Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Baada ya kukata tamaa, amsifu Mungu

        • “Mungu wangu, kwa nini umeniacha?” (1)

        • “Wanalipigia kura vazi langu” (18)

        • Kumsifu Mungu kutanikoni (22, 25)

        • Dunia yote itamwabudu Mungu (27)

Zaburi 22:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Labda ni sauti au mtindo wa muziki.

Zaburi 22:1

Marejeo

  • +Zb 22:16; Mt 27:46; Mk 15:34
  • +Ebr 5:7

Zaburi 22:2

Marejeo

  • +Zb 42:3

Zaburi 22:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Umeketi kwenye kiti cha ufalme kati ya (juu ya).”

Marejeo

  • +Isa 6:3; 1Pe 1:15

Zaburi 22:4

Marejeo

  • +Mwa 15:1, 6
  • +Kut 14:13; Ebr 11:32-34

Zaburi 22:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawakuaibishwa.”

Marejeo

  • +Zb 25:2; 99:6; Ro 10:11

Zaburi 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mimi ni fedheha kwa wanadamu na ninadharauliwa na watu.”

Marejeo

  • +Zb 31:11; Isa 53:3

Zaburi 22:7

Marejeo

  • +Zb 35:16
  • +Zb 109:25

Zaburi 22:8

Marejeo

  • +Mt 27:41-43; Lu 23:35, 36

Zaburi 22:9

Marejeo

  • +Zb 71:6; 139:16

Zaburi 22:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nimetupwa kwako.”

Zaburi 22:11

Marejeo

  • +Zb 10:1
  • +Lu 23:46; Ebr 5:7

Zaburi 22:12

Marejeo

  • +Zb 68:30
  • +Eze 39:18

Zaburi 22:13

Marejeo

  • +Mt 26:4
  • +Zb 57:4; 1Pe 5:8

Zaburi 22:14

Marejeo

  • +Lu 22:44; Yoh 12:27
  • +Mt 26:38; Mk 14:33

Zaburi 22:15

Marejeo

  • +Met 17:22
  • +Yoh 19:28
  • +Isa 53:12; 1Ko 15:3, 4

Zaburi 22:16

Marejeo

  • +Zb 59:5, 6; Lu 22:63
  • +Zb 86:14
  • +Mt 27:35; Yoh 20:25

Zaburi 22:17

Marejeo

  • +Zb 34:20; Yoh 19:36

Zaburi 22:18

Marejeo

  • +Mk 15:24; Lu 23:34; Yoh 19:23, 24

Zaburi 22:19

Marejeo

  • +Zb 10:1
  • +Zb 40:13

Zaburi 22:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Iokoe nafsi yangu.”

  • *

    Tnn., “Uhai pekee nilio nao,” yaani, nafsi yake.

  • *

    Tnn., “mkono wa.”

Marejeo

  • +Zb 22:16

Zaburi 22:21

Marejeo

  • +Zb 35:17

Zaburi 22:22

Marejeo

  • +Yoh 17:6
  • +Zb 40:9; Ebr 2:11, 12

Zaburi 22:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Marejeo

  • +Zb 50:23

Zaburi 22:24

Marejeo

  • +Zb 34:6; 69:33
  • +Hes 6:25
  • +Ebr 5:7

Zaburi 22:25

Marejeo

  • +Zb 35:18; 40:10; 111:1

Zaburi 22:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Moyo wako na uishi.”

Marejeo

  • +Zb 37:11; Isa 65:13
  • +Sef 2:3

Zaburi 22:27

Marejeo

  • +Mwa 22:18; Ufu 7:9; 15:4

Zaburi 22:28

Marejeo

  • +1Nya 29:11; Ufu 11:17

Zaburi 22:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanene.”

  • *

    Au “nafsi zao.”

Zaburi 22:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mbegu itamtumikia.”

Jumla

Zab. 22:1Zb 22:16; Mt 27:46; Mk 15:34
Zab. 22:1Ebr 5:7
Zab. 22:2Zb 42:3
Zab. 22:3Isa 6:3; 1Pe 1:15
Zab. 22:4Mwa 15:1, 6
Zab. 22:4Kut 14:13; Ebr 11:32-34
Zab. 22:5Zb 25:2; 99:6; Ro 10:11
Zab. 22:6Zb 31:11; Isa 53:3
Zab. 22:7Zb 35:16
Zab. 22:7Zb 109:25
Zab. 22:8Mt 27:41-43; Lu 23:35, 36
Zab. 22:9Zb 71:6; 139:16
Zab. 22:11Zb 10:1
Zab. 22:11Lu 23:46; Ebr 5:7
Zab. 22:12Zb 68:30
Zab. 22:12Eze 39:18
Zab. 22:13Mt 26:4
Zab. 22:13Zb 57:4; 1Pe 5:8
Zab. 22:14Lu 22:44; Yoh 12:27
Zab. 22:14Mt 26:38; Mk 14:33
Zab. 22:15Met 17:22
Zab. 22:15Yoh 19:28
Zab. 22:15Isa 53:12; 1Ko 15:3, 4
Zab. 22:16Zb 59:5, 6; Lu 22:63
Zab. 22:16Zb 86:14
Zab. 22:16Mt 27:35; Yoh 20:25
Zab. 22:17Zb 34:20; Yoh 19:36
Zab. 22:18Mk 15:24; Lu 23:34; Yoh 19:23, 24
Zab. 22:19Zb 10:1
Zab. 22:19Zb 40:13
Zab. 22:20Zb 22:16
Zab. 22:21Zb 35:17
Zab. 22:22Yoh 17:6
Zab. 22:22Zb 40:9; Ebr 2:11, 12
Zab. 22:23Zb 50:23
Zab. 22:24Zb 34:6; 69:33
Zab. 22:24Hes 6:25
Zab. 22:24Ebr 5:7
Zab. 22:25Zb 35:18; 40:10; 111:1
Zab. 22:26Zb 37:11; Isa 65:13
Zab. 22:26Sef 2:3
Zab. 22:27Mwa 22:18; Ufu 7:9; 15:4
Zab. 22:281Nya 29:11; Ufu 11:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 22:1-31

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Paa Jike wa Mapambazuko.”* Muziki wa Daudi.

22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+

Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,

Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+

 2 Mungu wangu, ninaendelea kukuita wakati wa mchana, nawe hunijibu;+

Na wakati wa usiku sinyamazi.

 3 Lakini wewe ni mtakatifu,+

Umezungukwa na* sifa za Israeli.

 4 Baba zetu walikutumaini wewe;+

Walikutumaini, nawe ulikuwa ukiwaokoa.+

 5 Walikulilia kwa sauti, wakaokolewa;

Walikutumaini, nao hawakukatishwa tamaa.*+

 6 Lakini mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

Ninadhihakiwa na wanadamu na kudharauliwa na watu.*+

 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+

Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+

 8 “Alijikabidhi mwenyewe kwa Yehova. Acha Yeye amwokoe!

Acha Yeye amwokoe, kwa sababu Yeye anampenda sana!”+

 9 Wewe ndiye uliyenitoa tumboni,+

Ni Wewe uliyenifanya nihisi nikiwa salama kwenye matiti ya mama yangu.

10 Nimewekwa chini ya utunzaji wako* tangu nilipozaliwa;

Tangu nilipokuwa katika tumbo la mama yangu, umekuwa Mungu wangu.

11 Usikae mbali nami, kwa maana taabu iko karibu+

Nami sina msaidizi mwingine.+

12 Ng’ombe dume wengi wachanga wananizunguka;+

Ng’ombe dume wenye nguvu wa Bashani wananizingira.+

13 Wanafungua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+

Kama simba anayenguruma ambaye anararua windo lake vipandevipande.+

14 Nimemwagwa kama maji;

Mifupa yangu yote imeteguka.

Moyo wangu umekuwa kama nta;+

Unayeyuka katika sehemu zangu za ndani kabisa.+

15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae;+

Ulimi wangu unashikamana na fizi zangu;+

Unanishusha chini kwenye mavumbi ya kifo.+

16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+

Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+

Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+

17 Ninaweza kuhesabu mifupa yangu yote.+

Wananitazama na kunikodolea macho.

18 Wanagawana mavazi yangu,

Nao wanalipigia kura vazi langu.+

19 Lakini wewe, Ee Yehova, usiendelee kukaa mbali.+

Wewe ni nguvu zangu; njoo haraka unisaidie.+

20 Niokoe* kutoka kwa upanga,

Uhai wangu wenye thamani* kutoka katika makucha ya* mbwa;+

21 Niokoe kutoka katika kinywa cha simba+ na pembe za ng’ombe dume wa mwituni;

Nijibu na uniokoe.

22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;+

Katikati ya kutaniko nitakusifu.+

23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!

Enyi nyote uzao wa* Yakobo, mtukuzeni!+

Mwogopeni yeye, enyi nyote uzao wa* Israeli.

24 Kwa maana hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya yule anayekandamizwa;+

Hajauficha uso wake kutoka kwake.+

Alipomlilia amsaidie, alisikia.+

25 Nitakusifu katika kutaniko kubwa;+

Nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanaomwogopa.

26 Wapole watakula na kushiba;+

Wale wanaomtafuta Yehova watamsifu.+

Na ufurahie maisha* milele.

27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Yehova.

Familia zote za mataifa zitainama chini mbele zako.+

28 Kwa maana ufalme ni wa Yehova;+

Anayatawala mataifa.

29 Watu wote wenye ufanisi* duniani watakula na kumwinamia;

Wote wanaoshuka mavumbini watapiga magoti mbele zake;

Hakuna yeyote kati yao anayeweza kuokoa uhai wao.*

30 Wazao wao watamtumikia;*

Kizazi kitakachokuja kitaambiwa kumhusu Yehova.

31 Watakuja na kusimulia uadilifu wake.

Watawaambia watu ambao bado hawajazaliwa mambo aliyofanya.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki