Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 21:1

Marejeo

  • +Kut 14:4; Ezr 7:27
  • +Ne 2:7, 8; Isa 44:28; Ufu 17:17

Methali 21:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huzichunguza nia.”

Marejeo

  • +Zb 36:1, 2; Met 16:2
  • +1Sa 16:6, 7; Met 24:12; Yer 17:10

Methali 21:3

Marejeo

  • +1Sa 15:22, 23; Ho. 6:6; Mik 6:7, 8; Mt 12:7

Methali 21:4

Marejeo

  • +Zb 10:4

Methali 21:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “manufaa.”

Marejeo

  • +Met 13:4
  • +Met 14:29

Methali 21:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kwa wale wanaotafuta kifo.”

Marejeo

  • +Met 1:19; 20:21

Methali 21:7

Marejeo

  • +Zb 7:14-16

Methali 21:8

Marejeo

  • +Zb 37:37; Met 16:17; 1Pe 1:22

Methali 21:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msumbufu.”

Marejeo

  • +Met 17:1; 21:19; 25:24; 27:15

Methali 21:10

Marejeo

  • +Mwa 6:5; Zb 36:1, 4
  • +1Sa 25:10, 11

Methali 21:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anajua la kufanya.”

Marejeo

  • +Met 9:9; 19:25

Methali 21:12

Marejeo

  • +Mwa 19:29; Zb 37:10, 20; 2Pe 2:4; 3:5, 6

Methali 21:13

Marejeo

  • +Kum 15:9; Met 28:27; Yak 5:4

Methali 21:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “iliyo kifuani.”

Marejeo

  • +Met 18:16

Methali 21:15

Marejeo

  • +Zb 106:3

Methali 21:16

Marejeo

  • +Yak 1:15; 2Pe 2:21

Methali 21:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anasa.”

Marejeo

  • +Mhu 7:4; Lu 15:13, 14

Methali 21:18

Marejeo

  • +Est 7:10

Methali 21:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msumbufu.”

Marejeo

  • +Met 17:1; 21:9; 25:24; 27:15

Methali 21:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atavimeza.”

Marejeo

  • +Met 15:6; Mhu 5:19
  • +Lu 15:13, 14

Methali 21:21

Marejeo

  • +Met 15:9; 22:4; Mt 5:6; Ro 2:6, 7

Methali 21:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulishinda.”

Marejeo

  • +Mhu 7:19; 2Ko 10:4

Methali 21:23

Marejeo

  • +Zb 141:3; Met 10:19; Mhu 10:20

Methali 21:24

Marejeo

  • +Hes 14:44; Est 6:4

Methali 21:25

Marejeo

  • +Met 6:6-11; 13:4; 19:24

Methali 21:26

Marejeo

  • +Zb 37:25, 26; 112:9; Lu 6:30

Methali 21:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akiwa na mwenendo wa aibu!”

Marejeo

  • +1Sa 15:22, 23; Met 15:8; Isa 1:11

Methali 21:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atazungumza milele.”

Marejeo

  • +Kum 19:18, 19; Met 19:5

Methali 21:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtu mnyoofu huifanya njia yake iwe hakika.”

Marejeo

  • +Met 28:14; 29:1
  • +Met 11:5

Methali 21:30

Marejeo

  • +Hes 23:7, 8; Met 19:21; Mdo 5:38, 39

Methali 21:31

Marejeo

  • +Zb 20:7; 33:17; Isa 31:1
  • +2Nya 20:15, 17; Zb 68:20; Ufu 7:10

Jumla

Met. 21:1Kut 14:4; Ezr 7:27
Met. 21:1Ne 2:7, 8; Isa 44:28; Ufu 17:17
Met. 21:2Zb 36:1, 2; Met 16:2
Met. 21:21Sa 16:6, 7; Met 24:12; Yer 17:10
Met. 21:31Sa 15:22, 23; Ho. 6:6; Mik 6:7, 8; Mt 12:7
Met. 21:4Zb 10:4
Met. 21:5Met 13:4
Met. 21:5Met 14:29
Met. 21:6Met 1:19; 20:21
Met. 21:7Zb 7:14-16
Met. 21:8Zb 37:37; Met 16:17; 1Pe 1:22
Met. 21:9Met 17:1; 21:19; 25:24; 27:15
Met. 21:10Mwa 6:5; Zb 36:1, 4
Met. 21:101Sa 25:10, 11
Met. 21:11Met 9:9; 19:25
Met. 21:12Mwa 19:29; Zb 37:10, 20; 2Pe 2:4; 3:5, 6
Met. 21:13Kum 15:9; Met 28:27; Yak 5:4
Met. 21:14Met 18:16
Met. 21:15Zb 106:3
Met. 21:16Yak 1:15; 2Pe 2:21
Met. 21:17Mhu 7:4; Lu 15:13, 14
Met. 21:18Est 7:10
Met. 21:19Met 17:1; 21:9; 25:24; 27:15
Met. 21:20Met 15:6; Mhu 5:19
Met. 21:20Lu 15:13, 14
Met. 21:21Met 15:9; 22:4; Mt 5:6; Ro 2:6, 7
Met. 21:22Mhu 7:19; 2Ko 10:4
Met. 21:23Zb 141:3; Met 10:19; Mhu 10:20
Met. 21:24Hes 14:44; Est 6:4
Met. 21:25Met 6:6-11; 13:4; 19:24
Met. 21:26Zb 37:25, 26; 112:9; Lu 6:30
Met. 21:271Sa 15:22, 23; Met 15:8; Isa 1:11
Met. 21:28Kum 19:18, 19; Met 19:5
Met. 21:29Met 28:14; 29:1
Met. 21:29Met 11:5
Met. 21:30Hes 23:7, 8; Met 19:21; Mdo 5:38, 39
Met. 21:31Zb 20:7; 33:17; Isa 31:1
Met. 21:312Nya 20:15, 17; Zb 68:20; Ufu 7:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 21:1-31

Methali

21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+

Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+

 2 Njia zote za mwanadamu huonekana kuwa sawa machoni pake,+

Lakini Yehova huichunguza mioyo.*+

 3 Kutenda mambo manyoofu na ya haki

Humpendeza Yehova zaidi kuliko dhabihu.+

 4 Macho ya kiburi na moyo wenye majivuno

—Taa inayowaongoza waovu ni dhambi.+

 5 Mipango ya wenye bidii hakika huleta mafanikio,*+

Lakini wote walio na haraka kwa hakika watakuwa maskini.+

 6 Kupata hazina kwa ulimi unaosema uwongo

Ni kama ukungu unaotoweka, mtego unaoangamiza.*+

 7 Ukatili wa waovu utawafagilia mbali,+

Kwa maana wanakataa kutenda haki.

 8 Njia ya mtu mwenye hatia imepinda,

Lakini matendo ya mtu safi yamenyooka.+

 9 Ni afadhali kuishi pembeni juu ya paa

Kuliko kuishi katika nyumba moja na mke mgomvi.*+

10 Mtu mwovu hutamani maovu;+

Hamtendei kwa fadhili jirani yake.+

11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa, asiye na uzoefu hupata hekima zaidi,

Na mtu mwenye hekima anapopata ufahamu, anapata ujuzi.*+

12 Aliye Mwadilifu huichunguza nyumba ya mwovu;

Huwapindua waovu na kuwaangamiza.+

13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha mtu wa hali ya chini

Yeye mwenyewe ataita naye hatajibiwa.+

14 Zawadi ya siri hutuliza hasira,+

Na rushwa iliyofichwa* hutuliza ghadhabu kali.

15 Mwadilifu hushangilia kutenda haki,+

Lakini hilo ni jambo baya sana kwa watenda maovu.

16 Mtu anayetangatanga kutoka kwenye njia ya ufahamu

Atapumzika katika kundi la wale waliokufa ambao hawana uwezo.+

17 Anayependa raha* atakuwa maskini;+

Anayependa divai na mafuta hatakuwa tajiri.

18 Mwovu ni fidia ya mwadilifu,

Na mwenye hila atachukuliwa badala ya mnyoofu.+

19 Ni afadhali kuishi nyikani

Kuliko kuishi na mke mgomvi* anayekasirika haraka.+

20 Hazina yenye thamani na mafuta hupatikana katika nyumba ya mwenye hekima,+

Lakini mtu mpumbavu atatumia vibaya* vitu alivyo navyo.+

21 Yeyote anayefuatia uadilifu na upendo mshikamanifu

Atapata uzima, uadilifu, na utukufu.+

22 Mtu mwenye hekima anaweza kupanda katika* jiji la watu wenye nguvu

Na kudhoofisha nguvu wanazotumaini.+

23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake

Anajiepusha na taabu.+

24 Mtu mwenye kimbelembele, anayejigamba kwa kiburi, hivyo ndivyo unavyomwita

Mtu anayetenda kwa kimbelembele bila kujali.+

25 Anachotamani mtu mvivu kitamuua,

Kwa maana mikono yake inakataa kufanya kazi.+

26 Anatamani kwa pupa mchana kutwa,

Lakini mwadilifu hutoa, hawanyimi wengine chochote.+

27 Dhabihu ya mwovu inachukiza.+

Sembuse anapoitoa akiwa na nia ovu!*

28 Shahidi anayesema uwongo ataangamia,+

Lakini mtu anayesikiliza atatoa ushahidi kwa mafanikio.*

29 Mtu mwovu huvaa uso wa ushupavu,+

Lakini njia ya mtu mnyoofu ni hakika.*+

30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri katika kumpinga Yehova.+

31 Farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya vita,+

Lakini wokovu ni wa Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki