Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mtu aliyemwogopa Mungu arudiwa na ufahamu wa kiroho

        • “Hatua zangu zilikuwa karibu kuteleza” (2)

        • “Nilitaabika mchana kutwa” (14)

        • “Mpaka nilipoingia mahali patakatifu pa Mungu” (17)

        • Waovu wako kwenye ardhi yenye utelezi (18)

        • Kumkaribia Mungu ni jambo jema (28)

Zaburi 73:utangulizi

Marejeo

  • +2Nya 35:15

Zaburi 73:1

Marejeo

  • +Zb 84:11; Mt 5:8

Zaburi 73:2

Marejeo

  • +Zb 94:18

Zaburi 73:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaojigamba.”

Marejeo

  • +Ayu 21:7; Yer 12:1

Zaburi 73:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kitambi chao kimenenepa.”

Marejeo

  • +Mhu 7:15

Zaburi 73:5

Marejeo

  • +Ayu 12:6; 21:7, 9
  • +Yer 12:1

Zaburi 73:6

Marejeo

  • +Ayu 21:14, 15

Zaburi 73:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mafuta yao.”

Zaburi 73:8

Marejeo

  • +Zb 53:1
  • +1Fa 21:7

Zaburi 73:11

Marejeo

  • +Zb 10:4, 11; 94:3, 7; Eze 8:12; Sef 1:12

Zaburi 73:12

Marejeo

  • +Zb 37:35
  • +Zb 17:14

Zaburi 73:13

Marejeo

  • +Ayu 34:7, 9; 35:3

Zaburi 73:14

Marejeo

  • +Zb 34:19
  • +Ayu 7:17, 18

Zaburi 73:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ningekisaliti kizazi cha wana wako.”

Zaburi 73:18

Marejeo

  • +Zb 35:6, 7; Yer 23:11, 12
  • +Zb 37:10, 20; 55:23; Met 3:33

Zaburi 73:19

Marejeo

  • +Ayu 21:23; Zb 37:1, 2; Isa 30:13

Zaburi 73:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “utaidharau.”

Zaburi 73:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika figo zangu.”

Marejeo

  • +Zb 73:3

Zaburi 73:23

Marejeo

  • +Zb 16:8; 63:8; Isa 41:10

Zaburi 73:24

Marejeo

  • +Zb 25:9; 32:8; 37:23; 143:10; Met 3:6
  • +Zb 37:34

Zaburi 73:25

Marejeo

  • +Zb 42:2; 84:2; Isa 26:9

Zaburi 73:26

Marejeo

  • +Zb 16:5; Omb 3:24

Zaburi 73:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Utamnyamazisha.”

  • *

    Au “kukosa uaminifu.”

Marejeo

  • +Hes 15:39; Yak 4:4

Zaburi 73:28

Marejeo

  • +Zb 65:4; Yak 4:8
  • +Zb 118:17

Jumla

Zab. 73:utangulizi2Nya 35:15
Zab. 73:1Zb 84:11; Mt 5:8
Zab. 73:2Zb 94:18
Zab. 73:3Ayu 21:7; Yer 12:1
Zab. 73:4Mhu 7:15
Zab. 73:5Ayu 12:6; 21:7, 9
Zab. 73:5Yer 12:1
Zab. 73:6Ayu 21:14, 15
Zab. 73:8Zb 53:1
Zab. 73:81Fa 21:7
Zab. 73:11Zb 10:4, 11; 94:3, 7; Eze 8:12; Sef 1:12
Zab. 73:12Zb 37:35
Zab. 73:12Zb 17:14
Zab. 73:13Ayu 34:7, 9; 35:3
Zab. 73:14Zb 34:19
Zab. 73:14Ayu 7:17, 18
Zab. 73:18Zb 35:6, 7; Yer 23:11, 12
Zab. 73:18Zb 37:10, 20; 55:23; Met 3:33
Zab. 73:19Ayu 21:23; Zb 37:1, 2; Isa 30:13
Zab. 73:21Zb 73:3
Zab. 73:23Zb 16:8; 63:8; Isa 41:10
Zab. 73:24Zb 25:9; 32:8; 37:23; 143:10; Met 3:6
Zab. 73:24Zb 37:34
Zab. 73:25Zb 42:2; 84:2; Isa 26:9
Zab. 73:26Zb 16:5; Omb 3:24
Zab. 73:27Hes 15:39; Yak 4:4
Zab. 73:28Zb 65:4; Yak 4:8
Zab. 73:28Zb 118:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 73:1-28

Zaburi

KITABU CHA TATU

(Zaburi 73-89)

Muziki wa Asafu.+

73 Kwa kweli Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio safi moyoni.+

 2 Lakini mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kukengeuka;

Hatua zangu zilikuwa karibu kuteleza.+

 3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kiburi*

Nilipokuwa nikiona amani ya waovu.+

 4 Kwa maana hawana maumivu wanapokufa;

Miili yao ina afya.*+

 5 Hawataabiki kama wanadamu wengine,+

Wala hawateseki kama watu wengine.+

 6 Kwa hiyo, kiburi ni mkufu wao;+

Ukatili huwafunika kama vazi.

 7 Ufanisi wao* hufanya macho yao yanenepe;

Wamezidi mawazo ya moyo.

 8 Wanadhihaki na kusema mambo maovu.+

Kwa kiburi, wanatoa vitisho vya kuwakandamiza wengine.+

 9 Wanaongea kana kwamba wako juu kama mbingu,

Na ndimi zao hutamba duniani.

10 Kwa hiyo watu wake huwageukia,

Nao hunywa maji yao mengi.

11 Wanasema: “Mungu anajuaje?+

Je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi kweli?”

12 Naam, hivyo ndivyo walivyo waovu, ambao sikuzote wanastarehe.+

Wanaendelea kuongeza mali zao.+

13 Kwa hakika nimeusafisha moyo wangu bure

Na kunawa mikono yangu katika ukosefu wa hatia.+

14 Nami nilitaabika mchana kutwa;+

Niliadhibiwa kila asubuhi.+

15 Lakini kama ningesema mambo hayo,

Ningewasaliti watu wako.*

16 Nilipojaribu kulielewa jambo hilo,

Lilinitaabisha

17 Mpaka nilipoingia mahali patakatifu pa Mungu penye utukufu,

Nami nikatambua wakati wao ujao.

18 Kwa hakika unawaweka kwenye ardhi yenye utelezi.+

Unawafanya waanguke katika uharibifu wao.+

19 Jinsi wanavyoangamizwa kwa ghafla!+

Jinsi wanavyofikia kwa ghafla mwisho wao unaotisha!

20 Kama ndoto wakati wa kuamka, Ee Yehova,

Utakapoinuka, utaitupilia mbali* sanamu yao.

21 Lakini moyo wangu ulikuwa mchungu,+

Na ndani kabisa* nilihisi maumivu makali.

22 Nilikuwa mpumbavu wala sikuwa na uelewaji;

Nilikuwa kama mnyama asiye na akili mbele zako.

23 Lakini sasa niko pamoja nawe sikuzote;

Umeushika mkono wangu wa kulia.+

24 Unaniongoza kwa ushauri wako,+

Na baadaye utaniongoza kwenye utukufu.+

25 Ni nani niliye naye mbinguni?

Isipokuwa wewe tu, sitamani chochote duniani.+

26 Mwili wangu na moyo wangu unaweza kudhoofika,

Lakini Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu milele.+

27 Kwa kweli, wale wanaojitenga mbali nawe wataangamia.

Utamwangamiza* kila mtu anayekuacha kwa upotovu.*+

28 Lakini kwa upande wangu, kumkaribia Mungu ni jambo jema kwangu.+

Nimemfanya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova kuwa kimbilio langu,

Ili nizitangaze kazi zako zote.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki