Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Mifano ya kuonya kutokana na historia ya Israeli (1-13)

      • Onyo juu ya ibada ya sanamu (14-22)

        • Meza ya Yehova, meza ya pepo wachafu (21)

      • Uhuru na kufikiria wengine (23-33)

        • “Mufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu” (31)

1 Wakorinto 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:21
  • +Kut 14:21, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/6/2001, uku. 14

1 Wakorinto 10:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/6/2001, uku. 14

1 Wakorinto 10:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:14, 15

1 Wakorinto 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ulikuwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:6
  • +Hes 20:11; Yoh 4:10, 25

1 Wakorinto 10:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:29, 35

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/6/2001, uku. 14

1 Wakorinto 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 11:4, 34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2010, uku. 27

    15/6/2001, uku. 14-15

    “Kila Andiko,” uku. 30

1 Wakorinto 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:4, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2010, uku. 27

    15/6/2001, uku. 15-16

1 Wakorinto 10:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:1, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 97-98

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2010, uku. 27

    1/4/2004, uku. 29

    15/6/2001, uku. 16-17

1 Wakorinto 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:16
  • +Hes 21:5, 6; Mt 4:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2010, uku. 27

    15/6/2001, uku. 17

1 Wakorinto 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:2
  • +Hes 14:36, 37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2010, uku. 27

    15/6/2001, uku. 17

1 Wakorinto 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mifumo ya mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 213

1 Wakorinto 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 28:14; Lu 22:33, 34; Gal 6:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/3/2001, uku. 11

1 Wakorinto 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 5:8, 9
  • +Lu 22:31, 32; 2 Pe. 2:9
  • +Isa 40:29; Flp 4:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    2/2017, uku. 29-30

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2016, uku. 10-11

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015, uku. 26

    15/4/2014, uku. 21

    15/4/2012, uku. 27

    15/11/2010, uku. 27-28

    15/5/2009, uku. 22

    15/3/2008, uku. 13

    15/3/2001,

    uku. 11-12, 13-14

    Endeleeni Kukesha!, uku. 26

1 Wakorinto 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:25, 26; 2 Kor. 6:17; 1 Yo. 5:21

1 Wakorinto 10:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:27, 28
  • +Mt 26:26; Lu 22:19; 1 Kor. 12:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2006, uku. 23-24

1 Wakorinto 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:5

1 Wakorinto 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:15

1 Wakorinto 10:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:17
  • +Yud 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2004, uku. 5

1 Wakorinto 10:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 41:22; Mal 1:12

1 Wakorinto 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:14; Kum 32:21

1 Wakorinto 10:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ni halali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:19; 15:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 72-73

1 Wakorinto 10:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:32, 33; 13:4, 5; Flp 2:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2017, uku. 11

    “Upendo wa Mungu,” uku. 72-73

1 Wakorinto 10:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 12

1 Wakorinto 10:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 24:1; 1 Tim. 4:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 213

1 Wakorinto 10:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 8:7, 10

1 Wakorinto 10:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:15, 16; 1 Kor. 8:12

1 Wakorinto 10:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:6; 1 Tim. 4:3

1 Wakorinto 10:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:16; Kol 3:17

1 Wakorinto 10:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:13; 1 Kor. 8:13; 2 Kor. 6:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/4/2007, uku. 22

1 Wakorinto 10:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:2; Flp 2:4
  • +1 Kor. 9:22

Maandiko ingine

1 Wakorintho 10:1Kut 13:21
1 Wakorintho 10:1Kut 14:21, 22
1 Wakorintho 10:3Kut 16:14, 15
1 Wakorintho 10:4Kut 17:6
1 Wakorintho 10:4Hes 20:11; Yoh 4:10, 25
1 Wakorintho 10:5Hes 14:29, 35
1 Wakorintho 10:6Hes 11:4, 34
1 Wakorintho 10:7Kut 32:4, 6
1 Wakorintho 10:8Hes 25:1, 9
1 Wakorintho 10:9Kum 6:16
1 Wakorintho 10:9Hes 21:5, 6; Mt 4:7
1 Wakorintho 10:10Hes 14:2
1 Wakorintho 10:10Hes 14:36, 37
1 Wakorintho 10:11Rom. 15:4
1 Wakorintho 10:12Mez. 28:14; Lu 22:33, 34; Gal 6:1
1 Wakorintho 10:131 Pe. 5:8, 9
1 Wakorintho 10:13Lu 22:31, 32; 2 Pe. 2:9
1 Wakorintho 10:13Isa 40:29; Flp 4:13
1 Wakorintho 10:14Kum 4:25, 26; 2 Kor. 6:17; 1 Yo. 5:21
1 Wakorintho 10:16Mt 26:27, 28
1 Wakorintho 10:16Mt 26:26; Lu 22:19; 1 Kor. 12:18
1 Wakorintho 10:17Rom. 12:5
1 Wakorintho 10:18Law. 7:15
1 Wakorintho 10:20Kum 32:17
1 Wakorintho 10:20Yud 6
1 Wakorintho 10:21Eze 41:22; Mal 1:12
1 Wakorintho 10:22Kut 34:14; Kum 32:21
1 Wakorintho 10:23Rom. 14:19; 15:2
1 Wakorintho 10:241 Kor. 10:32, 33; 13:4, 5; Flp 2:4
1 Wakorintho 10:26Zab 24:1; 1 Tim. 4:4
1 Wakorintho 10:281 Kor. 8:7, 10
1 Wakorintho 10:29Rom. 14:15, 16; 1 Kor. 8:12
1 Wakorintho 10:30Rom. 14:6; 1 Tim. 4:3
1 Wakorintho 10:31Mt 5:16; Kol 3:17
1 Wakorintho 10:32Rom. 14:13; 1 Kor. 8:13; 2 Kor. 6:3
1 Wakorintho 10:33Rom. 15:2; Flp 2:4
1 Wakorintho 10:331 Kor. 9:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 10:1-33

Ya Kwanza kwa Wakorinto

10 Sasa ndugu, ninataka mujue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+ 2 na wote walibatizwa katika Musa kupitia wingu na bahari, 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+ 4 na wote walikunywa maji yaleyale ya kiroho.+ Kwa maana walikuwa wanakunywa kutoka kwenye mwamba wa kiroho wenye uliwafuata, na mwamba huo ulimaanisha* Kristo.+ 5 Lakini, Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa maana walipigwa na kuuawa katika jangwa.+

6 Sasa mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, ili tusitamani mambo ya mubaya, kama vile wao waliyatamani.+ 7 Na tusikuwe waabudu-sanamu, kama vile wamoja kati yao walikuwa; kama vile imeandikwa: “Watu wakakaa ili kula na kunywa. Kisha wakasimama ili kujifurahisha.”+ 8 Na tusifanye uasherati,* kama vile wamoja kati yao walifanya uasherati,* na elfu makumi mbili na tatu (23 000) kati yao wakaanguka kwa siku moja.+ 9 Na tusimujaribu Yehova,*+ kama vile wamoja kati yao walimujaribu, na wakaharibiwa na nyoka.+ 10 Na tusinungunike kama vile wamoja kati yao walinungunika,+ na wakaharibiwa na mwenye kuharibu.+ 11 Sasa mambo hayo yaliwapata ili kuwa mifano, na yaliandikwa ili kuwa onyo kwetu sisi+ wenye tumefikiwa na miisho ya mipangilio ya mambo.*

12 Sasa ule mwenye anawaza kama anasimama afanye angalisho asianguke.+ 13 Hakuna jaribu lenye limewapata ninyi isipokuwa lile lenye kuwa la kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni muaminifu, na hatawaacha ninyi mujaribiwe kupita vile munaweza kuvumilia,+ lakini pamoja na jaribu hilo atafanya pia njia ya kutokea ili muweze kulivumilia.+

14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, mukimbie ibada ya sanamu.+ 15 Ninasema kama vile kwa watu wenye utambuzi; muhukumu ninyi wenyewe lile lenye ninasema. 16 Kikombe cha baraka chenye tunabariki, je, hicho hakiko kushiriki katika damu ya Kristo?+ Mukate wenye tunavunja, je, huo hauko kushiriki katika mwili wa Kristo?+ 17 Kwa sababu kuko mukate mumoja, sisi, hata kama tuko wengi, tuko mwili mumoja,+ kwa maana sisi wote tunakula mukate huo mumoja.

18 Muangalie Israeli kwa njia ya kimwili: Je, wale wenye wanakula zabihu hawako washiriki pamoja na mazabahu?+ 19 Basi, niseme nini? Kwamba kile chenye kilitolewa zabihu kwa sanamu ni kitu, ao kwamba sanamu ni kitu? 20 Hapana; lakini ninasema kwamba vitu vyenye mataifa wanatoa zabihu, wanavitoa zabihu kwa pepo wachafu na hapana kwa Mungu;+ na sitaki ninyi mukuwe washiriki pamoja na pepo wachafu.+ 21 Hamuwezi kuwa munakunywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha pepo wachafu; hamuwezi kuwa munashiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya pepo wachafu. 22 Ao ‘je, tunamuchochea Yehova* akuwe na wivu’?+ Hatuna nguvu kuliko yeye, haiko vile?

23 Mambo yote yanaruhusiwa,* lakini haiko mambo yote ndiyo yenye faida. Mambo yote yanaruhusiwa, lakini haiko mambo yote ndiyo yanajenga.+ 24 Kila mumoja aendelee kutafuta, hapana faida yake mwenyewe, lakini faida ya ule mutu mwingine.+

25 Mukule kitu chochote chenye kinauzishwa katika soko la nyama, bila kuuliza-uliza kwa sababu ya zamiri yenu, 26 kwa maana “dunia na vitu vyote vyenye kuwa ndani ni vya Yehova.”*+ 27 Kama mutu mwenye haiko muamini anawaalika ninyi na munataka kuenda, mukule kitu chochote chenye kinawekwa mbele yenu, na musiulize-ulize kwa sababu ya zamiri yenu. 28 Lakini kama mutu yeyote anawaambia ninyi, “Hiki ni kitu chenye kilitolewa zabihu,” musikule kwa sababu ya ule mwenye aliwaambia ninyi na kwa sababu ya zamiri.+ 29 Simaanishe zamiri yako wewe mwenyewe, lakini ya ule mutu mwingine. Kwa maana sababu gani uhuru wangu uhukumiwe na zamiri ya mutu mwingine?+ 30 Kama ninakula kwa kutoa shukrani, sababu gani nisemwe mubaya juu ya kile chenye ninatolea shukrani?+

31 Kwa hiyo, ikuwe munakula ao munakunywa ao munafanya jambo lingine lolote, mufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu.+ 32 Muepuke kuwa vikwazo kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu,+ 33 kama vile ninajaribu kupendeza watu wote katika mambo yote, bila kutafuta faida yangu mwenyewe,+ lakini faida ya wengi, ili wafikie kuokolewa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine