Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Yohana

      • Yesu ni zabihu ya kufunika zambi (1, 2)

      • Kushika amri zake (3-11)

        • Amri mupya na ya zamani (7, 8)

      • Sababu za kuandika (12-14)

      • Musipende ulimwengu (15-17)

      • Onyo juu ya mupinga-Kristo (18-29)

1 Yohana 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muteteaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:34; Ebr 7:25
  • +1 Tim. 2:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 159-160

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 19

    15/3/2000,

    uku. 3-45-9

1 Yohana 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “njia ya kuleta maelewano.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 5:7
  • +Isa 53:5; Rom. 3:25; 1 Tim. 1:15; Ebr 2:17; 1 Pe. 2:24; 1 Yo. 4:10
  • +Mt 20:28; Yoh 1:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2009, uku. 11-12

    15/12/2008, uku. 27

1 Yohana 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:18
  • +Yoh 14:20; 17:21

1 Yohana 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 13:15; 1 Pe. 2:21

1 Yohana 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 13:34; 2 Yo. 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2013, uku. 10

    1/8/2011, uku. 29-30

    15/12/2008, uku. 27

1 Yohana 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:9; 8:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 27

1 Yohana 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:31; Kol 3:8
  • +1 Kor. 13:2; 1 Yo. 3:15

1 Yohana 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:8

1 Yohana 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:20
  • +Yoh 12:35

1 Yohana 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 24:47; Mdo 4:12; 10:43

1 Yohana 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 4:7; 1 Yo. 5:19; Ufu 12:10, 11
  • +Yoh 17:25

1 Yohana 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:10
  • +3Yo 3
  • +Rom. 8:37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2003, uku. 8

1 Yohana 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:2; 1 Kor. 7:31; Tit 2:11, 12
  • +Mt 6:24; Yak 4:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 24-27

    15/1/2010, uku. 14-15

    15/1/2006, uku. 24-25

    1/1/2005, uku. 9-10

    1/3/2002, uku. 14-15

    Unabii wa Isaya 1, uku. 258

1 Yohana 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutu kujionyesha kuwa iko na mali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:28; Rom. 13:14
  • +Mwa 3:6; Mez. 27:20; Mt 4:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 24-27

    15/1/2006, uku. 24-25

    1/1/2005, uku. 9-10

    15/8/2002, uku. 23-24

    1/3/2002,

    uku. 14-15

    Unabii wa Isaya 1, uku. 258

1 Yohana 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:31; 1 Pe. 1:24
  • +Zab 37:29; Mt 7:21; Yoh 6:40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2017, uku. 9-13

    Amuka!,

    11/2015, uku. 14

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 27

    1/1/2013, uku. 5-6

    15/8/2005,

    uku. 28-29

1 Yohana 2:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 2:3; 2 Pe. 2:1
  • +2 Tes. 2:7; 2 Yo. 7; Yud 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2015, uku. 14

1 Yohana 2:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hawakukuwa wetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:30
  • +1 Kor. 11:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2015, uku. 14

1 Yohana 2:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:21; 1 Yo. 2:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 17

1 Yohana 2:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 8:31, 32
  • +Yoh 8:44

1 Yohana 2:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:3; 2 Yo. 7
  • +1 Yo. 2:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2015, uku. 14

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1960

1 Yohana 2:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 5:23; 2 Yo. 9
  • +Rom. 10:9, 10
  • +1 Yo. 4:15

1 Yohana 2:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:23; 2 Yo. 6

1 Yohana 2:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:3; 1 Yo. 1:2

1 Yohana 2:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:21; 1 Yo. 2:20
  • +Yoh 14:26; 16:13
  • +Yoh 17:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 17

1 Yohana 2:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:17

1 Yohana 2:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:23; 1 Yo. 4:7

Maandiko ingine

1 Yoh. 2:1Rom. 8:34; Ebr 7:25
1 Yoh. 2:11 Tim. 2:5
1 Yoh. 2:21 Kor. 5:7
1 Yoh. 2:2Isa 53:5; Rom. 3:25; 1 Tim. 1:15; Ebr 2:17; 1 Pe. 2:24; 1 Yo. 4:10
1 Yoh. 2:2Mt 20:28; Yoh 1:29
1 Yoh. 2:51 Yo. 4:18
1 Yoh. 2:5Yoh 14:20; 17:21
1 Yoh. 2:6Yoh 13:15; 1 Pe. 2:21
1 Yoh. 2:7Yoh 13:34; 2 Yo. 5
1 Yoh. 2:8Yoh 1:9; 8:12
1 Yoh. 2:9Efe 4:31; Kol 3:8
1 Yoh. 2:91 Kor. 13:2; 1 Yo. 3:15
1 Yoh. 2:10Efe 5:8
1 Yoh. 2:111 Yo. 4:20
1 Yoh. 2:11Yoh 12:35
1 Yoh. 2:12Lu 24:47; Mdo 4:12; 10:43
1 Yoh. 2:13Yak 4:7; 1 Yo. 5:19; Ufu 12:10, 11
1 Yoh. 2:13Yoh 17:25
1 Yoh. 2:14Efe 6:10
1 Yoh. 2:143Yo 3
1 Yoh. 2:14Rom. 8:37
1 Yoh. 2:15Rom. 12:2; 1 Kor. 7:31; Tit 2:11, 12
1 Yoh. 2:15Mt 6:24; Yak 4:4
1 Yoh. 2:16Mt 5:28; Rom. 13:14
1 Yoh. 2:16Mwa 3:6; Mez. 27:20; Mt 4:8
1 Yoh. 2:171 Kor. 7:31; 1 Pe. 1:24
1 Yoh. 2:17Zab 37:29; Mt 7:21; Yoh 6:40
1 Yoh. 2:182 Tes. 2:3; 2 Pe. 2:1
1 Yoh. 2:182 Tes. 2:7; 2 Yo. 7; Yud 4
1 Yoh. 2:19Mdo 20:30
1 Yoh. 2:191 Kor. 11:19
1 Yoh. 2:202 Kor. 1:21; 1 Yo. 2:27
1 Yoh. 2:21Yoh 8:31, 32
1 Yoh. 2:21Yoh 8:44
1 Yoh. 2:221 Yo. 4:3; 2 Yo. 7
1 Yoh. 2:221 Yo. 2:18
1 Yoh. 2:23Yoh 5:23; 2 Yo. 9
1 Yoh. 2:23Rom. 10:9, 10
1 Yoh. 2:231 Yo. 4:15
1 Yoh. 2:24Yoh 14:23; 2 Yo. 6
1 Yoh. 2:25Yoh 17:3; 1 Yo. 1:2
1 Yoh. 2:272 Kor. 1:21; 1 Yo. 2:20
1 Yoh. 2:27Yoh 14:26; 16:13
1 Yoh. 2:27Yoh 17:21
1 Yoh. 2:281 Yo. 4:17
1 Yoh. 2:291 Pe. 1:23; 1 Yo. 4:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Yohana 2:1-29

Ya Kwanza ya Yohana

2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili musifanye zambi. Lakini, kama mutu yeyote anafanya zambi, tuko na musaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mwenye haki.+ 2 Na yeye ni zabihu ya kufunika*+ kwa ajili ya zambi zetu,+ hata hivyo haiko zambi zetu tu lakini pia zambi za ulimwengu wote.+ 3 Na kwa jambo hili tunatambua kwamba tumemujua yeye, ni kusema, kama tunaendelea kushika amri zake. 4 Mutu mwenye anasema, “Mimi nimemujua,” lakini hashike amri zake ni muongo, na kweli haiko ndani ya mutu huyo. 5 Lakini mutu yeyote mwenye anashika neno lake, kwa kweli upendo wa Mungu umekamilishwa katika mutu huyo.+ Kupitia hili tunajua kama sisi tuko katika umoja naye.+ 6 Mutu mwenye anasema kama anakaa katika umoja naye, analazimika kuendelea kutembea kama vile yeye alitembea.+

7 Wapendwa, siwaandikie amri mupya, lakini ninawaandikia amri ya zamani yenye mumekuwa nayo tangu mwanzo.+ Amri hiyo ya zamani ni neno lenye mulisikia. 8 Tena, ninawaandikia ninyi amri mupya, yenye kuwa ya kweli juu yake yeye na juu yenu ninyi, kwa sababu giza linapita na mwangaza wa kweli tayari unaangaza.+

9 Mutu mwenye anasema kama iko* katika mwangaza lakini anachukia+ ndugu yake angali katika giza.+ 10 Mutu mwenye anamupenda ndugu yake anakaa katika mwangaza,+ na ndani yake hamuna kikwazo chochote. 11 Lakini mutu mwenye anamuchukia ndugu yake iko* katika giza na anatembea katika giza,+ na hajue kwenye anaenda,+ kwa sababu giza limepofusha macho yake.

12 Ninawaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu zambi zenu zimesamehewa kwa ajili ya jina lake.+ 13 Ninawaandikia ninyi, baba, kwa sababu mumemujua ule wa tangu mwanzo. Ninawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mumemushinda ule muovu.+ Ninawaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu mumemujua Baba.+ 14 Ninawaandikia ninyi, baba, kwa sababu mumemujua ule wa tangu mwanzo. Ninawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu muko na nguvu+ na neno la Mungu linakaa ndani yenu+ na mumemushinda ule muovu.+

15 Musipende ulimwengu ao vitu vyenye viko katika ulimwengu.+ Kama mutu yeyote anapenda ulimwengu, upendo wa Baba hauko ndani yake;+ 16 kwa sababu kila kitu chenye kuwa katika ulimwengu⁠—⁠tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mutu kujionyesha mali yake katika maisha*⁠—⁠hakitokane na Baba, lakini kinatokana na ulimwengu. 17 Zaidi ya hayo, ulimwengu unapita na pia tamaa yake,+ lakini ule mwenye anafanya mapenzi ya Mungu anadumu milele.+

18 Watoto wadogo, ni saa ya mwisho, na kama vile mulisikia kwamba mupinga-Kristo anakuja,+ hata sasa wapinga-Kristo wengi wametokea,+ na kwa sababu hiyo tunajua kwamba ni saa ya mwisho. 19 Walitoka katikati yetu, lakini hawakukuwa wa namna yetu;*+ kwa maana kama wangekuwa wa namna yetu, wangebakia pamoja na sisi. Lakini walitoka ili ionekane kwamba haiko wote ndio wa namna yetu.+ 20 Na mumetiwa mafuta kutoka kwa ule mutakatifu,+ na ninyi wote muko na ujuzi. 21 Ninawaandikia ninyi, haiko kwa sababu hamujue kweli,+ lakini kwa sababu munaijua, na kwa sababu hakuna uongo wenye unatokana na kweli.+

22 Ni nani mwenye kuwa muongo kama haiko ule mwenye anakana kwamba Yesu ndiye Kristo?+ Huyo ndiye mupinga-Kristo,+ ule mwenye anamukana Baba na Mwana. 23 Kila mutu mwenye anamukana Mwana hana Baba pia.+ Lakini mutu yeyote mwenye anamukubali Mwana+ iko* na Baba pia.+ 24 Na ninyi, mambo yenye mulisikia tangu mwanzo yanapaswa kukaa ndani yenu.+ Kama mambo yenye mulisikia tangu mwanzo yanakaa ndani yenu, mutakaa pia katika umoja na Mwana na katika umoja na Baba. 25 Zaidi ya hayo, hili ndilo jambo lenye alituahidi yeye mwenyewe⁠—⁠uzima wa milele.+

26 Ninawaandikia mambo haya juu ya wale wenye wanajaribu kuwapotosha ninyi. 27 Na ninyi, kutiwa mafuta kwenye mulipokea kutoka kwake+ kunakaa ndani yenu, na hamuna lazima ya kufundishwa na mutu yeyote; lakini kutiwa mafuta kutoka kwake kunawafundisha ninyi juu ya mambo yote,+ na ni kweli na haiko uongo. Kama vile kuliwafundisha ninyi, mubakie katika umoja naye.+ 28 Basi sasa, watoto wadogo, mubakie katika umoja naye, ili wakati atafunuliwa tukuwe na uhuru wa kusema+ lakini tusitenganishwe naye tukiwa na haya wakati wa kuwapo kwake. 29 Kama munajua kuwa yeye ni mwenye haki, munajua pia kwamba kila mutu mwenye anazoea kutenda haki amezaliwa kutokana naye.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine