-
Ayubu 19:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Ndugu zangu wenyewe amewafukuza mbali nami,
Na wale wanaonijua wamegeuka na kuniacha.+
-
-
Zaburi 38:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Rafiki zangu na wenzangu wananiepuka kwa sababu ya pigo langu,
Na rafiki zangu wa karibu wanasimama mbali.
-
-
Zaburi 142:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Sina mahali popote pa kukimbilia;+
Hakuna yeyote anayenihangaikia.
-