Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Paulo katika Makedonia na Ugiriki (1-6)

      • Eutiko anafufuliwa kule Troa (7-12)

      • Kutoka Troa kuenda Mileto (13-16)

      • Paulo anakutana na wazee wa Efeso (17-38)

        • Kufundisha nyumba kwa nyumba (20)

        • “Furaha zaidi katika kutoa” (35)

Matendo 20:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 165

Matendo 20:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 166-167

Matendo 20:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:12, 16; 2 Kor. 11:23, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 167-168

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/3/2001, uku. 31

Matendo 20:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 27:2
  • +Mdo 16:1, 2
  • +Efe 6:21; Kol 4:7; 2 Tim. 4:12
  • +Mdo 21:29; 2 Tim. 4:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 167-168

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/3/2001, uku. 31

Matendo 20:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 168

Matendo 20:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:15; 23:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 168

Matendo 20:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 165

Matendo 20:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 165

Matendo 20:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake iko ndani yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 17:21, 22; 2 Fal. 4:32, 34
  • +Mt 9:23, 24; Yoh 11:39, 40; Mdo 9:39, 40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 165

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 12-13

Matendo 20:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akavunja mukate.”

Matendo 20:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 168-169

Matendo 20:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Matendo 20:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Matendo 20:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Matendo 20:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:21
  • +Mdo 24:17

Matendo 20:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2004, uku. 19

Matendo 20:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:9, 10

Matendo 20:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “unyenyekevu wote wa akili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:9; 1 Tes. 2:6

Matendo 20:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:19, 20; 2 Tim. 4:2
  • +Mdo 5:42

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 42, 169-170

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 17-18

    15/7/2008, uku. 3-4

    15/3/2004, uku. 12

    “Kila Andiko,” uku. 221

Matendo 20:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mk 1:14, 15
  • +Lu 24:46, 47

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 17-18

Matendo 20:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nimechochewa na.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 173

Matendo 20:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15, 16; 21:4, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 189

Matendo 20:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu mwenyewe kuwa ya.”

  • *

    Ao “kuwa wenye samani yoyote kwangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 4:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2016, uku. 22-23

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2011, uku. 23-24

    15/12/2008, uku. 18-19

    15/5/2008, uku. 32

    Kutoa Ushahidi, uku. 170

Matendo 20:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 33:8

Matendo 20:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kusudi lote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:19, 20

Matendo 20:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:16
  • +1 Tim. 3:1-7; Tit 1:5-9; Ebr 13:17
  • +Yoh 21:15; Efe 4:11; 1 Pe. 5:2-4
  • +Mt 26:27, 28; 1 Yo. 1:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 101-102

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2013, uku. 22

    15/6/2011, uku. 20-21

Matendo 20:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wororo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 7:15; 2 Tes. 2:3; 2 Pe. 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2013, uku. 18

    15/5/2003, uku. 27

    Kutoa Ushahidi, uku. 170-172

    Amuka!,

    2/2007, uku. 7-8

Matendo 20:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:1; 2 Tim. 4:3, 4; 1 Yo. 2:18, 19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2013, uku. 18

    15/7/2011, uku. 15

    1/9/2004, uku. 15

    15/5/2003, uku. 27

    Amuka!,

    2/2007, uku. 7-8

Matendo 20:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:9, 10

Matendo 20:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 1:18; Kol 1:12

Matendo 20:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:1, 3; Mt 10:8; 1 Kor. 9:11, 12; 2 Kor. 7:2; Tit 1:7

Matendo 20:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:3; 1 Kor. 4:11, 12; 1 Tes. 2:9

Matendo 20:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:28; 1 Tes. 4:11, 12; 2 Tes. 3:7, 8
  • +Mez. 19:17; Mt 10:8; Lu 6:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 2 2017 uku. 13-14

    Amuka!,

    Na. 1 2016 uku. 6

    11/2013, uku. 8

    11/2008, uku. 6-7

    4/2006, uku. 6

    Mkaribie Yehova, uku. 300

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 8

    1/7/2011, uku. 7-8

    1/8/2005, uku. 6

    1/9/2002, uku. 9

    1/7/2001, uku. 12-17

    15/11/2000, uku. 10

    15/9/2000, uku. 23-24

    Kutoa Ushahidi, uku. 172

    ‘Mfuasi Wangu’, uku. 109

    Mwalimu, uku. 92-96

Matendo 20:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakamuangukia Paulo kwenye shingo.”

  • *

    Ao “kwa wororo; kwa upole wote.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 171-172

Matendo 20:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:25

Maandiko ingine

Mdo. 20:3Mdo 23:12, 16; 2 Kor. 11:23, 26
Mdo. 20:4Mdo 27:2
Mdo. 20:4Mdo 16:1, 2
Mdo. 20:4Efe 6:21; Kol 4:7; 2 Tim. 4:12
Mdo. 20:4Mdo 21:29; 2 Tim. 4:20
Mdo. 20:6Kut 12:15; 23:15
Mdo. 20:101 Fal. 17:21, 22; 2 Fal. 4:32, 34
Mdo. 20:10Mt 9:23, 24; Yoh 11:39, 40; Mdo 9:39, 40
Mdo. 20:16Mdo 18:21
Mdo. 20:16Mdo 24:17
Mdo. 20:18Mdo 19:9, 10
Mdo. 20:191 Kor. 15:9; 1 Tes. 2:6
Mdo. 20:20Mt 28:19, 20; 2 Tim. 4:2
Mdo. 20:20Mdo 5:42
Mdo. 20:21Mk 1:14, 15
Mdo. 20:21Lu 24:46, 47
Mdo. 20:23Mdo 9:15, 16; 21:4, 11
Mdo. 20:242 Tim. 4:7
Mdo. 20:26Eze 33:8
Mdo. 20:27Mt 28:19, 20
Mdo. 20:281 Tim. 4:16
Mdo. 20:281 Tim. 3:1-7; Tit 1:5-9; Ebr 13:17
Mdo. 20:28Yoh 21:15; Efe 4:11; 1 Pe. 5:2-4
Mdo. 20:28Mt 26:27, 28; 1 Yo. 1:7
Mdo. 20:29Mt 7:15; 2 Tes. 2:3; 2 Pe. 2:1
Mdo. 20:301 Tim. 4:1; 2 Tim. 4:3, 4; 1 Yo. 2:18, 19
Mdo. 20:31Mdo 19:9, 10
Mdo. 20:32Efe 1:18; Kol 1:12
Mdo. 20:331 Sa. 12:1, 3; Mt 10:8; 1 Kor. 9:11, 12; 2 Kor. 7:2; Tit 1:7
Mdo. 20:34Mdo 18:3; 1 Kor. 4:11, 12; 1 Tes. 2:9
Mdo. 20:35Efe 4:28; 1 Tes. 4:11, 12; 2 Tes. 3:7, 8
Mdo. 20:35Mez. 19:17; Mt 10:8; Lu 6:38
Mdo. 20:38Mdo 20:25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 20:1-38

Matendo ya Mitume

20 Wakati fujo ilitulia, Paulo akatuma watu waite wanafunzi, na kisha kuwatia moyo na kuwaaga, akaanza safari yake ya kuenda Makedonia. 2 Kisha kupita katika maeneo hayo na kuambia wale wenye walikuwa kule maneno mengi ya kutia moyo, akafika Ugiriki. 3 Akakaa kule miezi tatu (3), lakini kwa sababu Wayahudi walikuwa wamefanya mupango mubaya juu yake+ wakati alikuwa karibu kusafiri kuenda Siria, akaamua kurudia kwa kupitia Makedonia. 4 Alienda pamoja na Sopatro mwana wa Piro wa Beroya, Aristarko+ na Sekundo wa Watesalonike, Gayo wa Derbe, Timoteo,+ na kutoka jimbo la Asia, Tikiko+ na Trofimo.+ 5 Wanaume hao wakatangulia na walikuwa wanatungojea kule Troa; 6 lakini sisi tukaanza kusafiri katika bahari kutoka Filipi kisha Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu,+ na kwa siku tano (5) tukawakuta kule Troa, na tukakaa kule siku saba (7).

7 Siku ya kwanza ya juma, wakati tulikuwa tumekusanyika pamoja ili kula chakula, Paulo akaanza kuwatolea hotuba, kwa sababu alipaswa kuondoka siku yenye ilifuata; na akarefusha hotuba yake mupaka katikati ya usiku. 8 Basi kulikuwa taa nyingi katika chumba cha juu kwenye tulikuwa tumekusanyika. 9 Kijana mumoja mwanaume mwenye kuitwa Eutiko alikuwa amekaa kwenye dirisha, na alikuwa amelala usingizi muzito wakati Paulo alikuwa anazungumuza, na kwa sababu ya usingizi, akaanguka chini kutoka kwenye gorofa ya tatu (3) na akaokotwa akiwa amekufa. 10 Lakini Paulo akashuka kutoka kwenye gorofa, akajitupa juu yake na akamukumbatia,+ na kusema: “Muache kuhuzunika, kwa maana yeye ni muzima.”*+ 11 Akapanda kwenye gorofa na akaanzisha chakula* na akakula. Akaendelea kuzungumuza kwa wakati murefu, mupaka asubui sana, na kisha akaondoka. 12 Basi wakamubeba ule kijana mwanaume akiwa muzima, na wakafarijika sana.

13 Sasa tukaenda kwenye mashua* na tukasafiri katika bahari mupaka Aso, kwenye tulikusudia kumubeba Paulo katika mashua, kwa maana kisha kutuagiza vile, alikusudia kuenda kule kwa miguu. 14 Basi wakati alitukuta kule Aso, akapanda katika mashua* pamoja na sisi na tukaenda Mitilene. 15 Kesho yake tukasafiri katika mashua* kutoka kule, tukafika sehemu za Kio, lakini siku yenye ilifuata tukasimama Samo kwa wakati kidogo, na siku yenye ilifuata, tukafika Mileto. 16 Paulo alikuwa ameamua kuendelea na safari bila kupitia Efeso,+ ili asipitishe wakati wowote katika jimbo la Asia, kwa maana alikuwa anafanya haraka ili afike Yerusalemu+ siku ya Sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana.

17 Lakini, akiwa Mileto, akatuma watu waende Efeso waite wazee wa kutaniko. 18 Wakati walifika kwenye alikuwa, akawaambia: “Munajua muzuri namna nilijiendesha mwenyewe kati yenu tangu siku ya kwanza yenye nilikanyanga katika jimbo la Asia,+ 19 namna nilimutumikia Bwana kwa unyenyekevu wote*+ na machozi na majaribu yenye yalinipata wakati Wayahudi walifanya mupango mubaya juu yangu, 20 na sikuepuka kuwaambia ninyi jambo lolote lenye faida na kuwafundisha mbele ya watu wote+ na nyumba kwa nyumba.+ 21 Lakini nilitoa ushahidi kikamili kwa Wayahudi na Wagiriki pia juu ya kutubu+ kwa Mungu na kumuamini Bwana wetu Yesu.+ 22 Na sasa, muangalie! nikiwa nimefungwa katika* roho, ninasafiri kuenda Yerusalemu, hata kama sijue ni mambo gani yatanipata kule, 23 isipokuwa kwamba kutoka muji mupaka muji roho takatifu inanitolea ushahidi tena na tena, ikisema kama gereza na taabu vinaningojea.+ 24 Hata hivyo, sione uzima wangu mwenyewe kuwa wa* maana sana kwangu,* jambo la maana kwangu ni kumaliza mwendo wangu+ na utumishi wenye nilipokea kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili juu ya habari njema ya fazili zenye hazistahiliwe za Mungu.

25 “Na sasa, muangalie! Nilihubiri kati yenu juu ya Ufalme, lakini kuanzia sasa na kuendelea hakuna hata mumoja wenu mwenye ataona tena uso wangu. 26 Basi nimewaita ili mushuhudie leo hii kwamba niko safi kutokana na damu ya watu wote,+ 27 kwa maana sikuepuka kuwaambia ninyi shauri lote* la Mungu.+ 28 Mujiangalie ninyi wenyewe+ na kundi lote, lenye roho takatifu imewaweka ninyi kuwa waangalizi kati yake,+ ili kuchunga kutaniko la Mungu,+ lenye alinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.+ 29 Ninajua kwamba kisha mimi kuondoka imbwa wa pori wenye kukandamiza wataingia katikati yenu+ na hawatatendea kundi kwa upole wote,* 30 na kutoka katikati yenu wenyewe, watu watasimama na kusema mambo yenye kupotoka ili kuvuta wanafunzi wawafuate.+

31 “Kwa hiyo muendelee kukesha, na mukumbuke kwamba kwa miaka tatu (3),+ usiku na muchana, sikuacha kumuonya kila mumoja wenu kwa machozi. 32 Na sasa ninawatia katika mikono ya Mungu na ya neno la fazili zake zenye hazistahiliwe, neno lenye linaweza kuwajenga na kuwapatia uriti kati ya wale wote wenye walitakaswa.+ 33 Sikutamani feza, zahabu, ao nguo ya mutu yeyote.+ 34 Ninyi wenyewe munajua kwamba mikono hii imenisaidia mimi+ na wale wenye kuwa pamoja na mimi kupata mambo yenye tuko nayo lazima. 35 Nimewaonyesha ninyi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi kwa bidii kwa njia hiyo,+ munapaswa kusaidia wale wenye kuwa wazaifu, na munapaswa kuweka katika akili maneno ya Bwana Yesu, wakati yeye mwenyewe alisema: ‘Kuko furaha zaidi katika kutoa+ kuliko katika kupokea.’”

36 Na wakati alimaliza kusema mambo hayo, akapiga magoti pamoja nao wote na kusali. 37 Kwa kweli, wote wakalia sana, na wakamukumbatia Paulo* na kumubusu kwa upendo mwingi,* 38 kwa maana waliumizwa sana na neno lenye alikuwa amesema, kwamba hawataona tena uso wake.+ Kisha wakamusindikiza mupaka kwenye mashua.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine