Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 145
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumsifu Mungu, Mfalme mkuu

        • ‘Nitatangaza ukuu wa Mungu’ (6)

        • “Yehova ni mwema kwa wote” (9)

        • “Washikamanifu wako watakusifu” (10)

        • Ufalme wa Mungu ni wa milele (13)

        • Mkono wa Mungu huwatosheleza wote (16)

Zaburi 145:1

Marejeo

  • +Isa 33:22; Ufu 11:17
  • +1Nya 29:10

Zaburi 145:2

Marejeo

  • +Zb 119:164
  • +Zb 146:2

Zaburi 145:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hauwezi kueleweka.”

Marejeo

  • +Zb 150:2; Ro 1:20; Ufu 15:3
  • +Ayu 26:14; Zb 139:6; Ro 11:33

Zaburi 145:4

Marejeo

  • +Kut 12:26, 27

Zaburi 145:5

Marejeo

  • +Zb 8:1

Zaburi 145:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu zako.”

Zaburi 145:7

Marejeo

  • +1Fa 8:66; Zb 13:6; 31:19; Isa 63:7; Yer 31:12
  • +Zb 51:14; Ufu 15:3

Zaburi 145:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

Marejeo

  • +2Nya 30:9; Efe 2:4
  • +Kut 34:6; Ne 9:17

Zaburi 145:9

Marejeo

  • +Zb 25:8; Nah 1:7; Mt 5:44, 45; Mdo 14:17; Yak 1:17

Zaburi 145:10

Marejeo

  • +Zb 19:1
  • +Zb 30:4; Ebr 13:15

Zaburi 145:11

Marejeo

  • +Lu 10:8, 9
  • +Kum 3:24; 1Nya 29:11; Ufu 15:3

Zaburi 145:12

Marejeo

  • +Zb 98:1
  • +Zb 103:19

Zaburi 145:13

Marejeo

  • +Zb 146:10; 1Ti 1:17

Zaburi 145:14

Marejeo

  • +Zb 37:23, 24; 94:18
  • +Zb 146:8

Zaburi 145:15

Marejeo

  • +Mwa 1:30; Zb 136:25

Zaburi 145:16

Marejeo

  • +Zb 104:27, 28; 107:9; 132:14, 15

Zaburi 145:17

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Kum 32:4
  • +Zb 18:25; Ufu 15:3, 4

Zaburi 145:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa unyoofu.”

Marejeo

  • +Zb 34:18; Yak 4:8
  • +Zb 17:1

Zaburi 145:19

Marejeo

  • +Zb 34:9
  • +Zb 37:39, 40; 50:15

Zaburi 145:20

Marejeo

  • +Zb 31:23; 97:10
  • +Met 2:22

Zaburi 145:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Miili yote na isifu.”

Marejeo

  • +Zb 34:1; 51:15
  • +Zb 117:1; 150:6

Jumla

Zab. 145:1Isa 33:22; Ufu 11:17
Zab. 145:11Nya 29:10
Zab. 145:2Zb 119:164
Zab. 145:2Zb 146:2
Zab. 145:3Zb 150:2; Ro 1:20; Ufu 15:3
Zab. 145:3Ayu 26:14; Zb 139:6; Ro 11:33
Zab. 145:4Kut 12:26, 27
Zab. 145:5Zb 8:1
Zab. 145:71Fa 8:66; Zb 13:6; 31:19; Isa 63:7; Yer 31:12
Zab. 145:7Zb 51:14; Ufu 15:3
Zab. 145:82Nya 30:9; Efe 2:4
Zab. 145:8Kut 34:6; Ne 9:17
Zab. 145:9Zb 25:8; Nah 1:7; Mt 5:44, 45; Mdo 14:17; Yak 1:17
Zab. 145:10Zb 19:1
Zab. 145:10Zb 30:4; Ebr 13:15
Zab. 145:11Lu 10:8, 9
Zab. 145:11Kum 3:24; 1Nya 29:11; Ufu 15:3
Zab. 145:12Zb 98:1
Zab. 145:12Zb 103:19
Zab. 145:13Zb 146:10; 1Ti 1:17
Zab. 145:14Zb 37:23, 24; 94:18
Zab. 145:14Zb 146:8
Zab. 145:15Mwa 1:30; Zb 136:25
Zab. 145:16Zb 104:27, 28; 107:9; 132:14, 15
Zab. 145:17Mwa 18:25; Kum 32:4
Zab. 145:17Zb 18:25; Ufu 15:3, 4
Zab. 145:18Zb 34:18; Yak 4:8
Zab. 145:18Zb 17:1
Zab. 145:19Zb 34:9
Zab. 145:19Zb 37:39, 40; 50:15
Zab. 145:20Zb 31:23; 97:10
Zab. 145:20Met 2:22
Zab. 145:21Zb 34:1; 51:15
Zab. 145:21Zb 117:1; 150:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 145:1-21

Zaburi

Sifa ya Daudi.

א [Aleph]

145 Nitakukweza, Ee Mungu wangu Mfalme,+

Nitalisifu jina lako milele na milele.+

ב [Beth]

 2 Nitakusifu mchana kutwa;+

Nitalisifu jina lako milele na milele.+

ג [Gimel]

 3 Yehova ni mkuu na anastahili kabisa kusifiwa;+

Ukuu wake hauchunguziki.*+

ד [Daleth]

 4 Kizazi baada ya kizazi kitasifu kazi zako;

Watasimulia matendo yako yenye nguvu.+

ה [He]

 5 Watasema kuhusu fahari tukufu ya ukuu wako+

Nami nitatafakari kazi zako zinazostaajabisha.

ו [Waw]

 6 Watasema kuhusu matendo yako yanayoogopesha,*

Nami nitautangaza ukuu wako.

ז [Zayin]

 7 Watabubujikwa na maneno wanapokumbuka wema wako mwingi,+

Nao watapaza sauti kwa shangwe kwa sababu ya uadilifu wako.+

ח [Heth]

 8 Yehova ni mwenye huruma* na rehema,+

Si mwepesi wa hasira, naye ana upendo mwingi mshikamanifu.+

ט [Teth]

 9 Yehova ni mwema kwa wote,+

Na rehema zake zinaonekana katika kazi zake zote.

י [Yod]

10 Kazi zako zote zitakutukuza, Ee Yehova,+

Na washikamanifu wako watakusifu.+

כ [Kaph]

11 Watatangaza utukufu wa ufalme wako+

Na kusema kuhusu nguvu zako,+

ל [Lamed]

12 Ili kuwajulisha wanadamu matendo yako yenye nguvu+

Na fahari yenye utukufu ya ufalme wako.+

מ [Mem]

13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,

Na mamlaka yako hudumu katika vizazi vyote.+

ס [Samekh]

14 Yehova huwategemeza wote wanaoanguka+

Na kuwainua juu wote walioinama chini.+

ע [Ayin]

15 Macho yote yanakutazama yakiwa na tumaini;

Unawapa chakula chao katika majira yake.+

פ [Pe]

16 Unaufumbua mkono wako

Na kutosheleza tamaa ya kila kitu kilicho hai.+

צ [Tsade]

17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+

Na mshikamanifu katika kila jambo analotenda.+

ק [Qoph]

18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+

Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+

ר [Resh]

19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+

Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+

ש [Shin]

20 Yehova huwalinda wale wote wanaompenda,+

Lakini atawaangamiza waovu wote.+

ת [Taw]

21 Kinywa changu kitatangaza sifa za Yehova;+

Kila kitu kilicho hai na kilisifu* jina lake takatifu milele na milele.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki