21 Kisha mambo hayo Musa akakubali kuishi pamoja na mwanaume huyo, na akamupatia Musa binti yake Sipora+ ili akuwe bibi yake. 22 Kisha wakati fulani Sipora akamuzaa mwana, na Musa akamupatia jina Gershomu,+ kwa sababu alisema: “Nimekuwa mukaaji mugeni katika inchi ya kigeni.”+