Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 111
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mumusifu Yehova kwa sababu ya kazi zake kubwa

        • Jina la Mungu ni takatifu na lenye kuogopesha sana (9)

        • Kumuogopa Yehova ni hekima (10)

Zaburi 111:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 68:4; 113:1; Ufu 19:1
  • +Zab 9:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 20

Zaburi 111:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 98:1; 139:14; Ufu 15:3
  • +Zab 77:12; 143:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 20-21

Zaburi 111:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 103:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 21-22

Zaburi 111:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:19; Yosh. 4:5-7
  • +Kut 34:6; Yak 5:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 21-22

Zaburi 111:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:25; Mt 6:33
  • +Zab 89:34; 105:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 22

Zaburi 111:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 44:2; 105:44

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 22-23

Zaburi 111:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4
  • +Zab 19:8; Isa 55:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 23

Zaburi 111:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Yako na musingi muzuri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 23

Zaburi 111:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:13; Lu 1:68; Ufu 7:10
  • +Zab 89:7; Isa 6:2, 3; Lu 1:49; Ufu 4:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 23-24

Zaburi 111:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 28:28; Mez. 1:7; Mhu. 12:13
  • +Kum 4:6; Yosh. 1:7, 8; 1 Fal. 2:3; Zab 119:100; 2 Tim. 3:14, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 24

Maandiko ingine

Zb. 111:1Zab 68:4; 113:1; Ufu 19:1
Zb. 111:1Zab 9:1
Zb. 111:2Zab 98:1; 139:14; Ufu 15:3
Zb. 111:2Zab 77:12; 143:5
Zb. 111:3Zab 103:17
Zb. 111:4Kum 31:19; Yosh. 4:5-7
Zb. 111:4Kut 34:6; Yak 5:11
Zb. 111:5Zab 37:25; Mt 6:33
Zb. 111:5Zab 89:34; 105:8
Zb. 111:6Zab 44:2; 105:44
Zb. 111:7Kum 32:4
Zb. 111:7Zab 19:8; Isa 55:10, 11
Zb. 111:8Zab 19:9
Zb. 111:9Kut 15:13; Lu 1:68; Ufu 7:10
Zb. 111:9Zab 89:7; Isa 6:2, 3; Lu 1:49; Ufu 4:8
Zb. 111:10Yob 28:28; Mez. 1:7; Mhu. 12:13
Zb. 111:10Kum 4:6; Yosh. 1:7, 8; 1 Fal. 2:3; Zab 119:100; 2 Tim. 3:14, 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 111:1-10

Zaburi

111 Mumusifu Yah!*+

א [Aleph]

Nitamusifu Yehova kwa moyo wangu wote+

ב [Beth]

Katika kikundi chenye kimekusanyika cha watu wanyoofu na katika kutaniko.

ג [Gimel]

 2 Kazi za Yehova ni kubwa;+

ד [Daleth]

Wale wote wenye kupendezwa nazo wanajifunza kuhusu kazi hizo.+

ה [He]

 3 Kazi zake ni zenye utukufu na ni zenye kupendeza sana,

ו [Waw]

Na haki yake inadumu milele.+

ז [Zayin]

 4 Anafanya kazi zake za ajabu zikumbukwe.+

ח [Heth]

Yehova ni mwenye huruma* na mwenye rehema.+

ט [Teth]

 5 Anapatia chakula wale wenye kumuogopa.+

י [Yod]

Anakumbuka agano lake milele.+

כ [Kaph]

 6 Amefunulia watu wake matendo yake yenye nguvu

ל [Lamed]

Kwa kuwapatia uriti wa mataifa.+

מ [Mem]

 7 Kazi za mikono yake ni kweli na haki;+

נ [Nun]

Maagizo yake yote yanategemeka.+

ס [Samekh]

 8 Yanategemeka* sikuzote, sasa na milele;

ע [Ayin]

Yamefanywa katika kweli na haki.+

פ [Pe]

 9 Amepatia watu wake ukombozi.+

צ [Tsade]

Aliamuru kwamba agano lake linapaswa kudumu milele.

ק [Qoph]

Jina lake ni takatifu na ni lenye kuogopesha sana.+

ר [Resh]

10 Kumuogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

ש [Sin]

Wale wote wenye kushika maagizo yake wanaonyesha ufahamu muzuri.+

ת [Taw]

Sifa yake inadumu milele.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine