Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Mabamba mbili yanatengenezwa tena (1-11)

      • Mambo yenye Yehova anataka (12-22)

        • Umuogope na umupende Yehova (12)

Kumbukumbu la Torati 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:1

Kumbukumbu la Torati 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mushita.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:4

Kumbukumbu la Torati 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yale Maneno Kumi.”

  • *

    Ao “kutaniko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:15
  • +Kut 20:1; 34:28; Kum 4:13
  • +Kum 4:36; 5:4
  • +Kut 19:17; Kum 5:22

Kumbukumbu la Torati 10:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2006, uku. 31

Kumbukumbu la Torati 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:23, 24; 33:31, 38
  • +Hes 20:28

Kumbukumbu la Torati 10:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mabonde ya mito yenye maji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:33

Kumbukumbu la Torati 10:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 1:50; 3:6; 8:14
  • +Hes 3:30, 31
  • +Hes 6:23-27; Kum 21:5; 2Nya 30:27

Kumbukumbu la Torati 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 18:20, 24; Kum 18:1

Kumbukumbu la Torati 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:18; 34:28
  • +Kut 32:14

Kumbukumbu la Torati 10:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 10:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 6:8
  • +Kum 5:29
  • +Kum 5:33; Yosh. 22:5
  • +Kum 6:5; Lu 10:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2009, uku. 10

Kumbukumbu la Torati 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2009, uku. 10

Kumbukumbu la Torati 10:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mbingu za juu sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:11; Zab 24:1; 115:16

Kumbukumbu la Torati 10:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:37

Kumbukumbu la Torati 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutahiri govi la.” Govi ni ngozi yenye kufunika sehemu ya mbele ya kiungo cha uzazi cha mwanaume mwenye hajatahiriwa.

  • *

    Tnn., “na musifanye shingo yenu kuwa ngumu tena.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:6
  • +Kut 34:9; Kum 9:6; 31:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 13

Kumbukumbu la Torati 10:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kata-midomo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:11; 2Nya 2:5; Zab 97:9
  • +Mdo 10:34; Rom. 2:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 114

Kumbukumbu la Torati 10:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yatima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 68:5; Yak 1:27
  • +Law. 19:10; Kum 24:14; Zab 146:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 113-114

Kumbukumbu la Torati 10:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:21; Law. 19:34

Kumbukumbu la Torati 10:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 4:8

Kumbukumbu la Torati 10:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:2; Ufu 19:6
  • +2 Sa. 7:23

Kumbukumbu la Torati 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:27; Kut 1:5; Mdo 7:14
  • +Mwa 15:1, 5

Maandiko ingine

Kum. 10:1Kut 34:1
Kum. 10:3Kut 34:4
Kum. 10:4Kut 32:15
Kum. 10:4Kut 20:1; 34:28; Kum 4:13
Kum. 10:4Kum 4:36; 5:4
Kum. 10:4Kut 19:17; Kum 5:22
Kum. 10:5Kut 34:29
Kum. 10:6Hes 20:23, 24; 33:31, 38
Kum. 10:6Hes 20:28
Kum. 10:7Hes 33:33
Kum. 10:8Hes 1:50; 3:6; 8:14
Kum. 10:8Hes 3:30, 31
Kum. 10:8Hes 6:23-27; Kum 21:5; 2Nya 30:27
Kum. 10:9Hes 18:20, 24; Kum 18:1
Kum. 10:10Kut 24:18; 34:28
Kum. 10:10Kut 32:14
Kum. 10:11Mwa 15:18
Kum. 10:12Mik 6:8
Kum. 10:12Kum 5:29
Kum. 10:12Kum 5:33; Yosh. 22:5
Kum. 10:12Kum 6:5; Lu 10:27
Kum. 10:13Kum 6:24
Kum. 10:141Nya 29:11; Zab 24:1; 115:16
Kum. 10:15Kum 4:37
Kum. 10:16Kum 30:6
Kum. 10:16Kut 34:9; Kum 9:6; 31:27
Kum. 10:17Kut 18:11; 2Nya 2:5; Zab 97:9
Kum. 10:17Mdo 10:34; Rom. 2:11
Kum. 10:18Zab 68:5; Yak 1:27
Kum. 10:18Law. 19:10; Kum 24:14; Zab 146:9
Kum. 10:19Kut 22:21; Law. 19:34
Kum. 10:20Lu 4:8
Kum. 10:21Kut 15:2; Ufu 19:6
Kum. 10:212 Sa. 7:23
Kum. 10:22Mwa 46:27; Kut 1:5; Mdo 7:14
Kum. 10:22Mwa 15:1, 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 10:1-22

Kumbukumbu la Torati

10 “Wakati huo Yehova aliniambia, ‘Ujichongee mabamba mbili ya majiwe kama yale ya kwanza,+ na upande kuja kwangu kwenye mulima; unapaswa kujitengenezea pia sanduku la mbao. 2 Na nitaandika kwenye mabamba hayo maneno yenye yalikuwa kwenye yale mabamba ya kwanza, yenye ulivunja-vunja, na utatia mabamba hayo ndani ya sanduku hilo.’ 3 Kwa hiyo nikatengeneza sanduku la mbao za mugunga* na kuchonga mabamba mbili ya majiwe kama yale ya kwanza na kupanda kwenye mulima nikiwa na mabamba hayo mbili katika mukono wangu.+ 4 Kisha akaandika kwenye mabamba hayo maneno yenye alikuwa ameandika mbele,+ zile Amri Kumi (10),*+ zenye Yehova alikuwa amewaambia ninyi kwenye mulima kutoka katika moto+ siku ya mukusanyiko;*+ na Yehova akanipatia mabamba hayo. 5 Kisha nikageuka na kushuka kutoka kwenye mulima+ na kutia mabamba hayo katika sanduku lenye nilikuwa nimetengeneza, yangali ndani, kama vile Yehova alikuwa ameniamuru.

6 “Kisha Waisraeli wakaondoka Beeroti Bene-yaakani na kuenda Mosera. Haruni akakufa na kuzikwa kule,+ na Eleazari mwana wake akaanza kutumika akiwa kuhani pa nafasi yake.+ 7 Kutoka kule wakaelekea Gudgoda, na kutoka Gudgoda wakaelekea Yotbata,+ inchi yenye kutiririka mito midogo ya maji.*

8 “Wakati huo Yehova alitia pembeni kabila la Lawi+ ili libebe sanduku la agano la Yehova,+ kusudi lisimame mbele ya Yehova ili kumutolea utumishi, na kubariki katika jina lake,+ kama vile wanafanya mupaka leo. 9 Ndiyo maana Lawi hakupewa fungu wala uriti pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye uriti wake, kama vile Yehova Mungu wako alikuwa amemuambia.+ 10 Mimi mwenyewe nilikaa kwenye mulima kama vile nilifanya mara ya kwanza, siku makumi ine (40), muchana na usiku,+ na Yehova alinisikiliza wakati huo pia.+ Yehova hakutaka kukuharibu. 11 Kisha Yehova akaniambia, ‘Tangulia mbele ya watu, na utayarishe kuondoka, ili waingie na kuriti inchi yenye nimeapia mababu zao kwamba nitawapatia.’+

12 “Sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka ufanye nini?+ Mambo haya tu: kumuogopa Yehova Mungu wako,+ kutembea katika njia zake zote,+ kumupenda, kumutumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote,+ 13 na kushika amri na sheria za Yehova zenye ninakuamuru leo kwa faida yako mwenyewe.+ 14 Angalia, mbingu, hata mbingu za mbingu* ni za Yehova Mungu wako, na dunia na vitu vyote vyenye kuwa ndani yake.+ 15 Lakini ni mababu zako tu ndio Yehova alikaribia na kuwaonyesha upendo wake, na amewachagua ninyi, uzao wao,+ katikati ya vikundi vyote vya watu, kama vile muko leo. 16 Munapaswa sasa kusafisha* mioyo yenu+ na kuacha kuwa kichwa-nguvu vile.*+ 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mukubwa, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha sana, mwenye hamutendee mutu yeyote kwa upendeleo+ na hakubali rushwa.* 18 Anatenda haki kwa ajili ya mutoto mwenye hana baba* na mujane+ na anamupenda mukaaji mugeni,+ anamupatia chakula na nguo. 19 Ninyi pia munapaswa kumupenda mukaaji mugeni, kwa maana mulikuwa wakaaji wageni katika inchi ya Misri.+

20 “Unapaswa kumuogopa Yehova Mungu wako, unapaswa kumutumikia yeye,+ unapaswa kushikamana naye, na unapaswa kuapa kwa jina lake. 21 Ni Yeye unapaswa kusifu.+ Yeye ni Mungu wako, mwenye amekufanyia mambo haya makubwa na yenye kuogopesha sana yenye macho yako mwenyewe yameona.+ 22 Mababu zako walishuka Misri+ na watu* makumi saba (70), na sasa Yehova Mungu wako amefanya mukuwe wengi kama nyota za mbinguni.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine