Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 97
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova amekwezwa juu ya miungu mingine

        • “Yehova amekuwa Mfalme!” (1)

        • Mpendeni Yehova, chukieni maovu (10)

        • Nuru kwa ajili ya mwadilifu (11)

Zaburi 97:1

Marejeo

  • +Zb 96:10; Ufu 11:16, 17; 19:6
  • +Isa 49:13
  • +Isa 60:9

Zaburi 97:2

Marejeo

  • +Kut 20:21
  • +Zb 99:4

Zaburi 97:3

Marejeo

  • +Zb 50:3; Da 7:9, 10
  • +Nah 1:2, 6; Mal 4:1

Zaburi 97:4

Marejeo

  • +Kut 19:16, 18; Zb 77:18; 104:32

Zaburi 97:5

Marejeo

  • +Amu 5:5; Nah 1:5; Hab 3:6

Zaburi 97:6

Marejeo

  • +Hab 2:14

Zaburi 97:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mwabuduni.”

Marejeo

  • +Yer 10:14
  • +Isa 37:19
  • +Kut 12:12; 18:11

Zaburi 97:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mabinti wa Yuda wana.”

Marejeo

  • +Isa 51:3
  • +Zb 48:11

Zaburi 97:9

Marejeo

  • +Kut 18:11; Isa 44:8

Zaburi 97:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi za.”

  • *

    Tnn., “nguvu za.”

Marejeo

  • +Zb 34:14; 101:3; 119:104; Ro 12:9; Ebr 1:9
  • +Zb 37:28; 145:20
  • +Da 3:28; Mt 6:13

Zaburi 97:11

Marejeo

  • +Zb 112:4; Met 4:18; Isa 30:26; Mik 7:9

Zaburi 97:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “muushukuru ukumbusho wake.”

Jumla

Zab. 97:1Zb 96:10; Ufu 11:16, 17; 19:6
Zab. 97:1Isa 49:13
Zab. 97:1Isa 60:9
Zab. 97:2Kut 20:21
Zab. 97:2Zb 99:4
Zab. 97:3Zb 50:3; Da 7:9, 10
Zab. 97:3Nah 1:2, 6; Mal 4:1
Zab. 97:4Kut 19:16, 18; Zb 77:18; 104:32
Zab. 97:5Amu 5:5; Nah 1:5; Hab 3:6
Zab. 97:6Hab 2:14
Zab. 97:7Yer 10:14
Zab. 97:7Isa 37:19
Zab. 97:7Kut 12:12; 18:11
Zab. 97:8Isa 51:3
Zab. 97:8Zb 48:11
Zab. 97:9Kut 18:11; Isa 44:8
Zab. 97:10Zb 34:14; 101:3; 119:104; Ro 12:9; Ebr 1:9
Zab. 97:10Zb 37:28; 145:20
Zab. 97:10Da 3:28; Mt 6:13
Zab. 97:11Zb 112:4; Met 4:18; Isa 30:26; Mik 7:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 97:1-12

Zaburi

97 Yehova amekuwa Mfalme!+

Dunia na iwe na shangwe.+

Na visiwa vyake vingi vishangilie.+

 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+

Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+

 3 Moto hutangulia mbele zake+

Na kuwateketeza kabisa maadui wake pande zote.+

 4 Umeme wake wa radi huiangazia nchi;

Dunia huona na kutetemeka.+

 5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Yehova,+

Mbele za Bwana wa dunia yote.

 6 Mbingu hutangaza uadilifu wake,

Na mataifa yote huona utukufu wake.+

 7 Wote wanaoabudu sanamu yoyote ya kuchongwa na waaibishwe,+

Wale wanaojigamba kuhusu miungu yao ya ubatili.+

Mwinamieni,* enyi miungu yote.+

 8 Sayuni husikia na kufurahi;+

Miji ya Yuda ina* shangwe

Kwa sababu ya hukumu zako, Ee Yehova.+

 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;

Umekwezwa juu zaidi ya miungu mingine yote.+

10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+

Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+

Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+

11 Nuru imemwangazia mwadilifu+

Na shangwe walio wanyoofu moyoni.

12 Shangilieni kwa sababu ya Yehova, enyi waadilifu,

Na mlishukuru jina lake takatifu.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki