Zaburi
א [Aleph]
Nitamusifu Yehova kwa moyo wangu wote+
ב [Beth]
Katika kikundi chenye kimekusanyika cha watu wanyoofu na katika kutaniko.
ג [Gimel]
ה [He]
ז [Zayin]
4 Anafanya kazi zake za ajabu zikumbukwe.+
ח [Heth]
Yehova ni mwenye huruma* na mwenye rehema.+
ט [Teth]
5 Anapatia chakula wale wenye kumuogopa.+
י [Yod]
Anakumbuka agano lake milele.+
כ [Kaph]
מ [Mem]
ס [Samekh]
פ [Pe]
9 Amepatia watu wake ukombozi.+
צ [Tsade]
Aliamuru kwamba agano lake linapaswa kudumu milele.
ק [Qoph]
Jina lake ni takatifu na ni lenye kuogopesha sana.+
ר [Resh]
10 Kumuogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+
ש [Sin]
Wale wote wenye kushika maagizo yake wanaonyesha ufahamu muzuri.+
ת [Taw]
Sifa yake inadumu milele.