Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 5:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Akamupatia jina Noa,*+ na kusema: “Huyu atatufariji katika kazi yetu ya jasho na katika kazi ya nguvu yenye kuumiza ya mikono yetu kwa sababu ya udongo wenye Yehova amelaani.”+

  • Mwanzo 41:51
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 51 Yosefu akamupatia muzaliwa wa kwanza jina Manase,*+ kwa sababu alisema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”

  • Kutoka 2:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kisha mambo hayo Musa akakubali kuishi pamoja na mwanaume huyo, na akamupatia Musa binti yake Sipora+ ili akuwe bibi yake. 22 Kisha wakati fulani Sipora akamuzaa mwana, na Musa akamupatia jina Gershomu,*+ kwa sababu alisema: “Nimekuwa mukaaji mugeni katika inchi ya kigeni.”+

  • Matayo 1:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Atazaa mwana, na utamupatia jina Yesu,*+ kwa maana ataokoa watu wake katika zambi zao.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine