Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Uwe na hekima na umtumaini Yehova (1-12)

        • Mheshimu Yehova kwa vitu vyenye thamani (9)

      • Hekima huleta furaha (13-18)

      • Hekima huleta usalama (19-26)

      • Mambo mema ya kuwatendea wengine (27-35)

        • Watendee wengine mema inapowezekana (27)

Methali 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sheria.”

Methali 3:2

Marejeo

  • +Kum 5:16

Methali 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukweli.”

Marejeo

  • +Ho. 12:6
  • +Kum 6:6, 8

Methali 3:4

Marejeo

  • +2Ko 8:21

Methali 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “usiegemee.”

Marejeo

  • +Isa 26:4; Yer 17:7
  • +Met 28:26; Yer 10:23; 1Ko 3:18

Methali 3:6

Marejeo

  • +1Sa 23:2, 4; Ne 1:11; Flp 4:6
  • +Yos 1:7; Zb 25:9; Yak 1:5

Methali 3:7

Marejeo

  • +Met 26:12; Ro 12:16

Methali 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kitovu chako.”

Methali 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vitu vilivyo bora vya.”

  • *

    Au “mapato.”

Marejeo

  • +Hes 31:50; Kum 16:16; Lu 16:9; 1Ti 6:18
  • +Kut 23:19

Methali 3:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mashinikizo yako ya divai yatafurika.”

Marejeo

  • +2Nya 31:10; Mal 3:10

Methali 3:11

Marejeo

  • +Met 15:32; Ebr 12:5, 6
  • +Zb 94:12

Methali 3:12

Marejeo

  • +Ufu 3:19
  • +Kum 8:5; Ebr 12:7, 9

Methali 3:13

Marejeo

  • +Mhu 7:12

Methali 3:14

Marejeo

  • +Ayu 28:15, 18

Methali 3:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Methali 3:17

Marejeo

  • +Flp 4:9

Methali 3:18

Marejeo

  • +Zb 1:1, 2

Methali 3:19

Marejeo

  • +Zb 104:24
  • +Met 8:27; Yer 10:12

Methali 3:20

Marejeo

  • +Ayu 36:27; 38:37; Yer 10:13

Methali 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni wazi kwamba mstari huu unarejelea sifa za Mungu zinazotajwa katika mistari iliyotangulia.

Methali 3:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hautagonga kamwe kitu chochote.”

Marejeo

  • +Isa 26:7

Methali 3:24

Marejeo

  • +Zb 3:5; Met 6:22
  • +Mhu 5:12

Methali 3:25

Marejeo

  • +Zb 27:1
  • +Zb 73:12, 19

Methali 3:26

Marejeo

  • +Met 10:29; 28:1
  • +Zb 91:14

Methali 3:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wale wanaostahili.”

  • *

    Au “Ikiwa mkono wako una nguvu za kusaidia.”

Marejeo

  • +Yak 2:15, 16
  • +Kum 15:7, 8; Met 28:27

Methali 3:29

Marejeo

  • +Met 6:16, 18

Methali 3:30

Marejeo

  • +Met 18:6; 20:3
  • +Ro 12:18

Methali 3:31

Marejeo

  • +Zb 37:1; Met 23:17

Methali 3:32

Marejeo

  • +Met 6:16, 17
  • +Zb 15:1, 2; 24:3, 4; 25:14

Methali 3:33

Marejeo

  • +Kum 28:15; Yos 7:24, 25; Est 9:24, 25
  • +Ayu 42:12, 13; Zb 37:25

Methali 3:34

Marejeo

  • +Met 19:29
  • +Zb 37:11; 138:6; Isa 57:15; Yak 4:6

Methali 3:35

Marejeo

  • +Est 6:11, 12; Met 12:8

Jumla

Met. 3:2Kum 5:16
Met. 3:3Ho. 12:6
Met. 3:3Kum 6:6, 8
Met. 3:42Ko 8:21
Met. 3:5Isa 26:4; Yer 17:7
Met. 3:5Met 28:26; Yer 10:23; 1Ko 3:18
Met. 3:61Sa 23:2, 4; Ne 1:11; Flp 4:6
Met. 3:6Yos 1:7; Zb 25:9; Yak 1:5
Met. 3:7Met 26:12; Ro 12:16
Met. 3:9Hes 31:50; Kum 16:16; Lu 16:9; 1Ti 6:18
Met. 3:9Kut 23:19
Met. 3:102Nya 31:10; Mal 3:10
Met. 3:11Met 15:32; Ebr 12:5, 6
Met. 3:11Zb 94:12
Met. 3:12Ufu 3:19
Met. 3:12Kum 8:5; Ebr 12:7, 9
Met. 3:13Mhu 7:12
Met. 3:14Ayu 28:15, 18
Met. 3:17Flp 4:9
Met. 3:18Zb 1:1, 2
Met. 3:19Zb 104:24
Met. 3:19Met 8:27; Yer 10:12
Met. 3:20Ayu 36:27; 38:37; Yer 10:13
Met. 3:23Isa 26:7
Met. 3:24Zb 3:5; Met 6:22
Met. 3:24Mhu 5:12
Met. 3:25Zb 27:1
Met. 3:25Zb 73:12, 19
Met. 3:26Met 10:29; 28:1
Met. 3:26Zb 91:14
Met. 3:27Yak 2:15, 16
Met. 3:27Kum 15:7, 8; Met 28:27
Met. 3:29Met 6:16, 18
Met. 3:30Met 18:6; 20:3
Met. 3:30Ro 12:18
Met. 3:31Zb 37:1; Met 23:17
Met. 3:32Zb 15:1, 2; 24:3, 4; 25:14
Met. 3:32Met 6:16, 17
Met. 3:33Kum 28:15; Yos 7:24, 25; Est 9:24, 25
Met. 3:33Ayu 42:12, 13; Zb 37:25
Met. 3:34Met 19:29
Met. 3:34Zb 37:11; 138:6; Isa 57:15; Yak 4:6
Met. 3:35Est 6:11, 12; Met 12:8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 3:1-35

Methali

3 Mwanangu, usisahau mafundisho* yangu,

Na moyo wako ushike amri zangu,

 2 Kwa sababu zitakuongezea siku nyingi

Na miaka ya uhai na amani.+

 3 Usiruhusu upendo mshikamanifu na uaminifu* zikuache.+

Zifunge shingoni mwako;

Ziandike kwenye kibao cha moyo wako;+

 4 Ndipo utakapopata kibali na ufahamu mzuri

Machoni pa Mungu na wanadamu.+

 5 Mtumaini Yehova+ kwa moyo wako wote,

Wala usitegemee* uelewaji wako mwenyewe.+

 6 Katika njia zako zote mtambue yeye,+

Naye atavinyoosha vijia vyako.+

 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+

Mwogope Yehova na ujiepushe na uovu.

 8 Hilo litaponya mwili wako*

Na kuiburudisha mifupa yako.

 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani,+

Kwa mavuno ya kwanza ya* mazao* yako yote;+

10 Ndipo maghala yako yatakapojazwa kabisa,+

Na mitungi yako itafurika* divai mpya.

11 Mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova,+

Wala usichukie karipio lake,+

12 Kwa maana Yehova huwakaripia wale anaowapenda,+

Kama baba anavyomkaripia mwana anayempenda.+

13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+

Na mtu anayepata utambuzi;

14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,

Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+

15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*

Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.

16 Maisha marefu yako katika mkono wake wa kulia;

Na katika mkono wake wa kushoto kuna utajiri na utukufu.

17 Njia zake zinapendeza,

Na vijia vyake vyote vina amani.+

18 Ni mti wa uzima kwa wale wanaoishika,

Na wale wanaoishika kwa nguvu wataitwa wenye furaha.+

19 Yehova aliuweka msingi wa dunia kwa hekima.+

Aliziimarisha kabisa mbingu kwa utambuzi.+

20 Kwa ujuzi wake vilindi vya maji vilitenganishwa

Na anga zenye mawingu zilidondosha umande.+

21 Mwanangu, zisiondoke machoni pako.*

Ilinde hekima inayotumika na uwezo wa kufikiri;

22 Zitakupa uzima

Na kuwa pambo shingoni mwako;

23 Ndipo utakapotembea kwa usalama katika njia yako,

Na mguu wako hautajikwaa kamwe.*+

24 Unapolala, hutaogopa;+

Utalala, na usingizi wako utakuwa mtamu.+

25 Hutaogopa tisho lolote la ghafla+

Wala dhoruba inayowajia waovu.+

26 Kwa maana Yehova atathibitika kuwa chanzo cha uhakika wako;+

Ataulinda mguu wako usinaswe.+

27 Usiwanyime mema wale unaopaswa kuwatendea mema*+

Ikiwa una uwezo wa kuwasaidia.*+

28 Usimwambie jirani yako, “Nenda; rudi baadaye! Nitakupa kesho,”

Ikiwa unaweza kumpa kitu hicho sasa.

29 Usipange kumdhuru jirani yako+

Anayejihisi akiwa salama mkiwa pamoja.

30 Usigombane na mtu bila sababu+

Ikiwa hajakutendea jambo lolote baya.+

31 Usimwonee wivu mtu mkatili+

Wala kuchagua yoyote kati ya njia zake,

32 Kwa maana Yehova humchukia mtu mwenye hila,+

Lakini ana urafiki wa karibu na watu wanyoofu.+

33 Laana ya Yehova iko juu ya nyumba ya mwovu,+

Lakini huyabariki makao ya mwadilifu.+

34 Kwa maana yeye huwadhihaki wale wanaodhihaki,+

Lakini huwaonyesha kibali wapole.+

35 Wenye hekima watarithi heshima,

Lakini wapumbavu hutukuza aibu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki