huzuni+

Na miaka yangu kilio cha maumivu makali.+

Nguvu zangu zinapungua kwa sababu ya dhambi yangu;

Mifupa yangu inadhoofika.+

11 Ninadhihakiwa na maadui wangu wote,+

Hasa majirani wangu.

Na rafiki zangu wananiogopa;

Wanaponiona hadharani, wananikimbia.+

12 Wameniondoa moyoni* mwao na kunisahau, kana kwamba nimekufa;

Mimi ni kama gudulia lililovunjika.

13 Nimesikia uvumi mwingi wa uovu;

Nimezungukwa na hofu.+

Wanapokusanyika pamoja kama kitu kimoja dhidi yangu,

Wanapanga njama ya kuniua.*+

14 Lakini ninakutumaini wewe, Ee Yehova.+

Ninatangaza: “Wewe ni Mungu wangu.”+

15 Siku* zangu zimo mkononi mwako.

Niokoe kutoka mikononi mwa maadui wangu na kutoka kwa wale wanaonitesa.+

16 Ifanye nuru ya uso wako imwangazie mtumishi wako.+

Niokoe kwa upendo wako mshikamanifu.

17 Ee Yehova, naomba nisiaibishwe ninapokulilia wewe.+

Waovu na waaibishwe;+

Na wanyamazishwe Kaburini.*+

18 Midomo inayosema uwongo na iwe bubu,+

Midomo inayoongea kwa kiburi dhidi ya mwadilifu, kwa majivuno na dharau.

19 Jinsi wema wako ulivyo mwingi sana!+

Umewahifadhia wale wanaokuogopa,+

Nawe umeuonyesha mbele ya wanadamu wote, kwa niaba ya wale wanaokukimbilia wewe.+

20 Utawaficha mahali pa siri mbele zako*+

Mbali na njama za wanadamu;

Utawaficha katika banda lako

Dhidi ya mashambulizi ya watu wenye nia mbaya.*+

21 Yehova na asifiwe,

Kwa maana kwa njia yenye kustaajabisha, amenionyesha upendo wake mshikamanifu+ katika jiji lililozingirwa.+

22 Lakini mimi nilishikwa na wasiwasi nikasema:

“Nitaangamia kutoka mbele zako.”+

Lakini ulisikia sihi zangu za kuomba msaada nilipokulilia kwa sauti.+

23 Mpendeni Yehova, enyi nyote mlio washikamanifu kwake!+

Yehova huwalinda waaminifu,+

Lakini humlipa vilivyo yeyote anayeonyesha kiburi.+

24 Iweni jasiri, na muwe na moyo mkuu,+

Ninyi nyote mnaomngojea Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki