Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Matendo MATENDO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Ujumbe kwa Teofilo (1-5) Mashahidi mupaka kwenye miisho ya dunia (6-8) Yesu anapanda mbinguni (9-11) Wanafunzi wanakusanyika kwa umoja (12-14) Matia anachaguliwa ili achukue nafasi ya Yuda (15-26) 2 Roho takatifu inamwangwa siku ya Pentekoste (1-13) Hotuba ya Petro (14-36) Watu wengi wanaitikia muzuri hotuba ya Petro (37-41) Watu elfu tatu wanabatizwa (41) Ushirika wa Kikristo (42-47) 3 Petro anamuponyesha kilema wa miguu mwenye kuomba-omba (1-10) Hotuba ya Petro kwenye Mistari ya Nguzo za Sulemani (11-26) “Kurudishwa kwa mambo yote” (21) Nabii kama Musa (22) 4 Petro na Yohana wanakamatwa (1-4) Hesabu ya waamini inafikia sasa watu elfu tano (4) Wanasambishwa mbele ya Sanhedrini (5-22) “Hatuwezi kuacha kusema” (20) Wanasali ili wasikuwe na woga (23-31) Wanafunzi wanachangia pamoja vitu vyao (32-37) 5 Anania na Safira (1-11) Mitume wanafanya alama nyingi (12-16) Wanafungwa katika gereza, kisha wanaachiliwa (17-21a) Wanapelekwa tena mbele ya Sanhedrini (21b-32) ‘Kumutii Mungu kuliko wanadamu’ (29) Shauri la Gamalieli (33-40) Kuhubiri nyumba kwa nyumba (41, 42) 6 Wanaume saba wanachaguliwa ili kutumikia (1-7) Stefano anashitakiwa kuwa anamutukana Mungu (8-15) 7 Hotuba ya Stefano mbele ya Sanhedrini (1-53) Nyakati za wazee wa ukoo (2-16) Uongozi wa Musa; Waisraeli wanaabudu sanamu (17-43) Mungu haishi katika mahekalu yenye yalifanywa na wanadamu (44-50) Stefano anapigwa majiwe (54-60) 8 Sauli mutesaji (1-3) Utumishi wa Filipo unakuwa na matokeo ya muzuri katika Samaria (4-13) Petro na Yohana wanatumwa Samaria (14-17) Simoni anajaribu kununua roho takatifu (18-25) Towashi Mwetiopia (26-40) 9 Sauli akiwa katika njia kuelekea Damasko (1-9) Anania anatumwa ili kusaidia Sauli (10-19a) Sauli anahubiri juu ya Yesu katika Damasko (19b-25) Sauli anatembelea Yerusalemu (26-31) Petro anamuponyesha Ainea (32-35) Dorkasi mwenye ukarimu anafufuliwa (36-43) 10 Maono ya Kornelio (1-8) Maono ya Petro juu ya wanyama wenye wametakaswa (9-16) Petro anamutembelea Kornelio (17-33) Petro anatangazia watu wa mataifa habari njema (34-43) “Mungu hana ubaguzi” (34, 35) Watu wa mataifa wanapokea roho takatifu na wanabatizwa (44-48) 11 Petro anatoa ripoti kwa mitume (1-18) Barnaba na Sauli katika Antiokia ya Siria (19-26) Wanafunzi wanaitwa Wakristo kwa mara ya kwanza (26) Agabo anatabiri juu ya njaa (27-30) 12 Yakobo anauawa; Petro anafungwa katika gereza (1-5) Petro anawekwa huru kwa njia ya muujiza (6-19) Malaika anamupiga Herode (20-25) 13 Barnaba na Sauli wanatumwa wakiwa wamisionere (1-3) Utumishi katika Kipro (4-12) Hotuba ya Paulo kule Antiokia ya Pisidia (13-41) Amri ya kiunabii ya kugeuka ili kuendea mataifa (42-52) 14 Ongezeko na upinzani kule Ikoniamu (1-7) Wanazaniwa kuwa miungu kule Listra (8-18) Paulo anaokoka kufa kisha kupigwa majiwe (19, 20) Kutia nguvu makutaniko (21-23) Wanarudia Antiokia ya Siria (24-28) 15 Bishano katika Antiokia juu ya kutahiriwa (1, 2) Jambo hilo linapelekwa Yerusalemu (3-5) Wazee na mitume wanakutana pamoja (6-21) Barua kutoka kwa baraza lenye kuongoza (22-29) Kujiepusha na damu (28, 29) Makutaniko yanatiwa moyo kupitia barua (30-35) Paulo na Barnaba wanatengana (36-41) 16 Paulo anamuchagua Timoteo (1-5) Maono juu ya mwanaume Mumakedonia (6-10) Lidia anakuwa muamini kule Filipi (11-15) Paulo na Sila wanafungwa katika gereza (16-24) Mulinzi wa gereza na nyumba yake yote wanabatizwa (25-34) Paulo anataka wamuombe musamaha (35-40) 17 Paulo na Sila katika Tesalonike (1-9) Paulo na Sila katika Beroya (10-15) Paulo katika Atene (16-22a) Hotuba ya Paulo kwenye Areopago (22b-34) 18 Utumishi wa Paulo katika Korinto (1-17) Kurudia Antiokia ya Siria (18-22) Paulo anaenda Galatia na Frigia (23) Apolo mwenye anajua kusema anasaidiwa (24-28) 19 Paulo katika Efeso; watu fulani wanabatizwa tena (1-7) Paulo anahangaikia sana kazi ya kufundisha (8-10) Matokeo ya muzuri hata kama kuko pepo wachafu (11-20) Muvurugo katika Efeso (21-41) 20 Paulo katika Makedonia na Ugiriki (1-6) Eutiko anafufuliwa kule Troa (7-12) Kutoka Troa kuenda Mileto (13-16) Paulo anakutana na wazee wa Efeso (17-38) Kufundisha nyumba kwa nyumba (20) “Furaha zaidi katika kutoa” (35) 21 Safari ya kuenda Yerusalemu (1-14) Kufika Yerusalemu (15-19) Paulo anafuata shauri la wazee (20-26) Muvurugo katika hekalu; Paulo anakamatwa (27-36) Paulo anaruhusiwa kusema na watu wengi (37-40) 22 Paulo anajitetea mbele ya watu wengi (1-21) Paulo anatumia uraia wake wa Roma (22-29) Sanhedrini inakusanywa (30) 23 Paulo anasema mbele ya Sanhedrini (1-10) Bwana anamutia Paulo nguvu (11) Mupango wa kumuua Paulo (12-22) Paulo anapelekwa Kaisaria (23-35) 24 Mashitaka juu ya Paulo (1-9) Paulo anajitetea mbele ya Feliksi (10-21) Kesi ya hukumu ya Paulo inacheleweshwa kwa miaka mbili (22-27) 25 Kesi ya hukumu ya Paulo mbele ya Festo (1-12) “Ninapeleka kesi yangu ya hukumu kwa Kaisari!” (11) Festo anazungumuza na Mufalme Agripa (13-22) Paulo mbele ya Agripa (23-27) 26 Paulo anajitetea mbele ya Agripa (1-11) Paulo anaeleza namna aligeuka kuwa muamini (12-23) Festo na Agripa wanatoa mawazo yao (24-32) 27 Paulo anasafiri katika bahari kuenda Roma (1-12) Zoruba inapiga mashua (13-38) Mashua inavunjika (39-44) 28 Kwenye inchi kavu kule Malta (1-6) Baba ya Publio anaponyeshwa (7-10) Kuelekea Roma (11-16) Paulo anazungumuza na Wayahudi kule Roma (17-29) Paulo anahubiri bila woga kwa miaka mbili (30, 31)