Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 88
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba ulinzi dhidi ya kifo

        • “Uhai wangu uko kwenye kingo za Kaburi” (3)

        • ‘Kila asubuhi ninasali kwako’ (13)

Zaburi 88:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Nya 20:19
  • +1Fa 4:30, 31; 1Nya 2:6

Zaburi 88:1

Marejeo

  • +Zb 27:9; Isa 12:2
  • +Zb 22:2

Zaburi 88:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Inama chini na unisikilize.”

Marejeo

  • +1Fa 8:30
  • +Zb 141:1

Zaburi 88:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 71:20
  • +Isa 38:10

Zaburi 88:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburini.”

  • *

    Au “mtu asiye na nguvu.”

Marejeo

  • +Zb 143:7
  • +Zb 31:12

Zaburi 88:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkono.”

Zaburi 88:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “abiso.” Angalia Kamusi.

Zaburi 88:7

Marejeo

  • +Zb 90:7; 102:10

Zaburi 88:8

Marejeo

  • +Ayu 19:13, 19; Zb 31:11; 142:4

Zaburi 88:9

Marejeo

  • +Ayu 17:7; Zb 42:3; Omb 3:49
  • +Zb 55:17

Zaburi 88:10

Marejeo

  • +Ayu 14:14; Zb 115:17; Isa 38:18

Zaburi 88:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika Abadoni.”

Zaburi 88:12

Marejeo

  • +Mhu 2:16; 8:10; 9:5

Zaburi 88:13

Marejeo

  • +Zb 46:1
  • +Zb 55:17; 119:147

Zaburi 88:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “unaikataa nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 43:2
  • +Ayu 13:24; Zb 13:1

Zaburi 88:15

Marejeo

  • +Ayu 17:1

Zaburi 88:16

Marejeo

  • +Zb 102:10

Zaburi 88:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Vinanizingira vyote kwa pamoja.”

Zaburi 88:18

Marejeo

  • +Ayu 19:13; Zb 31:11; 38:11; 142:4

Jumla

Zab. 88:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 88:utangulizi1Fa 4:30, 31; 1Nya 2:6
Zab. 88:1Zb 27:9; Isa 12:2
Zab. 88:1Zb 22:2
Zab. 88:21Fa 8:30
Zab. 88:2Zb 141:1
Zab. 88:3Zb 71:20
Zab. 88:3Isa 38:10
Zab. 88:4Zb 143:7
Zab. 88:4Zb 31:12
Zab. 88:7Zb 90:7; 102:10
Zab. 88:8Ayu 19:13, 19; Zb 31:11; 142:4
Zab. 88:9Ayu 17:7; Zb 42:3; Omb 3:49
Zab. 88:9Zb 55:17
Zab. 88:10Ayu 14:14; Zb 115:17; Isa 38:18
Zab. 88:12Mhu 2:16; 8:10; 9:5
Zab. 88:13Zb 46:1
Zab. 88:13Zb 55:17; 119:147
Zab. 88:14Zb 43:2
Zab. 88:14Ayu 13:24; Zb 13:1
Zab. 88:15Ayu 17:1
Zab. 88:16Zb 102:10
Zab. 88:18Ayu 19:13; Zb 31:11; 38:11; 142:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 88:1-18

Zaburi

Wimbo. Muziki wa wana wa Kora.+ Kwa kiongozi; kwa mtindo wa Mahalathi,* uimbwe kwa zamu. Maskili* ya Hemani+ Mwezra.

88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+

Wakati wa mchana ninalia kwa sauti,

Na usiku ninakuja mbele zako.+

 2 Sala yangu na ikufikie,+

Tega sikio lako* usikie kilio changu cha kuomba msaada.+

 3 Kwa maana nafsi* yangu imejaa msiba,+

Na uhai wangu uko kwenye kingo za Kaburi.*+

 4 Tayari nimehesabiwa miongoni mwa wale wanaoshuka shimoni;*+

Nimekuwa mtu asiye na uwezo wowote,*+

 5 Aliyeachwa kati ya watu waliokufa

Kama waliouawa wanaolala kaburini,

Ambao huwakumbuki tena

Na ambao wametengwa mbali na utunzaji* wako.

 6 Umeniweka katika shimo lenye kina kirefu sana,

Sehemu zenye giza, shimo kubwa.*

 7 Ghadhabu yako inanilemea sana,+

Nawe unanilemea kwa mawimbi yako yenye nguvu. (Sela)

 8 Umewafukuza rafiki zangu mbali sana nami;+

Umenifanya niwe kitu kinachowachukiza.

Nimenaswa na siwezi kutoroka.

 9 Jicho langu limedhoofika kwa sababu ya mateso yangu.+

Ee Yehova, ninakulilia mchana kutwa;+

Ninakunyooshea mikono yangu.

10 Je, utawatendea maajabu waliokufa?

Je, wale waliokufa ambao hawana uwezo wanaweza kuinuka na kukusifu?+ (Sela)

11 Je, upendo wako mshikamanifu utatangazwa kaburini,

Na uaminifu wako mahali pa maangamizi?*

12 Je, maajabu yako yatajulikana gizani

Au uadilifu wako katika nchi ya waliosahauliwa?+

13 Lakini bado ninakulilia unisaidie, Ee Yehova,+

Kila asubuhi sala yangu inakufikia.+

14 Kwa nini, Ee Yehova, unanikataa?*+

Kwa nini unanificha uso wako?+

15 Tangu nilipokuwa kijana,

Nimeteseka nami niko karibu kuangamia;+

Nimekufa ganzi kwa sababu ya mambo yanayotisha unayoruhusu yanipate.

16 Hasira yako inayowaka inanilemea;+

Vitisho vyako vinaniangamiza.

17 Vinanizunguka mchana kutwa kama maji;

Vinanizingira ili kunibana pande zote.*

18 Umewafukuza rafiki zangu na wenzangu mbali sana nami;+

Giza limekuwa mwenzangu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki