Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Zabihu za wanyama hazina uwezo (1-4)

        • Sheria ni kivuli (1)

      • Zabihu ya Kristo mara moja kwa wakati wote (5-18)

      • Njia mupya na yenye uzima ya kupitia (19-25)

        • Tusiache kukutana pamoja (24, 25)

      • Onyo juu ya zambi ya kimakusudi (26-31)

      • Uhakika na imani ili kuvumilia (32-39)

Waebrania 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “watu hawawezi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 8:5
  • +Kol 2:16, 17
  • +Ebr 7:19; 9:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 17

Waebrania 10:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:34

Waebrania 10:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 6 2017 uku. 8

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 18

Waebrania 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 18

Waebrania 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 28

    15/8/2000, uku. 18

    “Kila Andiko,” uku. 105

Waebrania 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:6-8

Waebrania 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 1:4
  • +Ebr 13:12

Waebrania 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufanya utumishi wa watu wote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:27, 28
  • +Kut 29:38; Hes 28:3
  • +Ebr 7:18; 10:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2000, uku. 11

Waebrania 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:34

Waebrania 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 110:1; 1 Kor. 15:25

Waebrania 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 7:19

Waebrania 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:33; Ebr 8:10

Waebrania 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:34; Ebr 8:12

Waebrania 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tuko na uhakika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 9:8, 24

Waebrania 10:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “alituzindulia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 27:51

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2000, uku. 15-16

Waebrania 10:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 6:13; Ebr 3:6

Waebrania 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 1:7
  • +Efe 5:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 19-20

Waebrania 10:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:58; Kol 1:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 20-21

Waebrania 10:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tuhangaikiane; tukaziane uangalifu.”

  • *

    Ao “kutiana moyo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 3:23; 1 Tim. 6:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mapenzi ya Yehova, uku. 9

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 19-21

    15/3/2013, uku. 16

    1/2/2009, uku. 20

    15/3/2002, uku. 24-25

    15/8/2000, uku. 21-22

Waebrania 10:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:12; Mdo 2:42
  • +Isa 35:3; Rom. 1:11, 12
  • +Rom. 13:11; 2 Pe. 3:11, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2016, uku. 7

    Amuka!,

    7/2014, uku. 15

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 19, 21-22

    1/2/2009, uku. 20

    15/11/2002, uku. 4, 6-7

    15/3/2002, uku. 24-25

    1/3/2002, uku. 16

    15/8/2000, uku. 21-22

    15/3/2000, uku. 16-17

Waebrania 10:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ujuzi sahihi wa ile kweli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Pe. 2:21
  • +Mt 12:32; Ebr 6:4-6; 1 Yo. 5:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2011, uku. 24

    1/11/2008, uku. 10

Waebrania 10:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 26:11

Waebrania 10:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:6

Waebrania 10:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:27, 28; Lu 22:20
  • +Ebr 6:4-6

Waebrania 10:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:35, 36

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2008, uku. 10

Waebrania 10:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:6; Ebr 6:4

Waebrania 10:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mulifunuliwa kama katika jumba la maonyesho.”

  • *

    Ao “mulisimama mumoja pembeni ya mwingine.”

Waebrania 10:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:12
  • +Lu 16:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/8/2007, uku. 30-31

    1/1/2006, uku. 22-23

    1/5/2001, uku. 13-14

Waebrania 10:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uhuru wenu wa kusema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:32; 1 Kor. 15:58

Waebrania 10:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 21:19; Yak 5:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2015, uku. 30-31

Waebrania 10:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 26:20
  • +Hab 2:3; 2 Pe. 3:9

Waebrania 10:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu haipendezwe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:16; Rom. 1:17
  • +Hab 2:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Siku ya Yehova,

    uku. 187-188

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 15

Waebrania 10:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Pe. 2:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 17-18

    “Kila Andiko,” uku. 84

Maandiko ingine

Ebr. 10:1Ebr 8:5
Ebr. 10:1Kol 2:16, 17
Ebr. 10:1Ebr 7:19; 9:9
Ebr. 10:3Law. 16:34
Ebr. 10:6Zab 40:6
Ebr. 10:7Zab 40:8
Ebr. 10:9Zab 40:6-8
Ebr. 10:10Gal 1:4
Ebr. 10:10Ebr 13:12
Ebr. 10:111 Sa. 2:27, 28
Ebr. 10:11Kut 29:38; Hes 28:3
Ebr. 10:11Ebr 7:18; 10:1
Ebr. 10:12Rom. 8:34
Ebr. 10:13Zab 110:1; 1 Kor. 15:25
Ebr. 10:14Ebr 7:19
Ebr. 10:16Yer 31:33; Ebr 8:10
Ebr. 10:17Yer 31:34; Ebr 8:12
Ebr. 10:19Ebr 9:8, 24
Ebr. 10:20Mt 27:51
Ebr. 10:21Zek 6:13; Ebr 3:6
Ebr. 10:221 Yo. 1:7
Ebr. 10:22Efe 5:25, 26
Ebr. 10:231 Kor. 15:58; Kol 1:23
Ebr. 10:24Kol 3:23; 1 Tim. 6:18
Ebr. 10:25Kum 31:12; Mdo 2:42
Ebr. 10:25Isa 35:3; Rom. 1:11, 12
Ebr. 10:25Rom. 13:11; 2 Pe. 3:11, 12
Ebr. 10:262 Pe. 2:21
Ebr. 10:26Mt 12:32; Ebr 6:4-6; 1 Yo. 5:16
Ebr. 10:27Isa 26:11
Ebr. 10:28Kum 17:6
Ebr. 10:29Mt 26:27, 28; Lu 22:20
Ebr. 10:29Ebr 6:4-6
Ebr. 10:30Kum 32:35, 36
Ebr. 10:322 Kor. 4:6; Ebr 6:4
Ebr. 10:34Mt 5:12
Ebr. 10:34Lu 16:9
Ebr. 10:35Mt 10:32; 1 Kor. 15:58
Ebr. 10:36Lu 21:19; Yak 5:11
Ebr. 10:37Isa 26:20
Ebr. 10:37Hab 2:3; 2 Pe. 3:9
Ebr. 10:38Yoh 3:16; Rom. 1:17
Ebr. 10:38Hab 2:4
Ebr. 10:392 Pe. 2:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 10:1-39

Kwa Waebrania

10 Kwa maana kwa kuwa Sheria iko na kivuli+ cha mambo ya muzuri yenye yatakuja,+ lakini hapana umbo ya kweli ya mambo hayo, haiwezi* hata kidogo, kwa zabihu zilezile zenye zinaendelea kutolewa mwaka kwa mwaka, kufanya wale wenye wanakaribia wakuwe wakamilifu.+ 2 Tofauti na hilo, je, zabihu hazingeacha kutolewa, kwa sababu wale wenye wanatoa utumishi mutakatifu wangekuwa wametakaswa mara moja na hawangejisikia tena kuwa wako na zambi? 3 Kinyume cha hilo, zabihu hizo ni kikumbusho cha zambi mwaka kwa mwaka,+ 4 kwa maana haiwezekane damu ya ngombe-dume na ya mbuzi kutosha zambi.

5 Basi wakati anakuja katika ulimwengu, anasema: “‘Haukutaka zabihu na toleo, lakini ulinitayarishia mwili. 6 Haukukubali matoleo mazima ya kuteketezwa na matoleo ya zambi.’+ 7 Kisha nikasema: ‘Angalia! Nimekuja (katika kitabu cha kukunjwa imeandikwa juu yangu) ili kufanya mapenzi yako, Ee Mungu.’”+ 8 Kisha kusema kwanza: “Haukutaka na haukukubali zabihu na matoleo na matoleo mazima ya kuteketezwa na matoleo ya zambi”—zabihu zenye zinatolewa kulingana na Sheria— 9 halafu anasema: “Angalia! Nimekuja ili kufanya mapenzi yako.”+ Anatosha ule mupango wa kwanza ili asimamishe ule wa pili. 10 Kwa “mapenzi” hayo+ sisi tumetakaswa kupitia toleo la mwili wa Yesu Kristo mara moja kwa wakati wote.+

11 Pia, kila kuhani anasimama mahali pake kila siku ili kutoa utumishi mutakatifu*+ na kutoa mara nyingi zabihu zilezile,+ zenye haziwezi kutosha kabisa zambi hata kidogo.+ 12 Lakini mutu huyu alitoa zabihu moja kwa ajili ya zambi mara moja kwa wakati wote na kukaa kwenye mukono wa kuume wa Mungu,+ 13 tangu wakati huo na kuendelea akingojea mupaka maadui wake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+ 14 Kwa maana ni kupitia toleo moja la zabihu ndiyo amefanya wale wenye wanatakaswa wakuwe wakamilifu+ kwa wakati wote. 15 Zaidi ya hayo, roho takatifu pia inatutolea ushahidi, kwa maana kisha kusema: 16 “‘Hili ndilo agano lenye nitafanya pamoja nao kisha siku hizo,’ ni vile Yehova* anasema. ‘Nitatia sheria zangu katika mioyo yao, na nitaziandika katika akili zao.’”+ 17 Kisha inasema: “Na sitakumbuka tena zambi zao na matendo yao ya kuvunja sheria.”+ 18 Sasa mahali kwenye kuko musamaha wa mambo hayo, hakuna tena toleo kwa ajili ya zambi.

19 Kwa hiyo, ndugu, kwa kuwa hatuna woga* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kupitia damu ya Yesu, 20 yenye alitufungulia* kuwa njia mupya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ ni kusema, mwili wake, 21 na kwa kuwa tuko na kuhani mukubwa mwenye kuwa juu ya nyumba ya Mungu,+ 22 tukaribie tukiwa na mioyo myeupe na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyiziwa* damu na kuwa safi kutokana na zamiri ya mubaya+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+ 23 Tushike imara tangazo la mbele ya watu wote la tumaini letu bila kuyumba-yumba,+ kwa maana ule mwenye aliahidi ni muaminifu. 24 Na tufikiriane* ili kuchocheana* katika upendo na matendo ya muzuri,+ 25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama vile wengine wako na desturi, lakini tutiane moyo,+ na kufanya vile zaidi sana kwa kadiri munaona siku ile kuwa inakaribia.+

26 Kwa maana kama tunazoea kutenda zambi kimakusudi kisha kupokea ujuzi wenye hauna makosa wa ile kweli,*+ hakuna tena zabihu yoyote yenye inabakia kwa ajili ya zambi,+ 27 lakini kuko tazamio hakika la hukumu lenye linaogopesha na kasirani yenye kuwaka yenye itateketeza wale wenye wanapinga.+ 28 Mutu yeyote mwenye amezarau Sheria ya Musa anakufa bila huruma kwa ushuhuda wa watu wawili ao watatu (3).+ 29 Munawaza mutu mwenye amemukanyangia chini Mwana wa Mungu na kuona damu ya agano+ kuwa yenye samani ya kawaida tu, damu yenye alitakaswa kupitia hiyo, na mwenye ametukana kwa zarau roho ya fazili zenye hazistahiliwe, atapata azabu kubwa kadiri gani?+ 30 Kwa maana tunajua Ule mwenye alisema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa.” Na tena: “Yehova* atahukumu watu wake.”+ 31 Ni jambo lenye kuogopesha kuanguka katika mikono ya Mungu mwenye kuishi.

32 Hata hivyo, muendelee kukumbuka siku za zamani zenye, kisha kupata mwangaza,+ mulivumilia pigano kubwa pamoja na mateso. 33 Nyakati fulani mulifunuliwa mbele ya watu wote* kwa lawama na pia taabu, na nyakati fulani mulishiriki* pamoja na wale wenye walikuwa wanapatwa na jambo kama hilo. 34 Kwa maana muliwasikilia huruma wale wenye walikuwa katika gereza na mukakubali kwa furaha kunyanganywa vitu vyenu,+ mukijua kwamba ninyi wenyewe muko na malipo ya muzuri zaidi na yenye kudumu.+

35 Kwa hiyo, musitupe hali yenu ya kutokuwa na woga,* yenye itapewa zawabu kwa wingi.+ 36 Kwa maana muko na lazima ya uvumilivu,+ ili kisha kufanya mapenzi ya Mungu, mupokee utimizo wa ile ahadi. 37 Kwa maana kunabakia “wakati kidogo sana,”+ na “ule mwenye anakuja atafika na hatakawia.”+ 38 “Lakini mutu wangu mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani,”+ na “kama anarudia nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwe* naye.”+ 39 Sasa sisi hatuko namna ya watu wenye wanarudia nyuma kwenye uharibifu,+ lakini sisi ni namna ya watu wenye wako na imani ili kulinda uzima wetu.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine