Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Wasimamizi-nyumba wanapaswa kuwa waaminifu (1-5)

      • Unyenyekevu wa watumishi Wakristo (6-13)

        • “Musipite mambo yenye yaliandikwa” (6)

        • Wakristo ni tamasha (9)

      • Paulo anahangaikia watoto wake wa kiroho (14-21)

1 Wakorinto 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wasaidizi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 13:11; Rom. 16:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2012, uku. 11-12

    1/8/2000, uku. 14-15

1 Wakorinto 4:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2012, uku. 12-13

1 Wakorinto 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 21:2; Rom. 14:10; Ebr 4:13

1 Wakorinto 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 7:1
  • +Mez. 10:9; 2 Kor. 10:18; 1 Tim. 5:24, 25

1 Wakorinto 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nimeyahamisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:12
  • +Rom. 12:3; 2 Kor. 12:20; 3Yo 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 7

1 Wakorinto 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:27

1 Wakorinto 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 20:4, 6
  • +2 Tim. 2:12; Ufu 3:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2008, uku. 22

1 Wakorinto 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:36; 1 Kor. 15:32; 2 Kor. 6:4, 9
  • +Ebr 10:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2009, uku. 24

    Huduma ya Ufalme,

    8/2001, uku. 1

    Amuka!,

    8/6/2000, uku. 13

1 Wakorinto 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 3:18

1 Wakorinto 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuwa uchi.”

  • *

    Ao “kupigwa huku na huku.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 4:12
  • +2 Kor. 11:27
  • +Mdo 14:19; 23:2; 2 Kor. 11:24

1 Wakorinto 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:3; 20:34; 1 Tes. 2:9
  • +Rom. 12:14; 1 Pe. 3:9
  • +Mt 5:44

1 Wakorinto 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tunaomba kwa kusihi.”

  • *

    Ao “yalala ya; takataka ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 2:23

1 Wakorinto 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watunzaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 4:19; 1 Tes. 2:11

1 Wakorinto 4:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 11:1; Flp 3:17; 1 Tes. 1:6

1 Wakorinto 4:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njia zangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 1:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2017, uku. 31

1 Wakorinto 4:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

1 Wakorinto 4:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 13:10

Maandiko ingine

1 Wakorintho 4:1Mt 13:11; Rom. 16:25, 26
1 Wakorintho 4:4Mez. 21:2; Rom. 14:10; Ebr 4:13
1 Wakorintho 4:5Mt 7:1
1 Wakorintho 4:5Mez. 10:9; 2 Kor. 10:18; 1 Tim. 5:24, 25
1 Wakorintho 4:61 Kor. 1:12
1 Wakorintho 4:6Rom. 12:3; 2 Kor. 12:20; 3Yo 9
1 Wakorintho 4:7Yoh 3:27
1 Wakorintho 4:8Ufu 20:4, 6
1 Wakorintho 4:82 Tim. 2:12; Ufu 3:21
1 Wakorintho 4:9Rom. 8:36; 1 Kor. 15:32; 2 Kor. 6:4, 9
1 Wakorintho 4:9Ebr 10:33
1 Wakorintho 4:101 Kor. 3:18
1 Wakorintho 4:11Flp 4:12
1 Wakorintho 4:112 Kor. 11:27
1 Wakorintho 4:11Mdo 14:19; 23:2; 2 Kor. 11:24
1 Wakorintho 4:12Mdo 18:3; 20:34; 1 Tes. 2:9
1 Wakorintho 4:12Rom. 12:14; 1 Pe. 3:9
1 Wakorintho 4:12Mt 5:44
1 Wakorintho 4:131 Pe. 2:23
1 Wakorintho 4:15Gal 4:19; 1 Tes. 2:11
1 Wakorintho 4:161 Kor. 11:1; Flp 3:17; 1 Tes. 1:6
1 Wakorintho 4:172 Tim. 1:13
1 Wakorintho 4:212 Kor. 13:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 4:1-21

Ya Kwanza kwa Wakorinto

4 Mutu anapaswa kutuona kuwa watumishi* wa Kristo na wasimamizi-nyumba wa siri takatifu za Mungu.+ 2 Katika hali hii, kile chenye kinatazamiwa kwa wasimamizi-nyumba ni kupatwa wakiwa waaminifu. 3 Basi kwangu ni jambo la kidogo sana kuchunguzwa na ninyi ao na tribinali ya wanadamu. Kwa kweli, hata mimi sijichunguze mwenyewe. 4 Kwa maana sione kosa lolote juu yangu mwenyewe. Lakini kupitia hilo sionekane kuwa mwenye haki; mwenye ananichunguza ni Yehova.*+ 5 Kwa hiyo, musihukumu+ jambo lolote mbele ya wakati wenye kufaa, mupaka Bwana akuje. Ataleta mambo ya siri yenye kuwa ya giza kwenye mwangaza na atajulisha nia za mioyo, na kisha kila mutu atapokea sifa yake kutoka kwa Mungu.+

6 Sasa, ndugu, mambo haya nimeyatumia* juu yangu mimi mwenyewe na Apolo+ kwa faida yenu, ili kupitia sisi mujifunze kanuni hii: “Musipite mambo yenye yaliandikwa,” ili musijivune kwa kiburi,+ na kupendelea mutu mumoja juu ya mwingine. 7 Kwa maana ni nani mwenye anakufanya wewe kuwa tofauti na mwingine? Kwa kweli, uko na nini chenye haukupokea?+ Basi, kama kwa kweli ulikipokea, sababu gani unajisifu kama vile haukukipokea?

8 Je, tayari ninyi mumeshiba? Je, tayari ninyi ni matajiri? Je, mumeanza kutawala mukiwa wafalme+ bila sisi? Ninatamani kabisa kwamba mukuwe mumeanza kutawala mukiwa wafalme, ili sisi pia tutawale pamoja na ninyi tukiwa wafalme.+ 9 Kwa maana mimi ninaona kama Mungu ametuweka sisi mitume tukuwe wa mwisho katika wonyesho kama watu wenye walihukumiwa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha kwa ulimwengu,+ na kwa malaika, na kwa wanadamu. 10 Sisi ni wapumbavu+ kwa sababu ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika Kristo; sisi tuko wazaifu, lakini ninyi muko wenye nguvu; ninyi munaheshimiwa, lakini sisi tuko katika haya. 11 Mupaka saa hii tunaendelea kuwa na njaa+ na kiu+ na kukosewa nguo* na kupigwa*+ na kuwa bila makao 12 na kufanya kazi ya taabu, tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Wakati tunatukanwa, tunabariki;+ wakati tunateswa, tunavumilia kwa subira;+ 13 wakati tunasingiziwa, tunajibu kwa upole;*+ tumekuwa kama uchafu wa* ulimwengu, uchafu wa vitu vyote, mupaka sasa.

14 Ninaandika mambo haya, hapana ili kuwapatisha ninyi haya, lakini ili kuwaonya kama watoto wangu wapendwa. 15 Kwa maana hata kama pengine muko na walezi* elfu kumi (10 000) katika Kristo, hakika hamuna baba wengi; kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+ 16 Kwa hiyo, ninawaomba ninyi, mukuwe waigaji wangu.+ 17 Ndiyo sababu ninamutuma Timoteo kwenu, kwa sababu yeye ni mutoto wangu mupendwa na muaminifu katika Bwana. Atawakumbusha ufundi wangu mbalimbali* kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninafundisha kila mahali katika kila kutaniko.

18 Wengine wamejivuna kwa kiburi, kama vile mimi sitakuja kwenu. 19 Lakini nitakuja kwenu hivi karibuni, kama Yehova* anapenda, na nitajua, hapana maneno ya wale wenye kujivuna kwa kiburi, lakini nguvu zao. 20 Kwa maana Ufalme wa Mungu hauko katika maneno, lakini katika nguvu. 21 Munapenda nini? Je, nikuje kwenu nikiwa na fimbo,+ ao nikiwa na upendo na upole wa roho?

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine