Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Maana ya imani (1, 2)

      • Mifano ya imani (3-40)

        • Haiwezekane kumupendeza Mungu bila imani (6)

Waebrania 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uhakikisho wenye kusadikisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 21-23, 27

    Amuka!,

    Na. 3 2016 uku. 12

    11/2011, uku. 3

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2013, uku. 7

    1/5/2009, uku. 3

    1/9/2005, uku. 16

    15/1/2003, uku. 10

    Tuige Imani Yao, uku. 5

Waebrania 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mababu zetu.”

Waebrania 11:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mifumo ya mambo.” Angalia Maana ya maneno.

Waebrania 11:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alitoa ushahidi kwa kutambua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 4:5
  • +Mwa 4:4
  • +Mwa 4:8, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 20

    1/1/2013, uku. 12-15

    15/1/2002, uku. 23

    15/8/2000, uku. 13-14

    Tuige Imani Yao,

    uku. 9, 14-16

Waebrania 11:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 5:22; Yud 14
  • +Mwa 5:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    6/2017, uku. 3

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 1 2017 uku. 12-13

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 19

    1/9/2005, uku. 15

    1/1/2004, uku. 29

    15/9/2001, uku. 31

Waebrania 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 58:11; Sef 2:3; Mt 5:12; 6:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2016, uku. 24-28

    9/2016, uku. 10

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2013, uku. 11

    15/9/2010, uku. 8

    1/6/2009, uku. 30

    1/10/2006, uku. 28-29

    1/8/2005, uku. 28-29

    15/8/2004, uku. 19

    15/8/2003, uku. 25-26

    15/12/2002, uku. 17-18

    Tuige Imani Yao, uku. 5

Waebrania 11:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 6:8, 9
  • +Mwa 6:13, 17
  • +Mwa 6:14
  • +Mwa 6:22; 2 Pe. 2:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 27-28

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2013, uku. 13-14

    15/9/2011, uku. 18

    15/11/2001, uku. 31

Waebrania 11:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 4:9, 11
  • +Mwa 12:1, 4

Waebrania 11:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 23:4
  • +Mwa 12:8
  • +Mwa 17:6; 26:3; 28:13

Waebrania 11:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye aliuchora.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    2/2016, uku. 8

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 21

    15/3/2013, uku. 22-23

    15/8/2009, uku. 4

    15/10/2008, uku. 32

    1/5/2005, uku. 11

    15/8/2001, uku. 17-18

    Tuige Imani Yao, uku. 32

    “Kila Andiko,”

    uku. 19, 247

Waebrania 11:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu.”

  • *

    Ao “mwenye kutegemeka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:17; 21:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 21

Waebrania 11:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 4:19
  • +Mwa 21:5
  • +Mwa 22:17; 1 Fal. 4:20

Waebrania 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 47:9
  • +Yoh 8:56

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 22

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 20-21

    15/11/2011, uku. 16-17

    15/8/2001, uku. 19, 28-29

Waebrania 11:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2017 uku. 12-13

Waebrania 11:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:6, 15
  • +Ebr 11:10; 12:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 19

Waebrania 11:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 22:1, 2
  • +Mwa 22:9, 10; Yoh 3:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 6

Waebrania 11:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ile yenye itaitwa mbegu yako itakuja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 21:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 6

Waebrania 11:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 6

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    2/2016, uku. 7

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2009, uku. 4

Waebrania 11:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 27:27-29
  • +Mwa 27:38-40

Waebrania 11:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 47:29
  • +Mwa 48:15, 16, 20
  • +Mwa 47:31

Waebrania 11:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “amri.”

  • *

    Ao “maziko yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 50:24, 25; Kut 13:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 28

Waebrania 11:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 2:2
  • +Mdo 7:20
  • +Kut 1:16, 22

Waebrania 11:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 2:11
  • +Kut 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 21-22

    15/4/2014, uku. 3-4

    15/6/2002, uku. 11

Waebrania 11:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 21-22

    15/4/2014, uku. 3-4

    15/9/2005, uku. 16-17

    15/6/2002, uku. 11

Waebrania 11:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 21-22

    15/4/2014, uku. 5-7

    15/3/2012, uku. 28

    15/6/2002, uku. 11

Waebrania 11:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:51
  • +Kut 10:28
  • +1 Tim. 1:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2014, uku. 8-10

    15/8/2005, uku. 22-23

    15/6/2001, uku. 18-23

Waebrania 11:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “asiguse.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:21-23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2014, uku. 10-11

Waebrania 11:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:22
  • +Kut 14:27, 28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2014, uku. 11-12

Waebrania 11:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 6:15, 20

Waebrania 11:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 6:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2013, uku. 13

Waebrania 11:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:11
  • +Amu 4:6
  • +Amu 13:24
  • +Amu 11:1
  • +1 Sa. 16:13
  • +1 Sa. 3:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 70-71

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2011, uku. 25-26

    “Kila Andiko,” uku. 50

Waebrania 11:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 7:12, 22
  • +2 Sa. 7:8, 12
  • +Amu 14:5, 6; 1 Sa. 17:34-36; Da. 6:21, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 23

    Tuige Imani Yao, uku. 70-71

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2011, uku. 25-26

Waebrania 11:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 3:23-25
  • +2 Fal. 6:15, 16
  • +Amu 16:28; 1 Fal. 18:46
  • +Amu 11:32
  • +Amu 4:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 23

Waebrania 11:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 17:22-24; 2 Fal. 4:32, 34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 12

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 23-24

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2005, uku. 5-6, 17

Waebrania 11:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:2
  • +Yer 37:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 23

Waebrania 11:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walikatwa vipande-vipande.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 24:20, 21
  • +1 Fal. 19:1
  • +2 Fal. 1:8
  • +1 Fal. 19:2
  • +1 Fal. 22:24; Yer 38:6

Waebrania 11:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:4; 19:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 23

Waebrania 11:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 2:3; 3:1; 7:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2002, uku. 30

    1/2/2002, uku. 22-23

Maandiko ingine

Ebr. 11:1Ebr 11:13
Ebr. 11:4Mwa 4:5
Ebr. 11:4Mwa 4:4
Ebr. 11:4Mwa 4:8, 10
Ebr. 11:5Mwa 5:22; Yud 14
Ebr. 11:5Mwa 5:24
Ebr. 11:6Zab 58:11; Sef 2:3; Mt 5:12; 6:33
Ebr. 11:7Mwa 6:8, 9
Ebr. 11:7Mwa 6:13, 17
Ebr. 11:7Mwa 6:14
Ebr. 11:7Mwa 6:22; 2 Pe. 2:5
Ebr. 11:8Rom. 4:9, 11
Ebr. 11:8Mwa 12:1, 4
Ebr. 11:9Mwa 23:4
Ebr. 11:9Mwa 12:8
Ebr. 11:9Mwa 17:6; 26:3; 28:13
Ebr. 11:10Ebr 11:16
Ebr. 11:11Mwa 17:17; 21:2
Ebr. 11:12Rom. 4:19
Ebr. 11:12Mwa 21:5
Ebr. 11:12Mwa 22:17; 1 Fal. 4:20
Ebr. 11:13Mwa 47:9
Ebr. 11:13Yoh 8:56
Ebr. 11:15Mwa 11:31
Ebr. 11:16Kut 3:6, 15
Ebr. 11:16Ebr 11:10; 12:22
Ebr. 11:17Mwa 22:1, 2
Ebr. 11:17Mwa 22:9, 10; Yoh 3:16
Ebr. 11:18Mwa 21:12
Ebr. 11:191 Kor. 10:11
Ebr. 11:20Mwa 27:27-29
Ebr. 11:20Mwa 27:38-40
Ebr. 11:21Mwa 47:29
Ebr. 11:21Mwa 48:15, 16, 20
Ebr. 11:21Mwa 47:31
Ebr. 11:22Mwa 50:24, 25; Kut 13:19
Ebr. 11:23Kut 2:2
Ebr. 11:23Mdo 7:20
Ebr. 11:23Kut 1:16, 22
Ebr. 11:24Kut 2:11
Ebr. 11:24Kut 2:10
Ebr. 11:27Kut 12:51
Ebr. 11:27Kut 10:28
Ebr. 11:271 Tim. 1:17
Ebr. 11:28Kut 12:21-23
Ebr. 11:29Kut 14:22
Ebr. 11:29Kut 14:27, 28
Ebr. 11:30Yosh. 6:15, 20
Ebr. 11:31Yosh. 6:17
Ebr. 11:32Amu 6:11
Ebr. 11:32Amu 4:6
Ebr. 11:32Amu 13:24
Ebr. 11:32Amu 11:1
Ebr. 11:321 Sa. 16:13
Ebr. 11:321 Sa. 3:20
Ebr. 11:33Amu 7:12, 22
Ebr. 11:332 Sa. 7:8, 12
Ebr. 11:33Amu 14:5, 6; 1 Sa. 17:34-36; Da. 6:21, 22
Ebr. 11:34Da. 3:23-25
Ebr. 11:342 Fal. 6:15, 16
Ebr. 11:34Amu 16:28; 1 Fal. 18:46
Ebr. 11:34Amu 11:32
Ebr. 11:34Amu 4:16
Ebr. 11:351 Fal. 17:22-24; 2 Fal. 4:32, 34
Ebr. 11:36Yer 20:2
Ebr. 11:36Yer 37:15
Ebr. 11:372Nya 24:20, 21
Ebr. 11:371 Fal. 19:1
Ebr. 11:372 Fal. 1:8
Ebr. 11:371 Fal. 19:2
Ebr. 11:371 Fal. 22:24; Yer 38:6
Ebr. 11:381 Fal. 18:4; 19:9
Ebr. 11:40Ebr 2:3; 3:1; 7:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 11:1-40

Kwa Waebrania

11 Imani ni tazamio lenye kuwa hakika la mambo yenye yanatumainiwa,+ uhakikisho wenye uko wazi* wa mambo ya kweli yenye hayaonekane. 2 Kwa maana kupitia imani, watu wa nyakati za zamani* walitolewa ushahidi.

3 Kwa imani tunajua kwamba mipangilio ya mambo* ilipangwa kwa utaratibu kupitia neno la Mungu, na hivyo kile chenye kinaonekana, kimekuja kuwapo kutokana na vitu vyenye havionekane.

4 Kwa imani Abeli alimutolea Mungu zabihu yenye samani kubwa kuliko ile ya Kaini,+ na kupitia imani hiyo alitolewa ushahidi kwamba alikuwa mwenye haki, kwa maana Mungu alikubali* zawadi zake,+ na hata kama alikufa, angali anasema+ kupitia imani yake.

5 Kwa imani Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, na hakupatikana mahali popote kwa sababu Mungu alikuwa amemuhamisha;+ kwa maana mbele ya kuhamishwa alitolewa ushahidi kwamba alimupendeza Mungu. 6 Zaidi ya hayo, bila imani haiwezekane kumupendeza Mungu, kwa maana mutu yeyote mwenye anamukaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye iko* na kwamba yeye anakuwa mwenye kuwapatia zawabu wale wenye wanamutafuta kwa bidii.+

7 Kwa imani Noa,+ kisha kupokea onyo kutoka kwa Mungu juu ya mambo yenye yalikuwa hayajaonekana,+ alionyesha kuwa anamuogopa Mungu na akajenga safina+ ili kuokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo alihukumu ulimwengu,+ na akakuwa muriti wa haki yenye inatokana na imani.

8 Kwa imani Abrahamu,+ wakati aliitwa, alitii kwa kutoka na kuenda mahali kwenye angepokea kuwa uriti; alitoka, hata kama hakujua mahali alikuwa anaenda.+ 9 Kwa imani aliishi akiwa mugeni katika inchi ya ahadi kama katika inchi ya kigeni,+ akiishi katika mahema+ pamoja na Isaka na Yakobo, wariti pamoja naye wa ahadi ileile.+ 10 Kwa maana alikuwa anangojea muji wenye uko na misingi ya kweli, wenye ule mwenye aliufanya* na kuujenga ni Mungu.+

11 Kwa imani Sara pia alipokea nguvu za kupata uzao,* hata kama alikuwa amepita miaka,+ kwa kuwa alimuona Ule mwenye alikuwa ameahidi kuwa ni muaminifu.* 12 Kwa sababu hiyo, kutoka kwa mwanaume mumoja mwenye alikuwa kama vile mufu,+ kulizaliwa watoto,+ wengi kama nyota za mbinguni na wenye hawawezi kuhesabiwa kama vile muchanga pembeni ya bahari.+

13 Katika imani hawa wote walikufa, hata kama hawakupokea utimizo wa zile ahadi;+ lakini waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na walitangaza mbele ya watu wote kwamba walikuwa wageni na wakaaji wa muda katika inchi. 14 Kwa maana wale wenye wanasema kwa njia hiyo wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta kwa bidii mahali kwao wenyewe. 15 Na bado, kama wangeendelea kukumbuka mahali kwenye walikuwa wametoka,+ wangepata nafasi ya kurudia. 16 Lakini sasa wanatamani kufika mahali kwenye kuko muzuri zaidi, ni kusema, kwenye kunahusiana na mbinguni. Kwa hiyo, Mungu hasikie haya juu yao, kuitiwa akiwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha muji kwa ajili yao.+

17 Kwa imani Abrahamu wakati alijaribiwa,+ ni kama vile alimutoa Isaka⁠—⁠mutu huyo mwenye alikuwa amepokea ahadi kwa furaha alijaribu kumutoa mwana wake muzaliwa-pekee+⁠— 18 hata kama alikuwa ameambiwa: “Ule wenye utaitwa uzao wako utakuja* kupitia Isaka.”+ 19 Lakini alifikiri kwamba Mungu angeweza kumufufua hata kutoka kwa wafu, na alimupokea kutoka kule kwa njia ya mufano.+

20 Kwa imani pia Isaka alibariki Yakobo+ na Esau+ juu ya mambo yenye yatakuja.

21 Kwa imani Yakobo, wakati alikuwa karibu kufa,+ alibariki kila mumoja wa wana wa Yosefu+ na akaabudu akiegemea kwenye sehemu ya juu ya fimbo yake.+

22 Kwa imani Yosefu, wakati alikaribia mwisho wake, alisema juu ya kutoka kwa wana wa Israeli, na akatoa maagizo* juu ya mifupa yake.*+

23 Kwa imani Musa, kisha kuzaliwa, alifichwa kwa miezi tatu (3) na wazazi wake,+ kwa sababu waliona kwamba ule mutoto mudogo alikuwa mwenye sura ya muzuri+ na hawakuogopa agizo la mufalme.+ 24 Kwa imani Musa, wakati alikomaa,+ alikataa kuitwa mwana wa binti ya Farao,+ 25 akachagua kutendewa mubaya pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia zambi kwa muda, 26 kwa sababu aliona lawama ya Kristo kuwa utajiri mukubwa kuliko hazina za Misri, kwa maana alikaza macho kwenye malipo ya zawabu. 27 Kwa imani alitoka Misri,+ lakini bila kuogopa kasirani ya mufalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mutu mwenye anamuona Ule mwenye haonekane.+ 28 Kwa imani alifanya sikukuu ya Pasaka na kupakaa damu, ili ule mwenye kuharibu asiumize* wazaliwa wao wa kwanza.+

29 Kwa imani walipita katika Bahari Nyekundu kama kwenye inchi kavu,+ lakini wakati Wamisri walijaribu kupita, wakamezwa.+

30 Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka kisha watu kuzizunguka kwa siku saba (7).+ 31 Kwa imani Rahabu ule kahaba hakukufa pamoja na wale wenye walitenda kwa kukosa kutii, kwa sababu alipokea wale wapelelezi kwa amani.+

32 Na nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati kama ninaendelea kueleza juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yefta,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine. 33 Kupitia imani walishinda falme,+ wakaleta haki, wakapata ahadi,+ wakafunga vinywa vya simba,+ 34 wakazima nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ wakafanywa kuwa wenye nguvu kutoka kwenye hali ya uzaifu,+ wakakuwa wenye nguvu katika vita,+ wakashinda majeshi yenye kushambulia.+ 35 Wanamuke walipokea wafu wao kwa ufufuo,+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia bei fulani ya ukombozi, ili wapate ufufuo wa muzuri zaidi. 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kuchekelewa na kwa kupigwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa kufungwa minyororo+ na kwa kufungwa katika magereza.+ 37 Walipigwa majiwe,+ walijaribiwa, walikatwa vipande mbili kwa musumeno,* walichinjwa kwa upanga,+ walitembea huku na huku wakiwa wamevaa ngozi za kondoo,+ wakiwa wamevaa ngozi za mbuzi, wakiwa katika uhitaji, katika taabu,+ walitendewa mubaya;+ 38 na ulimwengu haukuwafaa. Walitembea huku na huku katika majangwa na milima na mapango+ na mashimo ya dunia.

39 Na bado hawa wote, hata kama walitolewa ushahidi wenye kufaa kwa sababu ya imani yao, hawakupata utimizo wa ile ahadi, 40 kwa sababu Mungu aliona mbele ya wakati kitu kizuri zaidi kwa ajili yetu,+ ili wasifanywe kuwa wakamilifu bila sisi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine