Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni Mwamuzi mwadilifu

        • “Nihukumu, Ee Yehova” (8)

Zaburi 7:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wimbo wa maombolezo.

Zaburi 7:1

Marejeo

  • +Zb 18:2; Met 18:10
  • +Yer 15:15; 2Ko 4:9; 2Pe 2:9

Zaburi 7:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watairarua nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 10:9

Zaburi 7:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Nilipomwacha hai yule anayenipinga bila sababu.”

Marejeo

  • +Met 17:13

Zaburi 7:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na kuipita nafsi yangu.”

Zaburi 7:6

Marejeo

  • +Zb 3:7; 35:1
  • +Zb 103:6

Zaburi 7:8

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Zb 9:7, 8
  • +Zb 18:20; 26:11; 41:12

Zaburi 7:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayejaribu mioyo na figo.”

Marejeo

  • +Zb 37:25
  • +Kum 32:4; Ufu 15:3
  • +1Sa 16:7
  • +1Nya 28:9; Yer 17:10; Ufu 2:23

Zaburi 7:10

Marejeo

  • +Mwa 15:1; Met 30:5
  • +Met 2:21

Zaburi 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huvurumisha shutuma zake.”

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Zb 9:4; 98:9

Zaburi 7:12

Marejeo

  • +Isa 55:7
  • +Kum 32:41
  • +Kum 32:21, 23

Zaburi 7:13

Marejeo

  • +Kum 32:42

Zaburi 7:14

Marejeo

  • +Yak 1:15

Zaburi 7:15

Marejeo

  • +Est 7:10; Zb 10:2; 35:7, 8; 57:6; Met 26:27

Zaburi 7:16

Marejeo

  • +Est 9:24, 25

Zaburi 7:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitalipigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 35:28
  • +Isa 25:1; Ebr 13:15; Ufu 15:4
  • +Da 4:17

Jumla

Zab. 7:1Zb 18:2; Met 18:10
Zab. 7:1Yer 15:15; 2Ko 4:9; 2Pe 2:9
Zab. 7:2Zb 10:9
Zab. 7:4Met 17:13
Zab. 7:6Zb 3:7; 35:1
Zab. 7:6Zb 103:6
Zab. 7:8Mwa 18:25; Zb 9:7, 8
Zab. 7:8Zb 18:20; 26:11; 41:12
Zab. 7:9Zb 37:25
Zab. 7:9Kum 32:4; Ufu 15:3
Zab. 7:91Sa 16:7
Zab. 7:91Nya 28:9; Yer 17:10; Ufu 2:23
Zab. 7:10Mwa 15:1; Met 30:5
Zab. 7:10Met 2:21
Zab. 7:11Mwa 18:25; Zb 9:4; 98:9
Zab. 7:12Isa 55:7
Zab. 7:12Kum 32:41
Zab. 7:12Kum 32:21, 23
Zab. 7:13Kum 32:42
Zab. 7:14Yak 1:15
Zab. 7:15Est 7:10; Zb 10:2; 35:7, 8; 57:6; Met 26:27
Zab. 7:16Est 9:24, 25
Zab. 7:17Zb 35:28
Zab. 7:17Isa 25:1; Ebr 13:15; Ufu 15:4
Zab. 7:17Da 4:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 7:1-17

Zaburi

Wimbo wa huzuni* wa Daudi ambao alimwimbia Yehova kwa sababu ya maneno ya Kushi Mbenjamini.

7 Ee Yehova Mungu wangu, nimekukimbilia wewe.+

Niokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unifanye nisalimike.+

 2 La sivyo watanirarua* vipandevipande kama simba anavyofanya,+

Watanibeba na kwenda nami pasipo na yeyote wa kuniokoa.

 3 Ee Yehova Mungu wangu, ikiwa nimekosea katika jambo hili,

Ikiwa nimetenda isivyo haki,

 4 Ikiwa nimemkosea anayenitendea wema,+

Au ikiwa nimempora adui yangu bila sababu,*

 5 Basi acha adui anikimbize na kunipita;*

Acha aukanyagie uhai wangu ardhini

Na kuufanya utukufu wangu utokomee mavumbini. (Sela)

 6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;

Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+

Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+

 7 Acha mataifa yakuzingire;

Nawe utachukua hatua dhidi yao kutoka juu.

 8 Yehova atayahukumu mataifa.+

Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu

Na kulingana na utimilifu wangu.+

 9 Tafadhali, yakomeshe matendo maovu ya waovu.

Lakini umwimarishe mwadilifu,+

Kwa kuwa wewe ni Mungu mwadilifu+ anayechunguza mioyo+ na hisia zilizo ndani kabisa.*+

10 Mungu ni ngao yangu,+ Mwokozi wa wale walio wanyoofu moyoni.+

11 Mungu ni Mwamuzi mwadilifu,+

Na Mungu huzitangaza hukumu zake* kila siku.

12 Mtu yeyote asipotubu,+ Yeye huunoa upanga wake;+

Huukunja upinde wake na kuuweka tayari.+

13 Hutayarisha silaha zake zinazoua;

Huweka tayari mishale yake inayowaka moto.+

14 Mtazame yule aliye na mimba ya uovu;

Hutunga mimba ya matatizo na kuzaa uwongo.+

15 Huchimba shimo na kuzidisha kina chake,

Lakini huanguka katika shimo hilohilo alilolichimba.+

16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+

Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake.

17 Nitamsifu Yehova kwa sababu ya haki yake;+

Nitaliimbia sifa* jina la Yehova+ Aliye Juu Zaidi.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki