Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Kazi ya mtumishi wa Yehova (1-12)

        • Nuru ya mataifa (6)

      • Faraja kwa Waisraeli (13-26)

Isaya 49:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutoka katika tumbo la uzazi.”

Marejeo

  • +Isa 55:4
  • +Isa 44:2; 46:3

Isaya 49:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uliong’arishwa.”

Marejeo

  • +Isa 51:16

Isaya 49:3

Marejeo

  • +Isa 43:10
  • +Isa 44:23

Isaya 49:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Yehova atanitendea kwa haki.”

  • *

    Au “thawabu yangu iko.”

Marejeo

  • +Isa 40:10

Isaya 49:5

Marejeo

  • +Isa 56:8

Isaya 49:6

Marejeo

  • +Isa 42:6; Mt 12:18; Lu 2:30, 32
  • +Zb 98:2; Isa 11:10; 52:10; Mdo 13:47

Isaya 49:7

Marejeo

  • +Isa 43:14
  • +Isa 53:3
  • +Kum 7:9
  • +Isa 42:1

Isaya 49:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nia njema.”

Marejeo

  • +Zb 69:13
  • +Lu 1:69; 22:43; 2Ko 6:2; Ebr 5:7
  • +Isa 42:6, 7
  • +Isa 54:3

Isaya 49:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “vilima visivyo na kitu.”

Marejeo

  • +Zb 102:19, 20
  • +Zb 112:4; Isa 9:2; Lu 1:68, 79

Isaya 49:10

Marejeo

  • +Isa 55:1; 65:13
  • +Isa 32:2
  • +Eze 34:23
  • +Zb 23:1, 2; Yer 31:9; Ufu 7:16, 17

Isaya 49:11

Marejeo

  • +Zb 107:6, 7; Isa 11:16; 40:3, 4

Isaya 49:12

Marejeo

  • +Kum 30:4
  • +Isa 43:5, 6

Isaya 49:13

Marejeo

  • +Isa 42:10
  • +Isa 55:12
  • +Isa 12:1; 40:1; 66:13
  • +Isa 44:23; 61:3; Yer 31:13

Isaya 49:14

Marejeo

  • +Isa 54:7
  • +Omb 5:20

Isaya 49:15

Marejeo

  • +Isa 44:21; Yer 31:20

Isaya 49:18

Marejeo

  • +Isa 43:5, 6; 60:4

Isaya 49:19

Marejeo

  • +Isa 51:3
  • +Yer 30:18, 19
  • +Yer 51:34
  • +Yer 30:16

Isaya 49:20

Marejeo

  • +Isa 54:1, 2

Isaya 49:21

Marejeo

  • +Isa 43:5; Yer 31:17
  • +Omb 1:1
  • +Isa 62:4

Isaya 49:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguzo yangu ya ishara.”

  • *

    Tnn., “kifuani.”

Marejeo

  • +Ezr 1:3; Isa 11:10, 12; 62:10
  • +Isa 60:4; 66:20

Isaya 49:23

Marejeo

  • +Isa 60:10, 16
  • +Isa 60:14
  • +Mik 7:16, 17
  • +Isa 25:9

Isaya 49:25

Marejeo

  • +Yer 29:14; 46:27; Ho. 6:11; Yoe 3:1
  • +Isa 52:2; Yer 29:10; 50:34; Zek 9:11
  • +Isa 54:17

Isaya 49:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wote wenye mwili.”

Marejeo

  • +Eze 39:28
  • +1Ti 1:1
  • +Isa 41:14; 48:20
  • +Isa 60:16

Jumla

Isa. 49:1Isa 55:4
Isa. 49:1Isa 44:2; 46:3
Isa. 49:2Isa 51:16
Isa. 49:3Isa 43:10
Isa. 49:3Isa 44:23
Isa. 49:4Isa 40:10
Isa. 49:5Isa 56:8
Isa. 49:6Isa 42:6; Mt 12:18; Lu 2:30, 32
Isa. 49:6Zb 98:2; Isa 11:10; 52:10; Mdo 13:47
Isa. 49:7Isa 43:14
Isa. 49:7Isa 53:3
Isa. 49:7Kum 7:9
Isa. 49:7Isa 42:1
Isa. 49:8Zb 69:13
Isa. 49:8Lu 1:69; 22:43; 2Ko 6:2; Ebr 5:7
Isa. 49:8Isa 42:6, 7
Isa. 49:8Isa 54:3
Isa. 49:9Zb 102:19, 20
Isa. 49:9Zb 112:4; Isa 9:2; Lu 1:68, 79
Isa. 49:10Isa 55:1; 65:13
Isa. 49:10Isa 32:2
Isa. 49:10Eze 34:23
Isa. 49:10Zb 23:1, 2; Yer 31:9; Ufu 7:16, 17
Isa. 49:11Zb 107:6, 7; Isa 11:16; 40:3, 4
Isa. 49:12Kum 30:4
Isa. 49:12Isa 43:5, 6
Isa. 49:13Isa 42:10
Isa. 49:13Isa 55:12
Isa. 49:13Isa 12:1; 40:1; 66:13
Isa. 49:13Isa 44:23; 61:3; Yer 31:13
Isa. 49:14Isa 54:7
Isa. 49:14Omb 5:20
Isa. 49:15Isa 44:21; Yer 31:20
Isa. 49:18Isa 43:5, 6; 60:4
Isa. 49:19Isa 51:3
Isa. 49:19Yer 30:18, 19
Isa. 49:19Yer 51:34
Isa. 49:19Yer 30:16
Isa. 49:20Isa 54:1, 2
Isa. 49:21Isa 43:5; Yer 31:17
Isa. 49:21Omb 1:1
Isa. 49:21Isa 62:4
Isa. 49:22Ezr 1:3; Isa 11:10, 12; 62:10
Isa. 49:22Isa 60:4; 66:20
Isa. 49:23Isa 60:10, 16
Isa. 49:23Isa 60:14
Isa. 49:23Mik 7:16, 17
Isa. 49:23Isa 25:9
Isa. 49:25Yer 29:14; 46:27; Ho. 6:11; Yoe 3:1
Isa. 49:25Isa 52:2; Yer 29:10; 50:34; Zek 9:11
Isa. 49:25Isa 54:17
Isa. 49:26Eze 39:28
Isa. 49:261Ti 1:1
Isa. 49:26Isa 41:14; 48:20
Isa. 49:26Isa 60:16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 49:1-26

Isaya

49 Nisikilizeni, enyi visiwa,

Kazeni fikira, enyi mataifa yaliyo mbali.+

Yehova aliniita kabla sijazaliwa.*+

Tangu nilipokuwa katika tumbo la mama yangu amelitaja jina langu.

 2 Alikifanya kinywa changu kuwa kama upanga mkali;

Amenificha katika kivuli cha mkono wake.+

Alinifanya kuwa mshale uliosuguliwa;*

Alinisitiri katika podo lake.

 3 Aliniambia: “Wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+

Ambaye kupitia kwake nitaonyesha fahari yangu.”+

 4 Lakini nilisema: “Nimejitaabisha bure.

Nilitumia nguvu zangu kwa ajili ya jambo lisilo halisi, kwa ubatili.

Lakini kwa hakika hukumu yangu iko na Yehova,*

Na malipo yangu yako* na Mungu wangu.”+

 5 Na sasa Yehova, Yule aliyeniumba tangu tumboni niwe mtumishi wake,

Amesema kwamba nimrudishe Yakobo kwake,

Ili watu wa Israeli wakusanyike kwake.+

Nitatukuzwa machoni pa Yehova,

Na Mungu wangu tayari atakuwa nguvu zangu.

 6 Naye akasema: “Haitoshi tu wewe kuwa mtumishi wangu

Ili kuyainua makabila ya Yakobo

Na kuwarudisha wale waliohifadhiwa wa Israeli.

Nimekutoa pia ili uwe nuru ya mataifa,+

Ili wokovu wangu ufike kwenye miisho ya dunia.”+

7 Yehova, Mkombozi wa Israeli, Mtakatifu wake,+ anamwambia hivi yule anayedharauliwa,+ yule anayechukiwa na taifa, mtumishi wa watawala:

“Wafalme wataona na kusimama,

Na wakuu watainama chini

Kwa sababu ya Yehova, ambaye ni mwaminifu,+

Mtakatifu wa Israeli, ambaye amekuchagua.”+

 8 Yehova anasema hivi:

“Wakati wa kibali* nilikujibu,+

Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+

Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+

Ili kuitengeneza upya nchi,

Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+

 9 Ili kuwaambia wafungwa, ‘Tokeni nje!’+

Na wale walio gizani,+ ‘Tokeni nje mwonekane!’

Watalisha kando ya barabara,

Malisho yao yatakuwa kando ya njia zilizokanyagwa.*

10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+

Wala joto kali wala jua halitawachoma.+

Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+

Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+

11 Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara,

Na barabara zangu kuu zitainuliwa.+

12 Tazameni! Hawa wanakuja kutoka mbali sana,+

Na tazameni! hawa wanatoka kaskazini na kutoka magharibi,

Na hawa kutoka nchi ya Sinimu.”+

13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+

Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+

Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+

Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+

14 Lakini Sayuni aliendelea kusema:

“Yehova ameniacha,+ na Yehova amenisahau.”+

15 Je, mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake anayenyonya

Au asimhurumie mwana wa tumbo lake?

Hata wanawake hawa wakisahau, mimi siwezi kamwe kukusahau.+

16 Tazama! Nimekuchonga kwenye viganja vyangu.

Kuta zako ziko mbele zangu daima.

17 Wana wako wanarudi haraka.

Wale waliokubomoa na kukuharibu wataondoka kwako.

18 Inua macho yako utazame pande zote.

Wote wanakusanyika pamoja.+

Wanakuja kwako.

“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova,

“Utajivika hao wote kana kwamba ni mapambo,

Nawe utajifunga watu hao kama bibi harusi anavyofanya.

19 Ingawa maeneo yako yaliharibiwa na kuwa ukiwa na nchi yako ikawa magofu,+

Sasa itakuwa ndogo sana kwa wale wanaokaa humo,+

Na wale waliokumeza+ watakuwa mbali sana.+

20 Wana waliozaliwa ulipokuwa umefiwa watasema hivi ukisikia,

‘Mahali hapa ni padogo sana kwangu.

Nipeni nafasi zaidi hapa nikae.’+

21 Nawe utasema moyoni mwako,

‘Ni baba gani aliyenizalia watoto hawa,

Kwa kuwa mimi ni mwanamke niliyefiwa na watoto, nami ni tasa,

Nami nilipelekwa uhamishoni na kufungwa?

Ni nani aliyewalea hawa?+

Tazameni! Nilibaki peke yangu,+

Sasa hawa wametoka wapi?’”+

22 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

“Tazameni! Nitayainulia mataifa mkono wangu,

Nami nitawainulia watu ishara yangu.*+

Watawaleta wana wako wakiwa wamewabeba mikononi mwao*

Na kuwabeba mabinti wako kwenye mabega yao.+

23 Wafalme watakuwa watunzaji wako,+

Na mabinti wao wa kifalme watakuwa walezi wako.

Watakuinamia kifudifudi+

Na kuyaramba mavumbi ya miguu yako,+

Nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova;

Wale wanaonitumaini hawataaibika.”+

24 Je, wale waliotekwa wanaweza kuchukuliwa kutoka kwa mtu mwenye nguvu,

Au, je, mateka wa mtu mkatili wanaweza kuokolewa?

25 Lakini Yehova anasema hivi:

“Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+

Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+

Nitawapinga wale wanaokupinga,+

Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe.

26 Nitawafanya wale wanaokutesa wale nyama yao wenyewe,

Nao watalewa kwa damu yao wenyewe kana kwamba ni kwa divai tamu.

Na watu wote* watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+

Mwokozi wako+ na Mkombozi wako,+

Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki