1 Samweli 15:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume; Zaburi 51:16, 17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Kwa maana hautaki zabihu—kama ungeitaka ningeitoa;+Haufurahie toleo nzima la kuteketezwa.+ 17 Zabihu zenye zinamupendeza Mungu ni roho yenye kuvunjika;Moyo wenye kuvunjika na kupondwa, Ee Mungu, hautaukataa.*+ Hosea 6:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mushikamanifu,* hapana zabihu,Na ujuzi wa Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+
22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;
16 Kwa maana hautaki zabihu—kama ungeitaka ningeitoa;+Haufurahie toleo nzima la kuteketezwa.+ 17 Zabihu zenye zinamupendeza Mungu ni roho yenye kuvunjika;Moyo wenye kuvunjika na kupondwa, Ee Mungu, hautaukataa.*+
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mushikamanifu,* hapana zabihu,Na ujuzi wa Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+