Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Ufufuo wa Kristo (1-11)

      • Ufufuo, musingi wa imani (12-19)

      • Ufufuo wa Kristo unatoa uhakikisho (20-34)

      • Mwili wa nyama, mwili wa roho (35-49)

      • Kutokufa na kutokuharibika (50-57)

      • Kuwa na mambo mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana (58)

1 Wakorinto 15:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:1, 11

1 Wakorinto 15:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:15; Isa 53:8, 12; Da. 9:26; 1 Pe. 2:24

1 Wakorinto 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:9; Mt 27:59, 60
  • +Mt 28:7
  • +Yon 1:17; Lu 24:46
  • +Zab 16:10

1 Wakorinto 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Petro.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:2; Lu 24:33, 34
  • +Yoh 20:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

    1/4/2010, uku. 25

    Tuige Imani Yao, uku. 202

1 Wakorinto 15:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2015, uku. 27

    Yesu—Ni Njia, uku. 310

    ‘Mfuasi Wangu’, uku. 94

1 Wakorinto 15:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 12:17
  • +Mdo 1:3, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 4-5

    Kutoa Ushahidi, uku. 112

    “Kila Andiko,” uku. 248

1 Wakorinto 15:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:3-5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2000, uku. 29

1 Wakorinto 15:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:3; Gal 1:13

1 Wakorinto 15:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2013, uku. 23-24

    1/8/2000, uku. 14

1 Wakorinto 15:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 4:2; 17:31

1 Wakorinto 15:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

1 Wakorinto 15:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

1 Wakorinto 15:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 3:15
  • +Mdo 2:24; 4:10; 13:30, 31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

1 Wakorinto 15:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 4:25; Ebr 7:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

1 Wakorinto 15:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 7:59; 1 Kor. 15:14; 1 Pe. 1:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

1 Wakorinto 15:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 4

1 Wakorinto 15:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 26:23; Kol 1:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 7

    15/7/2007, uku. 26

    15/7/2000, uku. 13-14

1 Wakorinto 15:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:17, 19
  • +Yoh 11:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 7

1 Wakorinto 15:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 5:12
  • +Rom. 5:17; 6:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 2 2017 uku. 5-6

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 7

1 Wakorinto 15:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 1:5
  • +Mt 24:3; 1 Tes. 4:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 11-12

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/7/2007, uku. 26

    15/7/2000, uku. 13-14

1 Wakorinto 15:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 2:44

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2000, uku. 20

1 Wakorinto 15:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 110:1, 2

1 Wakorinto 15:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 20:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2014, uku. 23-27

    15/9/2012, uku. 11

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 237

1 Wakorinto 15:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:6; Efe 1:22
  • +Ebr 2:8
  • +1 Pe. 3:22

1 Wakorinto 15:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:28
  • +1 Kor. 3:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2014, uku. 27

    15/9/2012, uku. 11-12

    1/12/2007, uku. 30

1 Wakorinto 15:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 27

    1/10/2003, uku. 29

    15/8/2000, uku. 30

    15/7/2000, uku. 17

1 Wakorinto 15:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakati wote?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:36; 2 Kor. 11:23-27

1 Wakorinto 15:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kulingana na mawazo ya wanadamu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:8
  • +Isa 22:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2013, uku. 3

    15/10/2007, uku. 3

    15/6/2002, uku. 26-28

    15/7/2000, uku. 18

    Kutoa Ushahidi, uku. 163

1 Wakorinto 15:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 13:20; 1 Kor. 5:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2015, uku. 22-23

    15/7/2012, uku. 15

    1/5/2007, uku. 15-16

    15/3/2006, uku. 23

    15/7/2000, uku. 18

    Siku ya Yehova,

    uku. 134-136

    Amuka!,

    22/8/2005, uku. 25-26

    22/7/2005, uku. 19-21

1 Wakorinto 15:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 3:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 18

1 Wakorinto 15:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:3; Lu 24:4
  • +Ebr 2:6, 7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 18

1 Wakorinto 15:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:16

1 Wakorinto 15:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:6, 7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 18

1 Wakorinto 15:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 3:4
  • +Ufu 20:4

1 Wakorinto 15:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenye uzima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:7
  • +Yoh 5:26; 1 Tim. 3:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2014, uku. 26

    15/3/2000, uku. 4

    Mkaribie Yehova, uku. 145

    Amuka!,

    22/4/2005, uku. 4

    Mwalimu, uku. 192-193

    “Kila Andiko,” uku. 18

1 Wakorinto 15:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:7
  • +Yoh 3:13

1 Wakorinto 15:48

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 3:20, 21

1 Wakorinto 15:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 5:3
  • +Rom. 8:29

1 Wakorinto 15:50

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1969

    “Kila Andiko,” uku. 213

1 Wakorinto 15:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 4:17

1 Wakorinto 15:52

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 4:16

1 Wakorinto 15:53

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:6, 7
  • +2 Kor. 5:4

1 Wakorinto 15:54

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 25:8; Ufu 20:6

1 Wakorinto 15:55

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 13:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2005, uku. 29

1 Wakorinto 15:56

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na Sheria inapatia zambi nguvu zake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:23
  • +Rom. 3:20; 7:12, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2005, uku. 29

    15/7/2000, uku. 19

1 Wakorinto 15:57

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:16; Mdo 4:12

1 Wakorinto 15:58

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 1:23; Ebr 3:14; 2 Pe. 3:17
  • +Rom. 12:11
  • +2Nya 15:7; 1 Kor. 3:8; Ufu 14:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2017, uku. 9-10

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2003, uku. 22

    15/7/2000, uku. 19

    Huduma ya Ufalme,

    6/2000, uku. 1

Maandiko ingine

1 Wakorintho 15:1Mdo 18:1, 11
1 Wakorintho 15:3Zab 22:15; Isa 53:8, 12; Da. 9:26; 1 Pe. 2:24
1 Wakorintho 15:4Isa 53:9; Mt 27:59, 60
1 Wakorintho 15:4Mt 28:7
1 Wakorintho 15:4Yon 1:17; Lu 24:46
1 Wakorintho 15:4Zab 16:10
1 Wakorintho 15:5Mt 10:2; Lu 24:33, 34
1 Wakorintho 15:5Yoh 20:26
1 Wakorintho 15:6Mt 28:16, 17
1 Wakorintho 15:7Mdo 12:17
1 Wakorintho 15:7Mdo 1:3, 6
1 Wakorintho 15:8Mdo 9:3-5
1 Wakorintho 15:9Mdo 8:3; Gal 1:13
1 Wakorintho 15:12Mdo 4:2; 17:31
1 Wakorintho 15:15Mdo 3:15
1 Wakorintho 15:15Mdo 2:24; 4:10; 13:30, 31
1 Wakorintho 15:17Rom. 4:25; Ebr 7:25
1 Wakorintho 15:18Mdo 7:59; 1 Kor. 15:14; 1 Pe. 1:3
1 Wakorintho 15:20Mdo 26:23; Kol 1:18
1 Wakorintho 15:21Mwa 3:17, 19
1 Wakorintho 15:21Yoh 11:25
1 Wakorintho 15:22Rom. 5:12
1 Wakorintho 15:22Rom. 5:17; 6:23
1 Wakorintho 15:23Ufu 1:5
1 Wakorintho 15:23Mt 24:3; 1 Tes. 4:16
1 Wakorintho 15:24Da. 2:44
1 Wakorintho 15:25Zab 110:1, 2
1 Wakorintho 15:26Ufu 20:14
1 Wakorintho 15:27Zab 8:6; Efe 1:22
1 Wakorintho 15:27Ebr 2:8
1 Wakorintho 15:271 Pe. 3:22
1 Wakorintho 15:28Yoh 14:28
1 Wakorintho 15:281 Kor. 3:23
1 Wakorintho 15:29Rom. 6:4
1 Wakorintho 15:30Rom. 8:36; 2 Kor. 11:23-27
1 Wakorintho 15:322 Kor. 1:8
1 Wakorintho 15:32Isa 22:13
1 Wakorintho 15:33Mez. 13:20; 1 Kor. 5:6
1 Wakorintho 15:351 Yo. 3:2
1 Wakorintho 15:40Mt 28:3; Lu 24:4
1 Wakorintho 15:40Ebr 2:6, 7
1 Wakorintho 15:41Mwa 1:16
1 Wakorintho 15:42Rom. 2:6, 7
1 Wakorintho 15:43Kol 3:4
1 Wakorintho 15:43Ufu 20:4
1 Wakorintho 15:45Mwa 2:7
1 Wakorintho 15:45Yoh 5:26; 1 Tim. 3:16
1 Wakorintho 15:47Mwa 2:7
1 Wakorintho 15:47Yoh 3:13
1 Wakorintho 15:48Flp 3:20, 21
1 Wakorintho 15:49Mwa 5:3
1 Wakorintho 15:49Rom. 8:29
1 Wakorintho 15:511 Tes. 4:17
1 Wakorintho 15:521 Tes. 4:16
1 Wakorintho 15:53Rom. 2:6, 7
1 Wakorintho 15:532 Kor. 5:4
1 Wakorintho 15:54Isa 25:8; Ufu 20:6
1 Wakorintho 15:55Ho 13:14
1 Wakorintho 15:56Rom. 6:23
1 Wakorintho 15:56Rom. 3:20; 7:12, 13
1 Wakorintho 15:57Yoh 3:16; Mdo 4:12
1 Wakorintho 15:58Kol 1:23; Ebr 3:14; 2 Pe. 3:17
1 Wakorintho 15:58Rom. 12:11
1 Wakorintho 15:582Nya 15:7; 1 Kor. 3:8; Ufu 14:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 15:1-58

Ya Kwanza kwa Wakorinto

15 Sasa ndugu, ninawakumbusha ninyi juu ya habari njema yenye niliwatangazia,+ yenye mulipokea pia, na mumesimama imara kwa ajili ya hiyo. 2 Kupitia hiyo ninyi pia munaokolewa ikiwa munashika sana habari njema yenye niliwatangazia, isipokuwa kama mulikuwa waamini bila kusudi.

3 Kwa maana kati ya mambo ya kwanza yenye niliwapatia ninyi kuko mambo yenye nilipokea pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya zambi zetu kulingana na Maandiko;+ 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu (3)+ kulingana na Maandiko;+ 5 na kwamba alimutokea Kefa,*+ na kisha wale Kumi na Mbili (12).+ 6 Kisha alitokea ndugu zaidi ya mia tano (500) kwa wakati mumoja,+ na wengi kati yao wangali pamoja na sisi, hata kama wengine wamelala usingizi katika kifo. 7 Kisha alimutokea Yakobo,+ na kisha mitume wote.+ 8 Lakini mwisho kabisa alinitokea mimi pia+ kama vile kwa mutoto mwenye alizaliwa mbele ya wakati wake.

9 Kwa maana mimi ni mudogo zaidi kati ya mitume, na sistahili kuitwa mutume, kwa sababu nilitesa kutaniko la Mungu.+ 10 Lakini kwa fazili zenye hazistahiliwe za Mungu mimi niko kile niko. Na fazili zake zenye hazistahiliwe kwangu hazikukuwa bure, lakini nilifanya kazi kuwapita wote; hata hivyo haikukuwa mimi, lakini ni fazili zenye hazistahiliwe za Mungu zenye ziko pamoja na mimi. 11 Basi, ikuwe ni mimi ao ni wao, ni vile tunahubiri, na ni vile muliamini.

12 Sasa kama inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ namna gani wengine kati yenu wanasema hakuna ufufuo wa wafu? 13 Kama kwa kweli hakuna ufufuo wa wafu, basi Kristo hakufufuliwa. 14 Lakini kama Kristo hakufufuliwa, hakika kuhubiri kwetu ni bure, na imani yenu pia ni bure. 15 Zaidi ya hayo, tunaonekana pia kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu,+ kwa sababu tumetoa ushahidi wa uongo juu ya Mungu kwa kusema kwamba alimufufua Kristo,+ mwenye hakufufua kama kwa kweli wafu hawatafufuliwa. 16 Kwa maana kama wafu hawatafufuliwa, basi Kristo hakufufuliwa. 17 Na tena, kama Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni ya bure; munabakia katika zambi zenu.+ 18 Kisha tena, wale wenye wamelala usingizi katika kifo wakiwa katika umoja na Kristo wameangamia.+ 19 Kama tumemutumainia Kristo katika maisha haya tu, sisi ndio wa kusikiliwa huruma zaidi kuliko mutu yeyote.

20 Lakini sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, matunda ya kwanza ya wale wenye wamelala usingizi katika kifo.+ 21 Kwa maana, kwa kuwa kifo kilikuja kupitia mwanadamu, + ufufuo wa wafu pia unakuja kupitia mwanadamu.+ 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vilevile pia katika Kristo wote watafanywa kuwa wazima.+ 23 Lakini kila mumoja kwa wakati wake mwenyewe: Kristo mwenye kuwa matunda ya kwanza,+ kisha wale wenye kuwa wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+ 24 Halafu, ule mwisho, wakati atarudisha Ufalme kwa Mungu wake mwenye pia ni Baba yake, wakati atakuwa ameharibu serikali yote na mamlaka yote na nguvu zote.+ 25 Kwa maana anapaswa kutawala akiwa mufalme mupaka wakati Mungu atakuwa ameweka maadui wote chini ya miguu yake.+ 26 Na adui wa mwisho mwenye ataharibiwa ni kifo.+ 27 Kwa maana Mungu “alitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini wakati anasema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba hilo halitie ndani Ule mwenye alitiisha vitu vyote kwake.+ 28 Lakini wakati vitu vyote vitakuwa vimewekwa chini ya mamlaka yake, halafu Mwana mwenyewe atajiweka chini ya mamlaka ya Ule mwenye aliweka vitu vyote chini ya mamlaka yake,+ ili Mungu akuwe vitu vyote kwa kila mutu.+

29 Kama haiko vile, wale wenye wanabatizwa kwa kusudi la kuwa wafu watafanya nini?+ Kama wafu hawatafufuliwa hata kidogo, sababu gani wao wanabatizwa pia kwa kusudi la kuwa vile? 30 Sababu gani sisi pia tuko katika hatari kila saa?*+ 31 Ninapambana na kifo kila siku. Ndugu, hili ni hakika kama vile furaha yangu kubwa kuwaelekea ninyi, furaha yenye niko nayo katika Kristo Yesu Bwana wetu. 32 Ikiwa, kama watu wengine,* nimepigana na wanyama wa pori katika Efeso,+ hilo liko na faida gani kwangu? Kama wafu hawatafufuliwa, “basi tukule na tukunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+ 33 Musidanganywe. Mashirika ya mubaya yanaharibu tabia za muzuri.+ 34 Muamuke kwa njia yenye haki na musizoee kufanya zambi, kwa maana wengine hawamujue Mungu. Ninasema ili kuwapatisha ninyi haya.

35 Hata hivyo, mutu fulani atasema: “Wafu watafufuliwa namna gani? Ndiyo, watakuja wakiwa na mwili wa namna gani?”+ 36 Wewe pumbavu! Kile chenye unapanda hakifanywe kuwa chenye uzima isipokuwa kwanza kikufe. 37 Na juu ya kile chenye unapanda, haupande mwili wenye utakomaa, lakini mbegu yenye kuwa wazi, ikuwe ya ngano ao ya mumea wa aina ingine; 38 lakini Mungu anaipatia mwili kama vile imemupendeza, na anapatia kila mbegu mwili wake yenyewe. 39 Nyama yote haiko nyama ya namna moja, lakini kuko ya wanadamu, kuko nyama ingine ya mifugo, kuko nyama ingine ya ndege, na ingine ya samaki. 40 Na kuko miili ya mbinguni+ na miili ya duniani;+ lakini utukufu wa miili ya mbinguni ni wa namna moja, na ule wa miili ya duniani ni wa namna ingine. 41 Utukufu wa jua ni wa namna moja, na utukufu wa mwezi ni mwingine,+ na utukufu wa nyota ni mwingine; kwa kweli, nyota moja iko tofauti na nyota ingine kwa utukufu.

42 Ni vile juu ya ufufuo wa wafu. Mwili unapandwa katika uharibifu; unafufuliwa katika kutokuharibika.+ 43 Unapandwa katika haya; unafufuliwa katika utukufu.+ Unapandwa katika uzaifu; unafufuliwa katika nguvu.+ 44 Unapandwa ukiwa mwili wa nyama; unafufuliwa ukiwa mwili wa roho. Kama kuko mwili wa nyama, basi kuko mwili wa roho pia. 45 Basi imeandikwa: “Mwanadamu wa kwanza Adamu akakuwa mutu mwenye uzima.”*+ Adamu wa mwisho akakuwa roho yenye inatoa uzima.+ 46 Hata hivyo, ule wa roho haiko ndio wa kwanza. Ule wa nyama ndio wa kwanza, na kisha ule wa roho. 47 Mutu wa kwanza ni wa kutoka duniani na amefanywa kwa mavumbi;+ mutu wa pili ni wa kutoka mbinguni.+ 48 Kama vile ule mwenye alifanywa kwa mavumbi, ni vile pia wako wale wenye walifanywa kwa mavumbi; na kama vile ule wa mbinguni, ni vile pia wako wale wa mbinguni.+ 49 Na kama vile tumechukua mufano wa ule mwenye alifanywa kwa mavumbi,+ tutachukua pia mufano wa ule wa mbinguni.+

50 Lakini ninawaambia hivi, ndugu, kwamba nyama na damu haviwezi kuriti Ufalme wa Mungu, na uharibifu hauriti kutokuharibika. 51 Muangalie! Ninawaambia ninyi siri takatifu: Sisi wote hatutalala usingizi katika kifo, lakini sisi wote tutabadilishwa,+ 52 kwa wakati kidogo, kufunga na kufungua jicho, wakati wa tarumbeta ya mwisho. Kwa maana tarumbeta italia,+ na wafu watafufuliwa wakiwa wenye hawawezi kuharibika, na tutabadilishwa. 53 Kwa maana huu wenye unaweza kuharibika unapaswa kuvaa kutokuharibika,+ na huu wenye unaweza kufa unapaswa kuvaa kutokufa.+ 54 Lakini wakati huu wenye unaweza kuharibika utavaa kutokuharibika na huu wenye unaweza kufa utavaa kutokufa, basi neno hili lenye limeandikwa litatimia: “Kifo kimemezwa milele.”+ 55 “Kifo, uko wapi ushindi wako? Kifo, uko wapi uwezo wako wa kuumiza?”+ 56 Uwezo wa kuumiza wenye unatokeza kifo ni zambi,+ na nguvu za zambi ni Sheria.*+ 57 Lakini shukrani kwa Mungu, kwa maana anatupatia ushindi kupitia Bwana wetu Yesu Kristo!+

58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, mukuwe imara,+ bila kutikisika, sikuzote mukiwa na mambo mengi ya kufanya+ katika kazi ya Bwana, mukijua kwamba kazi yenu haiko ya bure+ kuhusiana na Bwana.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine