Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;

  • Zaburi 51:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Kwa maana hautaki zabihu⁠—kama ungeitaka ningeitoa;+

      Haufurahie toleo nzima la kuteketezwa.+

      17 Zabihu zenye zinamupendeza Mungu ni roho yenye kuvunjika;

      Moyo wenye kuvunjika na kupondwa, Ee Mungu, hautaukataa.*+

  • Hosea 6:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mushikamanifu,* hapana zabihu,

      Na ujuzi wa Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine