Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Sheria mbalimbali kuhusu utakatifu (1-37)

        • Namna ya muzuri ya kuvuna (9, 10)

        • Kuheshimia viziwi na vipofu (14)

        • Maneno ya kuchongea (16)

        • Usiweke kinyongo (18)

        • Kufanya uchawi na kupashana habari na pepo wachafu kunakatazwa (26, 31)

        • Kujitia alama za machanjo kunakatazwa (28)

        • Kuheshimia watu wenye kuzeeka (32)

        • Namna wageni wanapaswa kutendewa (33, 34)

Mambo ya Walawi 19:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:44; Isa 6:3; 1 Pe. 1:15, 16; Ufu 4:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2009, uku. 9

Mambo ya Walawi 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kumuogopa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:12; Efe 6:2; Ebr 12:9
  • +Kut 20:8, 11; 31:13; Lu 6:5

Mambo ya Walawi 19:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:1; Zab 96:5; Hab 2:18; 1 Kor. 10:14
  • +Kut 20:4, 23; Kum 27:15

Mambo ya Walawi 19:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:1
  • +Law. 7:11, 12

Mambo ya Walawi 19:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:17, 18

Mambo ya Walawi 19:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi hiyo inapaswa.”

  • *

    Ao “kuuawa kutoka.”

Mambo ya Walawi 19:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:22; Kum 24:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2006, uku. 22-23

    1/12/2003, uku. 17

Mambo ya Walawi 19:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye kuteseka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:7

Mambo ya Walawi 19:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:15; Efe 4:28
  • +Law. 6:2; Mez. 12:22; Efe 4:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2016, uku. 11-12

Mambo ya Walawi 19:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:7; Mt 5:33, 37; Yak 5:12

Mambo ya Walawi 19:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 22:16; Mk 10:19
  • +Mez. 22:22
  • +Kum 24:15; Yer 22:13; Yak 5:4

Mambo ya Walawi 19:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuita ubaya juu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 27:18
  • +Law. 25:17; Ne 5:15; Mez. 1:7; 8:13; 1 Pe. 2:17

Mambo ya Walawi 19:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:3; Kum 1:16, 17; 16:19; 2Nya 19:6; Rom. 2:11; Yak 2:9

Mambo ya Walawi 19:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “damu ya.”

  • *

    Ao pengine, “Haupaswe kusimama bila kufanya kitu wakati uzima wa mwenzako uko katika hatari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 15:1, 3
  • +Kut 20:16; 1 Fal. 21:13

Mambo ya Walawi 19:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 10:18; 1 Yo. 2:9; 3:15
  • +Zab 141:5; Mez. 9:8; Mt 18:15

Mambo ya Walawi 19:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 20:22; Rom. 12:19
  • +Mt 5:43, 44; 22:39; Rom. 13:9; Gal 5:14; Yak 2:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2011, uku. 22

    1/12/2006, uku. 26-27

    “Kila Andiko,” uku. 29

Mambo ya Walawi 19:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 22:9
  • +Kum 22:11

Mambo ya Walawi 19:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:6, 7

Mambo ya Walawi 19:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yenye hayatahiriwe.”

Mambo ya Walawi 19:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 26:1, 2; Mez. 3:9

Mambo ya Walawi 19:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:17; 17:13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29
  • +Kut 8:7; Kum 18:10-12; Gal 5:19, 20; Ufu 21:8

Mambo ya Walawi 19:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Musipunguze; Musikate.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 21:1, 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 24

    Amuka!,

    22/1/2000, uku. 22-24

Mambo ya Walawi 19:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa ajili ya nafsi yenye imekufa.” Katika mustari huu, neno la Kiebrania neʹphesh linamaanisha mutu mwenye amekufa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2003, uku. 27

    Amuka!,

    8/8/2000, uku. 18-19

Mambo ya Walawi 19:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:17
  • +Ebr 13:4; 1 Pe. 4:3

Mambo ya Walawi 19:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuogopa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:10; 31:13

Mambo ya Walawi 19:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:6; Kum 18:10-12; 1Nya 10:13; Isa 8:19
  • +Law. 20:27; Mdo 16:16

Mambo ya Walawi 19:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:31; 20:29
  • +Yob 32:6; Mez. 23:22; 1 Tim. 5:1
  • +Yob 28:28; Mez. 1:7; 8:13; 1 Pe. 2:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2008, uku. 21

    15/6/2000, uku. 21

    Amuka!,

    8/10/2004, uku. 22-23

    Furaha ya Familia, uku. 149

Mambo ya Walawi 19:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:9

Mambo ya Walawi 19:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:49
  • +Kut 22:21

Mambo ya Walawi 19:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ujazo ni ukubwa ao wingi wa kitu chenye kujaza nafasi ao kitu fulani.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:13, 15; Mez. 20:10

Mambo ya Walawi 19:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kilo.”

  • *

    Tnn., “kipimo sahihi cha efa.” Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Tnn., “kipimo sahihi cha hini.” Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 11:1

Mambo ya Walawi 19:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:5; Kum 4:6

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 19:2Law. 11:44; Isa 6:3; 1 Pe. 1:15, 16; Ufu 4:8
Mambo ya walawi 19:3Kut 20:12; Efe 6:2; Ebr 12:9
Mambo ya walawi 19:3Kut 20:8, 11; 31:13; Lu 6:5
Mambo ya walawi 19:4Law. 26:1; Zab 96:5; Hab 2:18; 1 Kor. 10:14
Mambo ya walawi 19:4Kut 20:4, 23; Kum 27:15
Mambo ya walawi 19:5Law. 3:1
Mambo ya walawi 19:5Law. 7:11, 12
Mambo ya walawi 19:6Law. 7:17, 18
Mambo ya walawi 19:9Law. 23:22; Kum 24:19
Mambo ya walawi 19:10Kum 15:7
Mambo ya walawi 19:11Kut 20:15; Efe 4:28
Mambo ya walawi 19:11Law. 6:2; Mez. 12:22; Efe 4:25
Mambo ya walawi 19:12Kut 20:7; Mt 5:33, 37; Yak 5:12
Mambo ya walawi 19:13Mez. 22:16; Mk 10:19
Mambo ya walawi 19:13Mez. 22:22
Mambo ya walawi 19:13Kum 24:15; Yer 22:13; Yak 5:4
Mambo ya walawi 19:14Kum 27:18
Mambo ya walawi 19:14Law. 25:17; Ne 5:15; Mez. 1:7; 8:13; 1 Pe. 2:17
Mambo ya walawi 19:15Kut 23:3; Kum 1:16, 17; 16:19; 2Nya 19:6; Rom. 2:11; Yak 2:9
Mambo ya walawi 19:16Zab 15:1, 3
Mambo ya walawi 19:16Kut 20:16; 1 Fal. 21:13
Mambo ya walawi 19:17Mez. 10:18; 1 Yo. 2:9; 3:15
Mambo ya walawi 19:17Zab 141:5; Mez. 9:8; Mt 18:15
Mambo ya walawi 19:18Mez. 20:22; Rom. 12:19
Mambo ya walawi 19:18Mt 5:43, 44; 22:39; Rom. 13:9; Gal 5:14; Yak 2:8
Mambo ya walawi 19:19Kum 22:9
Mambo ya walawi 19:19Kum 22:11
Mambo ya walawi 19:21Law. 6:6, 7
Mambo ya walawi 19:24Kum 26:1, 2; Mez. 3:9
Mambo ya walawi 19:26Law. 3:17; 17:13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29
Mambo ya walawi 19:26Kut 8:7; Kum 18:10-12; Gal 5:19, 20; Ufu 21:8
Mambo ya walawi 19:27Law. 21:1, 5
Mambo ya walawi 19:28Kum 14:1
Mambo ya walawi 19:29Kum 23:17
Mambo ya walawi 19:29Ebr 13:4; 1 Pe. 4:3
Mambo ya walawi 19:30Kut 20:10; 31:13
Mambo ya walawi 19:31Law. 20:6; Kum 18:10-12; 1Nya 10:13; Isa 8:19
Mambo ya walawi 19:31Law. 20:27; Mdo 16:16
Mambo ya walawi 19:32Mez. 16:31; 20:29
Mambo ya walawi 19:32Yob 32:6; Mez. 23:22; 1 Tim. 5:1
Mambo ya walawi 19:32Yob 28:28; Mez. 1:7; 8:13; 1 Pe. 2:17
Mambo ya walawi 19:33Kut 23:9
Mambo ya walawi 19:34Kut 12:49
Mambo ya walawi 19:34Kut 22:21
Mambo ya walawi 19:35Kum 25:13, 15; Mez. 20:10
Mambo ya walawi 19:36Mez. 11:1
Mambo ya walawi 19:37Law. 18:5; Kum 4:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 19:1-37

Mambo ya Walawi

19 Yehova akasema tena na Musa, na kumuambia: 2 “Sema na kutaniko lote la Waisraeli na uwaambie, ‘Munapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mutakatifu.+

3 “‘Kila mumoja wenu anapaswa kumuheshimia* mama yake na baba yake,+ na munapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. 4 Musiendee miungu yenye haina mafaa yoyote+ ao kujitengenezea sanamu za miungu ya metali yenye kuyeyushwa.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

5 “‘Sasa kama munamutolea Yehova zabihu ya ushirika,+ munapaswa kuitoa kwa njia yenye itafanya mukubaliwe.+ 6 Inapaswa kukuliwa siku yenye munaitoa na kesho yake, lakini yenye itabakia mupaka siku ya tatu (3) inapaswa kuteketezwa ndani ya moto.+ 7 Lakini, kama sehemu yoyote ya zabihu hiyo inakuliwa siku ya tatu (3), ni kitu chenye kuchukiza chenye hakitakubaliwa. 8 Mutu mwenye anaikula atajibu kwa sababu ya kosa lake kwa maana amechafua kitu kitakatifu cha Yehova, na mutu huyo anapaswa* kuondolewa* katikati ya watu wake.

9 “‘Wakati munavuna mavuno ya inchi yenu, haupaswe kuvuna mavuno yote ya mipaka ya shamba lako na haupaswe kuokota masalio ya mavuno yako.+ 10 Pia, usikusanye masalio ya shamba lako la mizabibu wala usiokote zabibu zenye kusambaa za shamba lako la mizabibu. Unapaswa kuziachia maskini*+ na wakaaji wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

11 “‘Hamupaswe kuiba,+ hamupaswe kudanganya,+ na hamupaswe kutendeana kwa uongo. 12 Hamupaswe kuapa kwa uongo katika jina langu+ na hivyo kuchafua jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. 13 Haupaswe kumupunja mwenzako,+ na haupaswe kunyanganya.+ Haupaswe kubakia na mushahara wa mufanyakazi usiku wote mupaka asubui.+

14 “‘Haupaswe kumulaani* kiziwi wala kuweka kizuizi mbele ya kipofu,+ na unapaswa kumuogopa Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

15 “‘Haupaswe kuhukumu kwa njia yenye haiko ya haki. Haupaswe kubagua maskini ao kuonyesha upendeleo kwa matajiri.+ Unapaswa kumuhukumu mwenzako kwa haki.

16 “‘Haupaswe kuzunguka-zunguka ili kueneza maneno ya kuchongea kati ya watu wako.+ Haupaswe kuweka uzima wa* mwenzako katika hatari.*+ Mimi ni Yehova.

17 “‘Haupaswe kumuchukia ndugu yako katika moyo wako.+ Unapaswa kumukaripia mwenzako,+ ili usichukue zambi pamoja naye.

18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

19 “‘Munapaswa kushika sheria zangu: Haupaswe kufanya wanyama wako wa kufugwa wa aina moja wazae pamoja na wanyama wa kufugwa wa aina ingine. Haupaswe kupanda mbegu za aina mbili katika shamba lako,+ na haupaswe kuvaa nguo yenye ilitengenezwa na nyuzi za aina mbili zenye kuchanganywa pamoja.+

20 “‘Sasa kama mwanaume analala na mwanamuke na anafanya ngono naye na mwanamuke huyo ni mutumishi mwenye amewekwa kwa ajili ya mwanaume mwingine, lakini mwanamuke huyo hajakombolewa ao kupewa uhuru wake, kunapaswa kuwa azabu. Lakini, hawapaswe kuuawa, kwa sababu mwanamuke huyo alikuwa hajawekwa huru. 21 Mwanaume huyo anapaswa kumuletea Yehova toleo lake la hatia kwenye muingilio wa hema ya mukutano, kondoo-dume wa toleo la hatia.+ 22 Kuhani atafunika zambi kwa ajili ya mwanaume huyo kupitia kondoo-dume wa toleo la hatia mbele ya Yehova kwa sababu ya zambi yenye alifanya, na atasamehewa zambi yenye alifanya.

23 “‘Wakati mutaingia katika inchi hiyo na kupanda muti wowote kwa ajili ya chakula, munapaswa kuona matunda yake kuwa machafu na yenye kukatazwa. Kwa miaka tatu (3) yatakuwa yenye kukatazwa.* Hayapaswe kukuliwa. 24 Lakini katika mwaka wa ine (4), matunda yake yote yatakuwa matakatifu kwa ajili ya kushangilia mbele ya Yehova.+ 25 Kisha katika mwaka wa tano (5), munaweza kula matunda yake ili kuongeza mazao yake kwenye mavuno yenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

26 “‘Hamupaswe kula kitu chochote chenye kuwa na damu.+

“‘Hamupaswe kutafuta alama za mambo yenye yatatokea ao kufanya uchawi.+

27 “‘Hamupaswe kunyoa* nywele zenye kuwa kwenye kila upande wa kichwa chenu ao kuharibu umbo ya pembeni-pembeni ya ndevu zenu.+

28 “‘Hamupaswe kujikata-kata katika mwili wenu kwa ajili ya mutu mwenye amekufa,*+ na hamupaswe kujitia alama za machanjo. Mimi ni Yehova.

29 “‘Usimuletee binti yako haya kwa kumufanya kuwa kahaba,+ ili inchi isifanye ukahaba na kujaa matendo yenye kupotoka.+

30 “‘Munapaswa kushika sabato zangu,+ na munapaswa kuheshimia* patakatifu pangu. Mimi ni Yehova.

31 “‘Musiendee watu wenye kupashana habari na pepo wachafu,+ na musitafute shauri kwa watu wenye kutabiri matukio+ ili musijichafue kupitia watu hao. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya kichwa chenye imvi,+ na unapaswa kumuheshimia mutu mwenye kuzeeka,+ na unapaswa kumuogopa Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

33 “‘Kama mugeni anaishi pamoja na ninyi katika inchi yenu, hamupaswe kumutesa.+ 34 Mugeni mwenye anaishi pamoja na ninyi mutamuona kama mwenyeji kati yenu;+ na unapaswa kumupenda kama vile unajipenda mwenyewe, kwa maana mulikuwa wakaaji wageni katika inchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

35 “‘Hamupaswe kutumia vipimo vya uongo ili kupima urefu, uzito, ao ujazo.*+ 36 Munapaswa kutumia mizani* yenye kuwa sawa, vipimo vyenye kuwa sawa, kipimo chenye kuwa sawa cha vitu vyenye kukauka,* na kipimo chenye kuwa sawa cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, mwenye aliwatosha katika inchi ya Misri. 37 Kwa hiyo munapaswa kushika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu, na munapaswa kuyafuata.+ Mimi ni Yehova.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine