Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Hosea HOSEA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Bibi ya Hosea na watoto wenye anazaa (1-9) Yezreeli (4), Lo-ruhama (6), na Lo-ami (9) Tumaini la kurudishwa na kuwa na umoja (10, 11) 2 Israeli wenye kukosa uaminifu wanapewa azabu (1-13) Wanamurudilia Yehova akiwa bwana yao (14-23) “Utaniita bwana Yangu” (16) 3 Hosea anamukomboa bibi yake muzinifu (1-3) Israeli watamurudilia Yehova (4, 5) 4 Kesi ya hukumu ya Yehova juu ya Israeli (1-8) Hakuna ujuzi wa Mungu katika inchi (1) Ibada ya sanamu ya Israeli na umalaya wake (9-19) Roho ya uasherati inapoteza (12) 5 Hukumu juu ya Efraimu na Yuda (1-15) 6 Wanaombwa kumurudilia Yehova (1-3) Upendo mushikamanifu wenye haudumu wa watu (4-6) Upendo mushikamanifu ni wa muzuri kuliko zabihu (6) Mwenendo wa haya wa watu (7-11) 7 Uovu wa Efraimu unaelezwa (1-16) Hakuna kuponyoka wavu wa Mungu (12) 8 Kuvuna matokeo ya kuabudu sanamu (1-14) Kupanda upepo, kuvuna zoruba (7) Israeli amemusahau Mutengenezaji wake (14) 9 Zambi za Efraimu zinafanya akataliwe na Mungu (1-17) Kujitoa kwa mungu wa haya (10) 10 Israeli, muzabibu wenye kuharibika, ataharibiwa (1-15) Kupanda na kuvuna (12, 13) 11 Upendo wa Mungu kwa Israeli tangu utoto wake (1-12) “Kutoka Misri nilimuita mwana wangu” (1) 12 Efraimu anapaswa kumurudilia Yehova (1-14) Yakobo alishindana na Mungu (3) Yakobo alilia ili Mungu amuonyeshe wema (4) 13 Efraimu mwenye kuabudu sanamu anamusahau Yehova (1-16) “Ee Kifo, uko wapi uwezo wako wa kuumiza?” (14) 14 Mwito wa kumurudilia Yehova (1-3) Kutoa sifa ya midomo (2) Israeli ataponyeshwa ukosefu wa uaminifu (4-9)