Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya mtu aliyetubu

        • Mwenye dhambi tangu alipochukuliwa mimba (5)

        • “Nisafishe kutoka katika dhambi yangu” (7)

        • “Umba moyo safi ndani yangu” (10)

        • Moyo uliopondeka humpendeza Mungu (17)

Zaburi 51:utangulizi

Marejeo

  • +2Sa 11:3

Zaburi 51:1

Marejeo

  • +Hes 14:18; Zb 25:7; 41:4
  • +Zb 103:13; Met 28:13; Isa 43:25; 44:22

Zaburi 51:2

Marejeo

  • +Isa 1:18; 1Ko 6:11
  • +Ebr 9:13, 14; 1Yo 1:7

Zaburi 51:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akilini mwangu.”

Marejeo

  • +Zb 32:5; 40:12

Zaburi 51:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wewe peke yako.”

Marejeo

  • +Mwa 39:9; 2Sa 12:13
  • +2Sa 12:9; Zb 38:18
  • +Ro 3:4

Zaburi 51:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Na nilikuwa na dhambi tangu mama yangu aliponichukua mimba.”

Marejeo

  • +Ayu 14:4; Ro 3:23; 5:12

Zaburi 51:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utu wangu wa sirini.”

Marejeo

  • +1Sa 16:7; 2Fa 20:3; 1Nya 29:17

Zaburi 51:7

Marejeo

  • +Law 14:3, 4; Ebr 9:13, 14
  • +Isa 1:18

Zaburi 51:8

Marejeo

  • +Zb 6:2; 38:3; Isa 57:15

Zaburi 51:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ufiche uso wako.”

  • *

    Au “uyafute kabisa.”

Marejeo

  • +Zb 103:12; Isa 38:17
  • +Mik 7:19

Zaburi 51:10

Marejeo

  • +Yer 32:39
  • +Eze 11:19; Efe 4:23

Zaburi 51:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele za uwepo wako.”

Zaburi 51:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitegemeze kwa kunipa roho ya utayari.”

Marejeo

  • +Zb 21:1

Zaburi 51:13

Marejeo

  • +Mdo 2:38

Zaburi 51:14

Marejeo

  • +Mwa 9:6
  • +Zb 38:22; Isa 12:2; Ufu 7:10
  • +Ne 9:33; Zb 35:28; 59:16; Da 9:7

Zaburi 51:15

Marejeo

  • +Zb 34:1; 109:30; Ebr 13:15

Zaburi 51:16

Marejeo

  • +Met 21:3
  • +1Sa 15:22; Zb 40:6; Ho. 6:6

Zaburi 51:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hutaudharau.”

Marejeo

  • +2Fa 22:18, 19; 2Nya 33:13; Zb 22:24; 34:18; Met 28:13; Isa 57:15; Lu 15:22-24; 18:13, 14

Zaburi 51:19

Marejeo

  • +Ho. 14:2

Jumla

Zab. 51:utangulizi2Sa 11:3
Zab. 51:1Hes 14:18; Zb 25:7; 41:4
Zab. 51:1Zb 103:13; Met 28:13; Isa 43:25; 44:22
Zab. 51:2Isa 1:18; 1Ko 6:11
Zab. 51:2Ebr 9:13, 14; 1Yo 1:7
Zab. 51:3Zb 32:5; 40:12
Zab. 51:4Mwa 39:9; 2Sa 12:13
Zab. 51:42Sa 12:9; Zb 38:18
Zab. 51:4Ro 3:4
Zab. 51:5Ayu 14:4; Ro 3:23; 5:12
Zab. 51:61Sa 16:7; 2Fa 20:3; 1Nya 29:17
Zab. 51:7Law 14:3, 4; Ebr 9:13, 14
Zab. 51:7Isa 1:18
Zab. 51:8Zb 6:2; 38:3; Isa 57:15
Zab. 51:9Zb 103:12; Isa 38:17
Zab. 51:9Mik 7:19
Zab. 51:10Yer 32:39
Zab. 51:10Eze 11:19; Efe 4:23
Zab. 51:12Zb 21:1
Zab. 51:13Mdo 2:38
Zab. 51:14Mwa 9:6
Zab. 51:14Zb 38:22; Isa 12:2; Ufu 7:10
Zab. 51:14Ne 9:33; Zb 35:28; 59:16; Da 9:7
Zab. 51:15Zb 34:1; 109:30; Ebr 13:15
Zab. 51:16Met 21:3
Zab. 51:161Sa 15:22; Zb 40:6; Ho. 6:6
Zab. 51:172Fa 22:18, 19; 2Nya 33:13; Zb 22:24; 34:18; Met 28:13; Isa 57:15; Lu 15:22-24; 18:13, 14
Zab. 51:19Ho. 14:2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 51:1-19

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi, nabii Nathani alipokuja kwake baada ya Daudi kulala na Bath-sheba.+

51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+

Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+

 2 Nioshe kabisa kutoka katika kosa langu,+

Na unisafishe kutoka katika dhambi yangu.+

 3 Kwa maana ninajua vizuri makosa yangu,

Na dhambi yangu iko mbele yangu* daima.+

 4 Dhidi yako wewe—wewe zaidi ya wote*—nimetenda dhambi;+

Nimetenda yaliyo mabaya machoni pako.+

Kwa hiyo, wewe ni mwadilifu unapoongea,

Wewe ni mwenye haki katika hukumu yako.+

 5 Tazama! Nilizaliwa nikiwa na hatia ya kosa,

Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.*+

 6 Tazama! Unapendezwa na ukweli katika utu wa ndani;+

Ufundishe utu wangu wa ndani kabisa* hekima ya kweli.

 7 Nisafishe kutoka katika dhambi yangu kwa hisopo, ili niwe safi;+

Nioshe, ili niwe mweupe kuliko theluji.+

 8 Acha nisikie sauti za shangwe na furaha,

Ili mifupa uliyoiponda ishangilie.+

 9 Ugeuze uso wako* mbali na dhambi zangu,+

Na uyafutilie mbali* makosa yangu yote.+

10 Umba moyo safi ndani yangu, Ee Mungu,+

Na uweke roho mpya ndani yangu,+ iliyo imara.

11 Usinitupe kutoka mbele zako;*

Wala usiniondolee roho yako takatifu.

12 Nirudishie shangwe ya wokovu wako;+

Chochea ndani yangu utayari wa kukutii.*

13 Nitawafundisha wakosaji njia zako,+

Ili watenda dhambi wakurudie.

14 Niokoe kutoka katika hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+

Ili ulimi wangu utangaze uadilifu wako kwa shangwe.+

15 Ee Yehova, ifungue midomo yangu,

Ili kinywa changu kitangaze sifa yako.+

16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+

Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+

17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;

Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+

18 Kwa nia yako njema litendee jiji la Sayuni jambo jema;

Zijenge kuta za Yerusalemu.

19 Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za uadilifu,

Dhabihu za kuteketezwa na matoleo mazima;

Kisha ng’ombe dume watatolewa kwenye madhabahu yako.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki