Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 28
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Kwenye inchi kavu kule Malta (1-6)

      • Baba ya Publio anaponyeshwa (7-10)

      • Kuelekea Roma (11-16)

      • Paulo anazungumuza na Wayahudi kule Roma (17-29)

      • Paulo anahubiri bila woga kwa miaka mbili (30, 31)

Matendo 28:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 27:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 209-210

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2004, uku. 30-31

Matendo 28:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakaaji wa kisiwa hicho.”

  • *

    Ao “fazili nyingi sana za kibinadamu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 209-210

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2002, uku. 19

Matendo 28:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 210

Matendo 28:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki Di’ke, lenye pengine linataja mungu mwanamuke wa kulipiza kisasi ao wazo la haki katika maana ya kuwaziwa.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2015, uku. 9

    Kutoa Ushahidi, uku. 210

Matendo 28:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 210

Matendo 28:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 210

    “Kila Andiko,” uku. 200

Matendo 28:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 4:38, 39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 210

Matendo 28:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:8

Matendo 28:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Matendo 28:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2009, uku. 9

    Kutoa Ushahidi, uku. 211

Matendo 28:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Bandari ni mahali mashua zinaegesha.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 211

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/10/2007, uku. 30

Matendo 28:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 211

Matendo 28:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 211-212

Matendo 28:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Mukahawa ni mahali watu wanakula, wanakunywa, na kupumuzika.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2010, uku. 11

    15/10/2006,

    uku. 14, 16-17

    15/12/2004, uku. 16-17

    Kutoa Ushahidi, uku. 212-213

Matendo 28:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 14

    Kutoa Ushahidi, uku. 213

Matendo 28:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:11, 12; 25:8
  • +Mdo 21:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 213-214

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 24

Matendo 28:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:10
  • +Mdo 23:26, 29; 25:24, 25; 26:31, 32

Matendo 28:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:11, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 213-214

Matendo 28:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:6; 26:6; Efe 6:19, 20; 2 Tim. 1:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 214

Matendo 28:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 213-214

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 24

Matendo 28:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:14
  • +Lu 2:34; Yoh 15:19

Matendo 28:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:2, 3
  • +Yoh 5:46
  • +Mdo 26:22, 23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2012, uku. 12-13

    Kutoa Ushahidi, uku. 215

Matendo 28:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2003, uku. 22-23

Matendo 28:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 215

    Unabii wa Isaya 1, uku. 100

Matendo 28:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 1, uku. 100

Matendo 28:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:9, 10; Mt 13:14, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 215

    Unabii wa Isaya 1), uku. 100

Matendo 28:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 3:4, 6; Mdo 13:45, 46; 22:21; Rom. 11:11
  • +Zab 67:2; 98:3; Isa 11:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 215

Matendo 28:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A3.

Matendo 28:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kulipia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 28:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 14-15

    15/1/2007, uku. 32

    15/12/2001, uku. 24

    Kutoa Ushahidi, uku. 215-217

    “Kila Andiko,” uku. 234

Matendo 28:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bila woga wowote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 14-15

    15/1/2007, uku. 32

    15/5/2006, uku. 14

    Kutoa Ushahidi, uku. 215-217

Maandiko ingine

Mdo. 28:1Mdo 27:26
Mdo. 28:8Lu 4:38, 39
Mdo. 28:9Mt 10:8
Mdo. 28:152 Kor. 1:3, 4
Mdo. 28:17Mdo 24:11, 12; 25:8
Mdo. 28:17Mdo 21:33
Mdo. 28:18Mdo 24:10
Mdo. 28:18Mdo 23:26, 29; 25:24, 25; 26:31, 32
Mdo. 28:19Mdo 25:11, 12
Mdo. 28:20Mdo 23:6; 26:6; Efe 6:19, 20; 2 Tim. 1:16
Mdo. 28:22Mdo 24:14
Mdo. 28:22Lu 2:34; Yoh 15:19
Mdo. 28:23Mdo 17:2, 3
Mdo. 28:23Yoh 5:46
Mdo. 28:23Mdo 26:22, 23
Mdo. 28:26Rom. 11:8
Mdo. 28:27Isa 6:9, 10; Mt 13:14, 15
Mdo. 28:28Lu 3:4, 6; Mdo 13:45, 46; 22:21; Rom. 11:11
Mdo. 28:28Zab 67:2; 98:3; Isa 11:10
Mdo. 28:30Mdo 28:16
Mdo. 28:31Efe 6:19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 28:1-31

Matendo ya Mitume

28 Wakati tulikuwa tumefika salama kwenye inchi kavu, tukapata habari kwamba kisiwa hicho kiliitwa Malta.+ 2 Na watu hao wenye kusema luga ya kigeni* walitutendea kwa fazili nyingi sana.* Wakawasha moto na kutupokea sisi wote kwa fazili kwa sababu ya mvua yenye ilikuwa inanyesha na kwa sababu kulikuwa baridi. 3 Lakini wakati Paulo alikusanya fungu la kuni na kuliweka kwenye moto, nyoka-kipiri akatoka ndani kwa sababu ya joto na kumubana kwenye mukono. 4 Wakati watu hao wenye kusema luga ya kigeni waliona kiumbe hicho chenye sumu kikininginia kwenye mukono wa Paulo, wakaanza kuambiana: “Hakika mutu huyu ni muuaji, na hata kama alifika salama kutoka katika bahari, Haki* haikumuruhusu aendelee kuishi.” 5 Hata hivyo, akakungutia ule nyoka ndani ya moto na hakupata maumivu yoyote. 6 Lakini walikuwa wanawaza kwamba atavimba ao ataanguka mara moja na kufa. Wakati walikuwa wamengojea kwa wakati murefu na kuona kwamba hakuna hata jambo moja la mubaya lenye lilimupata, wakabadilisha mawazo yao na wakaanza kusema yeye ni mungu.

7 Karibu na mahali pale kulikuwa mashamba ya mukubwa wa kisiwa hicho, mwenye jina lake lilikuwa Publio, na akatukaribisha na kutuonyesha ukarimu kwa siku tatu (3). 8 Na baba ya Publio alikuwa amelala katika kitanda akiwa na ugonjwa wa homa na wa kuhara damu; na Paulo akaingia mahali alikuwa na akasali, akaweka mikono juu yake, na akamuponyesha.+ 9 Kisha jambo hilo kutokea, watu wengine wenye walikuwa wagonjwa katika kisiwa hicho wakaanza pia kuja kwenye alikuwa na wakaponyeshwa.+ 10 Wakatupatia pia zawadi nyingi, na wakati wa kuondoka, wakatuwekea katika mashua* vitu vyote vyenye tulikuwa navyo lazima.

11 Kisha miezi tatu (3), tukasafiri kwa mashua* yenye sehemu yake ya mbele ilikuwa na sanamu ya “Wana wa Zeu.” Mashua hiyo ilitoka Aleksandria na ilikuwa imekaa kwenye kisiwa hicho katika kipindi cha baridi. 12 Tukasimama katika bandari* ya Sirakusa, tukakaa pale siku tatu (3); 13 kutoka pale tukaendelea na tukafika Regiamu. Siku moja kisha pale, upepo wa kusini ukavuma na tukaingia Puteoli siku ya pili. 14 Tukakuta pale ndugu na wakatuomba kwa mukazo tukae pamoja nao kwa siku saba (7), basi tukaelekea Roma. 15 Kutoka kule, wakati ndugu walisikia habari zetu, wakakuja mupaka kwenye Soko la Apio na Mikahawa* Tatu ili kutupokea. Wakati Paulo aliwaona, akamushukuru Mungu na akajipa uhodari.+ 16 Mwishowe, wakati tuliingia Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake akiwa na askari wa kumulinda.

17 Hata hivyo, kisha siku tatu (3), akaita pamoja wanaume wenye vyeo wa Wayahudi. Wakati walikuwa wamekusanyika, akawaambia: “Wanaume, ndugu, hata kama sikufanya jambo lolote kinyume na watu ao desturi za mababu zetu,+ nilitolewa nikiwa mufungwa kutoka Yerusalemu na nikatiwa katika mikono ya Waroma.+ 18 Na kisha kufanya uchunguzi,+ walitaka kuniacha huru, kwa maana hapakukuwa sababu yoyote ya kuniua.+ 19 Hata hivyo, wakati Wayahudi walipinga, nililazimika kuomba kesi yangu ya hukumu isikilizwe na Kaisari,+ lakini haiko kwa sababu nilikuwa na jambo fulani la kushitaki taifa langu. 20 Basi kwa sababu hii niliomba kuwaona ninyi na kuzungumuza na ninyi, kwa maana nimefungwa munyororo huu kwa sababu ya tumaini la Israeli.”+ 21 Wakamuambia: “Hakuna barua zenye tulipokea juu yako kutoka Yudea, na hakuna ndugu mwenye alikuja kutoka kule mwenye ametujulisha ao kusema jambo lolote la mubaya juu yako. 22 Lakini tunaona inafaa kukusikia wewe ili kujua mawazo yako, kwa maana kwa kweli juu ya zehebu* hili,+ tunajua linasemwa mubaya kila mahali.”+

23 Basi wakapanga siku ya kukutana pamoja naye, na wakakuja wakiwa wengi zaidi mahali alikuwa anaishi. Na kuanzia asubui mupaka mangaribi, akawafasiria jambo hilo kwa kutoa ushahidi kamili juu ya Ufalme wa Mungu, akiwasadikisha juu ya Yesu+ kwa kutumia Sheria ya Musa+ na pia Manabii.+ 24 Wamoja wakaanza kuamini mambo yenye alisema; wengine hawakuamini. 25 Lakini kwa sababu hawakukubaliana kati yao, wakaanza kuondoka, na Paulo akasema jambo hili moja:

“Roho takatifu ilisema kwa kufaa kupitia nabii Isaya kwa mababu zenu, 26 ikisema, ‘Uende kwa watu hawa na useme: “Kwa kweli mutasikia lakini hamutaelewa hata kidogo, na kwa kweli mutaangalia lakini hamutaona hata kidogo.+ 27 Kwa maana moyo wa watu hawa umekuwa mugumu, na kwa masikio yao wamesikia bila kuitikia, na wamefunga macho yao, ili wasione hata kidogo kwa macho yao na wasisikie kwa masikio yao na wasielewe kwa moyo wao na kugeuka na mimi niwaponyeshe.”’+ 28 Basi mujue kwamba wokovu huu kutoka kwa Mungu umepelekwa kwa mataifa;+ hakika wao watausikiliza.”+ 29*⁠ ——

30 Kwa hiyo akakaa kule kwa miaka mbili ya kuenea katika nyumba yake ya kupanga,*+ na alikuwa anapokea kwa fazili wale wote wenye walikuwa wanakuja kwake, 31 na alikuwa anawahubiria Ufalme wa Mungu na kuwafundisha juu ya Bwana Yesu Kristo kwa uhuru mwingi wa kusema,*+ bila kizuizi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine