Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waamuzi

      • Malaika anamutembelea Manoa na bibi yake (1-23)

      • Samsoni anazaliwa (24, 25)

Waamuzi 13:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:11, 19; 10:6
  • +Yosh. 13:1-3; Amu 10:7

Waamuzi 13:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 33; 19:41, 48
  • +Mwa 49:16
  • +Amu 16:31
  • +Mwa 30:22, 23

Waamuzi 13:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:10; 1 Sa. 1:20; Lu 1:11, 13

Waamuzi 13:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:2, 3; Lu 1:15
  • +Law. 11:26, 27

Waamuzi 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuanzia ndani ya tumbo la uzazi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:2, 5
  • +Amu 2:16; 13:1; Ne 9:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1959

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 25

Waamuzi 13:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 13:17, 18

Waamuzi 13:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuanzia ndani ya tumbo la uzazi.”

Waamuzi 13:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2015, uku. 3

    15/8/2013, uku. 16

Waamuzi 13:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 13:3

Waamuzi 13:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 13:8

Waamuzi 13:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 13:4

Waamuzi 13:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:2, 3
  • +Law. 11:26, 27

Waamuzi 13:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:5, 7; Amu 6:18, 19; Ebr 13:2

Waamuzi 13:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:29; Amu 13:6

Waamuzi 13:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2013, uku. 10

Waamuzi 13:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:22, 23

Waamuzi 13:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:20; Yoh 1:18

Waamuzi 13:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 13:16

Waamuzi 13:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:32

Waamuzi 13:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:9, 10; 6:34; 11:29; 1 Sa. 11:6
  • +Amu 18:11, 12
  • +Yosh. 15:20, 33

Maandiko ingine

Amu. 13:1Amu 2:11, 19; 10:6
Amu. 13:1Yosh. 13:1-3; Amu 10:7
Amu. 13:2Yosh. 15:20, 33; 19:41, 48
Amu. 13:2Mwa 49:16
Amu. 13:2Amu 16:31
Amu. 13:2Mwa 30:22, 23
Amu. 13:3Mwa 18:10; 1 Sa. 1:20; Lu 1:11, 13
Amu. 13:4Hes 6:2, 3; Lu 1:15
Amu. 13:4Law. 11:26, 27
Amu. 13:5Hes 6:2, 5
Amu. 13:5Amu 2:16; 13:1; Ne 9:27
Amu. 13:6Amu 13:17, 18
Amu. 13:10Amu 13:3
Amu. 13:12Amu 13:8
Amu. 13:13Amu 13:4
Amu. 13:14Hes 6:2, 3
Amu. 13:14Law. 11:26, 27
Amu. 13:15Mwa 18:5, 7; Amu 6:18, 19; Ebr 13:2
Amu. 13:17Mwa 32:29; Amu 13:6
Amu. 13:21Amu 6:22, 23
Amu. 13:22Kut 33:20; Yoh 1:18
Amu. 13:23Amu 13:16
Amu. 13:24Ebr 11:32
Amu. 13:25Amu 3:9, 10; 6:34; 11:29; 1 Sa. 11:6
Amu. 13:25Amu 18:11, 12
Amu. 13:25Yosh. 15:20, 33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waamuzi 13:1-25

Waamuzi

13 Waisraeli wakafanya tena mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ na Yehova akawatia katika mukono wa Wafilisti+ kwa miaka makumi ine (40).

2 Wakati huo, kulikuwa mutu mumoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ jina lake lilikuwa Manoa.+ Bibi yake alikuwa tasa na hakukuwa na mutoto.+ 3 Siku moja malaika wa Yehova akamutokea mwanamuke huyo na kumuambia: “Angalia, wewe ni tasa na hauna mutoto. Lakini utapata mimba na utazaa mwana.+ 4 Kwa hiyo, ukuwe muangalifu usikunywe divai wala kitu chochote chenye kulewesha,+ na usikule kitu chochote kichafu.+ 5 Angalia! Utapata mimba na utazaa mwana, na wembe haupaswe kugusa kichwa chake,+ kwa sababu atakuwa Munaziri wa Mungu tangu kuzaliwa,* na ataongoza katika kuokoa Israeli katika mukono wa Wafilisti.”+

6 Kisha mwanamuke huyo akaenda kumuambia bwana yake: “Mutu fulani wa Mungu wa kweli alikuja kwangu, na alionekana kama malaika wa Mungu wa kweli, mwenye kuogopesha sana. Sikumuuliza alitoka wapi, wala hakuniambia jina lake.+ 7 Lakini aliniambia, ‘Angalia! Utapata mimba na kuzaa mwana. Basi usikunywe divai wala kitu chochote chenye kulewesha, na usikule kitu chochote kichafu, kwa sababu mutoto huyo atakuwa Munaziri wa Mungu tangu kuzaliwa* mupaka siku atakufa.’”

8 Manoa akamulilia Yehova na kusema: “Ninakuomba Yehova. Tafazali, acha ule mutu wa Mungu wa kweli mwenye ulituma akuje tena ili atufundishe namna tunapaswa kumutendea mutoto mwenye atazaliwa.” 9 Basi Mungu wa kweli akamusikiliza Manoa, na ule malaika wa Mungu wa kweli akakuja tena kwa ule mwanamuke wakati alikuwa anakaa katika eneo la mashamba; Manoa bwana yake hakukuwa pamoja naye. 10 Mwanamuke huyo akakimbia haraka na kumuambia bwana yake: “Angalia! Ule mutu mwenye alikuja kwangu ile siku amenitokea.”+

11 Kisha Manoa akasimama na kuenda na bibi yake. Akafika karibu na mutu huyo na kumuuliza: “Wewe ndiye mutu mwenye alizungumuza na bibi yangu?” Akajibu: “Ni mimi.” 12 Kisha Manoa akasema: “Maneno yako yatimie! Mutoto huyo ataishi maisha ya namna gani, na atafanya kazi gani?”+ 13 Basi malaika wa Yehova akamuambia Manoa: “Bibi yako ajiepushe na kila kitu chenye nilimuambia.+ 14 Asikule kitu chochote chenye kutoka katika muzabibu, asikunywe divai wala kitu chochote chenye kulewesha,+ na asikule kitu chochote kichafu.+ Ashike kila jambo lenye nilimuamuru.”

15 Sasa Manoa akamuambia malaika wa Yehova: “Tafazali usiende, tukutayarishie mwana-mbuzi.”+ 16 Lakini malaika wa Yehova akamuambia Manoa: “Hata nikibakia, sitakula chakula chako; lakini ukipenda unaweza kukitoa kwa Yehova kuwa toleo la kuteketezwa.” Manoa hakujua kwamba ule mutu alikuwa malaika wa Yehova. 17 Kisha Manoa akamuuliza malaika wa Yehova: “Jina lako nani,+ ili tukuonyeshe heshima wakati neno lako litatimia?” 18 Lakini, malaika wa Yehova akamuambia: “Sababu gani unauliza jina langu, wakati jina hilo ni la ajabu?”

19 Basi Manoa akakamata mwana-mbuzi na toleo la nafaka, akavitolea Yehova juu ya jiwe. Na Yeye alikuwa anafanya jambo fulani la kushangaza na wakati huo Manoa na bibi yake walikuwa wanaangalia. 20 Wakati mwali wa moto ulikuwa unapanda kuelekea mbinguni, malaika wa Yehova akapanda katika mwali wenye ulitoka katika mazabahu na wakati huo Manoa na bibi yake walikuwa wanaangalia. Mara moja wakaanguka uso chini. 21 Malaika wa Yehova hakutokea tena Manoa na bibi yake. Basi Manoa akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+ 22 Kisha Manoa akamuambia bibi yake: “Hakika tutakufa, kwa sababu ule mwenye tumeona ni Mungu.”+ 23 Lakini bibi yake akamuambia: “Kama Yehova angetaka kutuua, hangekubali toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka kutoka katika mukono wetu, hangetuonyesha mambo haya yote, na hangetuambia mambo haya yote.”

24 Kisha wakati fulani mwanamuke huyo akamuzaa mwana na kumupatia jina Samsoni;+ na kadiri kijana huyo aliendelea kukomaa, Yehova aliendelea kumubariki. 25 Kisha kipindi fulani roho ya Yehova ikaanza kumuchochea+ kule Mahane-dani+ katikati ya Sora na Eshtaoli.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine