Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Timoteo 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Timoteo

      • Salamu (1, 2)

      • Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Timoteo (3-5)

      • Endelea kuchochea kama moto zawadi ya Mungu (6-11)

      • Endelea kushika maneno yenye faida (12-14)

      • Maadui na marafiki wa Paulo (15-18)

2 Timoteo 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:16; 6:40, 44; 1 Pe. 1:3, 4

2 Timoteo 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 4:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2003, uku. 28

2 Timoteo 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dua zangu.”

2 Timoteo 1:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 15

2 Timoteo 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nkambo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 14

2 Timoteo 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Vijana Huuliza 2, uku. 116

2 Timoteo 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:15; 1 Tes. 2:2
  • +Lu 24:49; Mdo 1:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2013, uku. 23-24

    15/5/2009, uku. 15

    1/10/2006, uku. 22

2 Timoteo 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 1:16
  • +Kol 1:24; 2 Tim. 2:3
  • +Flp 4:13; Kol 1:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2003, uku. 9-10

    “Kila Andiko,” uku. 182

2 Timoteo 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 1:4; Ebr 3:1
  • +Efe 2:5, 8; Tit 3:5

2 Timoteo 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14; Ebr 2:9
  • +1 Kor. 15:54; Ebr 2:14
  • +Yoh 5:24; 1 Yo. 1:2
  • +1 Pe. 1:3, 4
  • +Rom. 1:16

2 Timoteo 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15; 1 Tim. 2:7

2 Timoteo 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:16; Efe 3:1
  • +2 Kor. 4:2
  • +2 Tim. 4:8

2 Timoteo 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kielelezo cha.”

  • *

    Ao “yenye kujenga afya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 6:3, 4; Tit 1:7, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 31

    15/8/2008, uku. 24

    15/3/2006, uku. 31

    1/1/2003, uku. 29

    15/9/2002, uku. 16-17

2 Timoteo 1:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:11

2 Timoteo 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:10

2 Timoteo 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 4:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 20

    “Kila Andiko,” uku. 237

2 Timoteo 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maandiko ingine

2 Timotheo 1:1Yoh 3:16; 6:40, 44; 1 Pe. 1:3, 4
2 Timotheo 1:21 Kor. 4:17
2 Timotheo 1:51 Tim. 4:6
2 Timotheo 1:61 Tim. 4:14
2 Timotheo 1:7Rom. 8:15; 1 Tes. 2:2
2 Timotheo 1:7Lu 24:49; Mdo 1:8
2 Timotheo 1:8Rom. 1:16
2 Timotheo 1:8Kol 1:24; 2 Tim. 2:3
2 Timotheo 1:8Flp 4:13; Kol 1:11
2 Timotheo 1:9Efe 2:5, 8; Tit 3:5
2 Timotheo 1:9Efe 1:4; Ebr 3:1
2 Timotheo 1:10Yoh 1:14; Ebr 2:9
2 Timotheo 1:101 Kor. 15:54; Ebr 2:14
2 Timotheo 1:10Yoh 5:24; 1 Yo. 1:2
2 Timotheo 1:101 Pe. 1:3, 4
2 Timotheo 1:10Rom. 1:16
2 Timotheo 1:11Mdo 9:15; 1 Tim. 2:7
2 Timotheo 1:12Mdo 9:16; Efe 3:1
2 Timotheo 1:122 Kor. 4:2
2 Timotheo 1:122 Tim. 4:8
2 Timotheo 1:131 Tim. 6:3, 4; Tit 1:7, 9
2 Timotheo 1:14Rom. 8:11
2 Timotheo 1:15Mdo 19:10
2 Timotheo 1:162 Tim. 4:19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Timoteo 1:1-18

Ya Pili kwa Timoteo

1 Paulo, mutume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu kulingana na ahadi ya uzima wenye unapatikana kupitia Kristo Yesu,+ 2 kwa Timoteo, mutoto mupendwa:+

Ukuwe na fazili zenye hazistahiliwe, rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.

3 Ninamushukuru Mungu, mwenye ninatolea utumishi mutakatifu kama vile mababu zangu walifanya, na kwa zamiri safi, siache hata kidogo kukukumbuka katika sala zangu za kumulilia Mungu* usiku na muchana. 4 Kwa kuwa ninakumbuka machozi yako, ninatamani kukuona, ili nijae furaha. 5 Kwa maana ninakumbuka imani yako yenye haina unafiki,+ yenye ilikaa kwanza ndani ya tate* yako mwanamuke Loisi na mama yako Eunike, lakini yenye niko hakika iko ndani yako pia.

6 Kwa sababu hii ninakukumbusha uchochee kama moto zawadi ya Mungu yenye kuwa ndani yako yenye ulipokea wakati niliweka mikono yangu juu yako.+ 7 Kwa maana Mungu hakutupatia roho ya woga,+ lakini alitupatia roho ya nguvu+ na ya upendo na ya akili ya muzuri. 8 Basi usisikilie haya ushahidi juu ya Bwana wetu+ ao usinisikilie haya mimi, mufungwa kwa ajili yake, lakini ukubali kuteseka+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+ 9 Yeye alituokoa na kutuita kwa mwito mutakatifu,+ haiko kwa sababu ya matendo yetu, lakini kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fazili zake zenye hazistahiliwe.+ Tulipewa fazili hizo kuhusiana na Kristo Yesu mbele ya nyakati za zamani sana, 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ mwenye ameondoa kifo+ na ameangaza mwangaza juu ya uzima+ na kutokuharibika,+ kupitia habari njema+ 11 yenye kwa ajili yake mimi niliwekwa kuwa muhubiri na mutume na mwalimu.+

12 Ndiyo sababu ninateseka pia kwa sababu ya mambo haya,+ lakini sisikie haya.+ Kwa maana ninamujua Ule mwenye nimeamini, na niko hakika kwamba anaweza kulinda kile chenye niliweka kwake mupaka siku hiyo.+ 13 Endelea kushika mufano wa* maneno yenye faida*+ yenye ulisikia kutoka kwangu kwa imani na upendo wenye unatokana na umoja na Kristo Yesu. 14 Linda jambo hili la muzuri lenye liliwekwa kwako kupitia roho takatifu, yenye inakaa ndani yetu.+

15 Unajua jambo hili, kwamba watu wote katika jimbo la Asia+ wameniacha; Figelo na Hermogene ni kati yao. 16 Bwana aonyeshe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa maana mara nyingi alinifanya nipate furaha, na hakusikia haya juu ya minyororo yangu ya gereza. 17 Tofauti na hilo, wakati alikuwa Roma, alinitafuta kwa bidii na akanipata. 18 Bwana amuruhusu kupata rehema kutoka kwa Yehova* katika siku ile. Na unajua muzuri utumishi wote wenye alitoa kule Efeso.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine