Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wagalatia

      • Uhuru wa Kikristo (1-15)

      • Kutembea kwa roho (16-26)

        • Matendo ya mwili (19-21)

        • Tunda la roho (22, 23)

Wagalatia 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 16:13; Flp 4:1
  • +Mdo 15:10

Wagalatia 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 6:12

Wagalatia 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:25; Gal 3:10

Wagalatia 5:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 3:20

Wagalatia 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:19; Gal 6:15; Kol 3:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 219

Wagalatia 5:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:24; Gal 3:3

Wagalatia 5:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 5:6; 15:33; 2 Tim. 2:16-18

Wagalatia 5:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:20, 21
  • +Gal 1:7

Wagalatia 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:23

Wagalatia 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “waharibu mapumbu yao wao wenyewe,” na hivyo wasistahili kutenda sheria yenye walikuwa wanatetea.

Wagalatia 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 2:16
  • +1 Kor. 9:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2010, uku. 27

    15/2/2010, uku. 11

Wagalatia 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “imeelezwa kwa kifupi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:18; Mt 7:12; 22:39; Rom. 13:8, 9; Yak 2:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 219

Wagalatia 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 3:14
  • +Yak 4:1, 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 25

Wagalatia 5:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:5, 13
  • +Rom. 6:12; 1 Pe. 2:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 15-18

    15/7/2007, uku. 21-25

Wagalatia 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 7:15, 19, 23

Wagalatia 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “mwenendo wa bila haya.” Kigiriki a·selʹgei·a. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 5:9; Efe 5:3; Kol 3:5; Ufu 2:20
  • +Mk 7:21, 22; Efe 4:19; 2 Pe. 2:2; Yud 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1962

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 31

    15/5/2008, uku. 27

    15/7/2006, uku. 29-31

    1/8/2001, uku. 15-16

Wagalatia 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Uwingi wa zehebu. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:26, 31; Kum 18:10, 11

Wagalatia 5:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 21:20, 21; Isa 5:11
  • +1 Pe. 4:3
  • +1 Kor. 6:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2000, uku. 19-20

Wagalatia 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ustahimilivu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2004, uku. 6

    1/8/2001, uku. 15-16

Wagalatia 5:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2004, uku. 6

Wagalatia 5:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:6

Wagalatia 5:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:4

Wagalatia 5:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 2:3
  • +Mhu. 4:4; 1 Kor. 4:7; Gal 6:4

Maandiko ingine

Gal. 5:11 Kor. 16:13; Flp 4:1
Gal. 5:1Mdo 15:10
Gal. 5:2Gal 6:12
Gal. 5:3Rom. 2:25; Gal 3:10
Gal. 5:4Rom. 3:20
Gal. 5:61 Kor. 7:19; Gal 6:15; Kol 3:10, 11
Gal. 5:71 Kor. 9:24; Gal 3:3
Gal. 5:91 Kor. 5:6; 15:33; 2 Tim. 2:16-18
Gal. 5:10Yoh 17:20, 21
Gal. 5:10Gal 1:7
Gal. 5:111 Kor. 1:23
Gal. 5:131 Pe. 2:16
Gal. 5:131 Kor. 9:19
Gal. 5:14Law. 19:18; Mt 7:12; 22:39; Rom. 13:8, 9; Yak 2:8
Gal. 5:15Yak 3:14
Gal. 5:15Yak 4:1, 2
Gal. 5:16Rom. 8:5, 13
Gal. 5:16Rom. 6:12; 1 Pe. 2:11
Gal. 5:17Rom. 7:15, 19, 23
Gal. 5:191 Kor. 5:9; Efe 5:3; Kol 3:5; Ufu 2:20
Gal. 5:19Mk 7:21, 22; Efe 4:19; 2 Pe. 2:2; Yud 4
Gal. 5:20Law. 19:26, 31; Kum 18:10, 11
Gal. 5:21Kum 21:20, 21; Isa 5:11
Gal. 5:211 Pe. 4:3
Gal. 5:211 Kor. 6:9, 10
Gal. 5:22Efe 5:9
Gal. 5:23Yak 3:17
Gal. 5:24Rom. 6:6
Gal. 5:25Rom. 8:4
Gal. 5:26Flp 2:3
Gal. 5:26Mhu. 4:4; 1 Kor. 4:7; Gal 6:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wagalatia 5:1-26

Kwa Wagalatia

5 Ni kwa uhuru wa namna hiyo ndiyo Kristo alituweka huru. Kwa hiyo, musimame imara,+ na musijiache mufungwe tena katika nira ya utumwa.+

2 Muone! Mimi, Paulo, ninawaambia ninyi kwamba kama munatahiriwa, Kristo hatakuwa na faida kwenu.+ 3 Tena ninatoa ushahidi kwa kila mutu mwenye kutahiriwa kwamba analazimika kushika Sheria yote.+ 4 Mumetenganishwa na Kristo, ninyi wenye munajaribu kutangazwa kuwa wenye haki kupitia sheria;+ mumeanguka kutoka kwenye fazili zake zenye hazistahiliwe. 5 Kwa upande wetu, kupitia roho tunangojea kwa hamu haki yenye ilitumainiwa kutokana na imani. 6 Kwa maana katika umoja na Kristo Yesu, kutahiriwa ao kutokutahiriwa hakuna faida yoyote,+ lakini imani yenye inatenda kupitia upendo ndiyo iko na faida.

7 Mulikuwa munakimbia muzuri.+ Ni nani mwenye aliwazuia ninyi kuendelea kutii kweli? 8 Ushawishi wa namna hii hautoke kwa Ule mwenye anawaita ninyi. 9 Chachu kidogo inachachisha donge lote.+ 10 Niko hakika kama ninyi wenye muko katika umoja na Bwana+ hamutafikia kufikiri kwa njia tofauti; lakini mutu yeyote mwenye anawaletea ninyi taabu,+ hata akuwe nani, atapokea hukumu yenye anastahili. 11 Na mimi, ndugu, kama ningali ninahubiri juu ya kutahiriwa, sababu gani ningali ninateswa? Kama ni vile, kikwazo cha muti wa mateso *+ kimeondolewa. 12 Ningependa watu wenye wanajaribu kuwaangusha ninyi wajifanye wenyewe kuwa matowashi.*

13 Ndugu, muliitwa kwenye uhuru; isipokuwa tu musitumie uhuru huo kama nafasi ya kufuatilia tamaa za mwili,+ lakini mutumikiane kupitia upendo.+ 14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri moja, ni kusema: “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”+ 15 Lakini, kama munaendelea kuumana na kukulana,+ mufanye angalisho ili musimalizane.+

16 Lakini ninasema, Muendelee kutembea kwa roho+ na hamutatenda tamaa yoyote ya mwili hata kidogo.+ 17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho, na roho inapingana na mwili; vitu hivyo vinapingana, na hivyo hamufanye mambo yenye munataka kufanya.+ 18 Zaidi ya hayo, kama munaongozwa na roho, ninyi hamuko chini ya sheria.

19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana wazi, nayo ni uasherati,*+ uchafu, mwenendo mupotovu wa bila haya,*+ 20 ibada ya sanamu, kupashana habari na pepo wachafu,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya kasirani, magomvi, migawanyiko, mazehebu,* 21 kutamani, ulevi,+ karamu za kupitisha mipaka, na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mbele ya wakati juu ya mambo hayo, kama vile nimekwisha kuwaonya, kwamba wale wenye wanazoea kufanya mambo kama hayo hawatariti Ufalme wa Mungu.+

22 Kwa upande mwingine, tunda la roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu,* fazili, wema,+ imani, 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo. 24 Zaidi ya hayo, wale wenye ni wa Kristo Yesu wamepigilia misumari kwenye muti mwili pamoja na mawazo yake na tamaa zake.+

25 Kama tunaishi kwa roho, tuendelee pia kutembea kwa utaratibu kwa roho.+ 26 Tusikuwe tunajisifu,+ tusichochee mashindano kati yetu,+ tusisikiliane wivu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine